Maelfu watii amri ya kuondoka Gaza huku Israel ikiandaa wanajeshi 300,000 kuanza fagia fagia

Mbona Hitler aliwachinja million 6 na hakuna kitu walifanya!!? Hao wana back up ya USA tu ndio inayowapa lifeline otherwise sielewi exaggerations za humu ndani.

Hittler aliwachinja huko bara Uropa, hakuenda kuwachinja kwenye kitovu chao, na kipindi hicho hawakua taifa lenye uwezo kama huu wa leo, mazombi yenu hutoa matamko ya kutaka kufuta hako kataifa lakini yameshindwa kuthubutu.
 
Wameendelea kuruhusu mazombi yenu yatoe watoto na wanawake ambao wanaendelea kutoka kwa maelfu, endelea kusubiri hapo.

Watu washasema wapo tayari kufa kwenye ardhi yao.sasa sijui wanasubir watu gani hao wanaotoka.

Hamas wanawasubiri watie pua tu ili uwe mwisho wao.watoto watawasoma kwenye vitabu vya historia kama kulikuwa na jeshi linaitwa la Israel
 
Once again I'm not a Muslim hata thread zangu ziko wazi unaweza soma. Hakuna mfia dini wa kikristo kama mimi humu jf kapite kule jukwaa la dini. Cha ajabu I'm calling out Jews incursion against Palestine naonekana muislam.

Hii mindset ni mbaya sana hivi unajua 10% ya Israelites ni waislam?
 
Watu washasema wapo tayari kufa kwenye ardhi yao.sasa sijui wanasubir watu gani hao wanaotoka.

Hamas wanawasubiri watie pua tu ili uwe mwisho wao.watoto watawasoma kwenye vitabu vya historia kama kulikuwa na jeshi linaitwa la Israel

Kwanza waliashaanza kutembeza kichapo kwa msafara wa watu wanaoendelea kuondoka ili kuwaharakisha.
 
Kwanza waliashaanza kutembeza kichapo kwa msafara wa watu wanaoendelea kuondoka ili kuwaharakisha.
Wale sio wapalestina wala hamas.wale ni wageni tu wacha waondoke,sisi wenyeji bado tupo Gaza ukija utatukuta maana tuna kazi maalum ya kiserikali
 
Bado nashangaa aliyeuwa watu 1200 bado anaonekana ni Gaidi wakati huo Israel kashauwa watu zaidi ya Buku 3 na bado dunia inambariki kuendelea na Mauwaji
 
Bado nashangaa aliyeuwa watu 1200 bado anaonekana ni Gaidi wakati huo Israel kashauwa watu zaidi ya Buku 3 na bado dunia inambariki kuendelea na Mauwaji
Wauwaji wapo Gaza kama anawaitaji aje awachukue, anaogopa nini kuingiza vikosi
 
Si tunaambiwa waliingia kwenye sehemu watu wanaruka majoka. Hiyo ni ibada siku hizi?
 
Wale sio wapalestina wala hamas.wale ni wageni tu wacha waondoke,sisi wenyeji bado tupo Gaza ukija utatukuta maana tuna kazi maalum ya kiserikali

Maustadhi wa huku mnachekesha sana, tafuteni bando muingie Telegram muone kinachotendeka, habari zinazopeperushwa bila kuchuja.
Kuna wakati napata huruma na kuingiwa na hasira dhidi ya Israel, ila nikija na kusoma comments zenu humu najikuta naomba Israel waendelee vivyo hivyo.
 
Tushasema toka mwanzo, yoyote atakayeingia Gaza basi asitegemee kurudi akiwa anavuta pumzi.
 
Walitakiwa walipue Bunge(Knesset) ndipo tungeona wanaakili. Sasa unachnja watoto na akinamama! Haisaidii kuleta ukombozi Gaza
 

Unaposema wakristo wanaingiza udini, wakatio huo wewe upo mstari wa mbele kuwatetea hamasi ambao ni islamic terrorist group,wewe unaongozwa na mahaba gani kusimama upande wa hamasi. ?
 
Unabii wa Muhammad, sasa ndio wakati wa wabusu jiwe

Maandiko ya waislamu yanasema

Muhammad (ﷺ) alisema:Wailsamu watapigana na Wayahudi na watawaua mpaka hata jiwe litasema: Njoo hapa, Muislamu, kuna Myahudi (anayejificha nyuma yangu); muue. Sahih Muslim 2921 a
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…