Maelfu watii amri ya kuondoka Gaza huku Israel ikiandaa wanajeshi 300,000 kuanza fagia fagia

Israel anataka kusawazisha hiyo Gaza iwe flat ili kusiwe na pa kujificha ndiyo Sasa jeshi la ardhini liingie.
 

Wenzako wanafyekwa mauaji ya kimbari badala mvae mikanzu na kufyatuka yale makelele yenu ya ala akbar upo huku unapost mapicha.
 
Ila ktk hii vita ndo nimetambua binadamu wengi kichwani ni uji Tena usio na sukari, hawana hata maarifa ya kuvuka barabara. Yani watu wameingiza udini ktk mauaji yanayoendelea huko Gaza. Watu wamekuwa vichaa wa Imani. Kumbe ndo maana huko Kenya Magenzi aliwateketeza sababu ya ujinga wao. Binadamu wamekosa akili kichwani na kubakia kudandia Imani wasizozijua kwa undani, na ndo maana Wana abudu watu badala ya Mungu wao wa kweli.

Sasa hivi akija mjinga mmoja akaanzisha Imani yake akawaambia awape mikojo ili waolewe au wapate pesa, wote vichaa wa imani watamfuata. Hatari sana hii
 

Hizi nadharia mbona hamkuandika wakati HAMAS wanachinja watu, kibao kimegeuzwa kila mtu anajifanya filosofia.
 
Nimeipenda hapo mwisho kwenye kukumbushana. Sasa hivi kuna watu wanajiona wafia dini wanashangilia hii vita. Hovyo kabisa
 
Waajemi wanachungulia without any comment. May be watafanya surprise attacks kuifuta Israel kwenye uso wa dunial kama wanavyojiapiza daily!
Wanaifutaje mkuu? Hii Iran haina nuclear weapons, Israel inakadiriwa kuwa na tactical weapons 80.

Sio rahisi Iran kujaribu kupambana na Israel.
 
Watu wanadhania zile Hollywood za wayahudi wa America ni uongo, universal soldiers ni wauni flani hivi maroboti yenye nyama
Miaka ya 2000 tulikuwa twaangalia movie za US wanatouch kwenye PC na tablets tunasema ni maigizo.

Tuliona flash tukasema maigizo

Yamekuja tokea

Kila kinachoonekana kwenye movie tayari kipo
 
Kizazi cha kujichua, kunyoa viduku na milegezo, kizazi cha kusagana na kunajisiana ndo kimeleta haya yote. Binadamu wamekuwa obsessed na Imani zao.
 
Kama Urusi aliomba msaada wa silaha toka Iran na NK,sioni ajabu Kwa Israel kuomba msaada wa silaha toka America.
 
Helicopter inabeba watu 50!!!!?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Quran 17.4

Na tukawahukumia Wana wa Israeli katika kitabu kwamba. Hakika nyinyi mtafanya fisadi katka nchi Mara mbili, na kwa yakini mtapanda kiburi,kiburi kikubwa.


N.B Sasa hiiki ndio ufisadi aliousema Allah kwa hio msishangae kila kitu kina nyakati zake na watashinda lakin sijui wamepangiwa Nini mbeleni mola atasolve kila atakavyoona
 
Sasa ni kipi cha maana anacho kifanya zaidi ya kuangusha majengo na kuuwa hovyo raia?
Kwani Hamas wanaishi wapi CYO kwenye majengo.

Uwezo mdogo wa kureason. Madrasa Ni shida! Kufundishana fujo tu
 
Kama Urusi aliomba msaada wa silaha toka Iran na NK,sioni ajabu Kwa Israel kuomba msaada wa silaha toka America.
Sasa uombe msaada kupambana na wahuni wasio miliki chochote zaidi ya bunduki na viroketi vya kutengeneza kienyeji?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Sasa ni kipi cha maana anacho kifanya zaidi ya kuangusha majengo na kuuwa hovyo raia?
Hamas Aliua raia wa Israel kwa mpangilio unaofaa au siyo. Lkn Israel Anaya hovyo.

Hamas wanaishi wapi siyo kwenye majengo.

Usichokijua Ni kwamba Gaza inaachwa tambarare.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…