Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sioni hili likitokea kijeshi.Basi kwa hali ilivo utawala wa waziri mkuu wa Ethiopia Ahmed Abiay utakua na mwisho mbaya au hata miaka miwili ijayo atakua keshatolewa.
Dawa ya hili ni kupata kiomgozi mzuri ambaye ataijenga tena Tigray na kuwaleta watu pamoja waTigray bila swaga za kudai uhuru. Yaani atasimamia maslahi yao kwa muktadha wa shirikisho. Hapa ndio mtihani kwa Abiy na serikali yake. Akifanikiwa hili kamaliza vita. Japo akipatikana TPLF watataka kumuua ili mgawanyiko uendelee.Kuweka mambo sawa kidogo,
TPLF ni chama cha kisiasa nchini Ethiopia kilichochaguliwa na wananchi wa tigray kuongoza jimbo hilo
TDF ni jeshi la jimbo la tigray
TPLF wanaweza kuwa waasi kwa serikali kuu ya Ethiopia ila sio waasi wakutokea porini kama ilivyozoeleka ni Jeshi kamili lenye mgawanyiko wa vikosi sawa na TPDF hapa bongo maana wana Jeshi la anga, ardhi na hata navy kama sikosei japo hawana bahari, wana bajeti ya jeshi lao kama sisi tu, majenerali wa rank zote
Ethiopia haikushindwa vita na tigray ilivunja ngome ya TDF na kuchukua mji mkuu Makelle kwa muda usiozidi miezi miwili
Ethiopia ilishindwa kuongoza mji huo kwa sababu ya nidhamu mbovu ya wanajeshi ya Ethiopia, Ethiopia ilishindwa kuwaelekeza wana Tigray kuwa tatizo sio kabila lao bali tatizo viongozi na Ideology mbaya ya TPLF,
Wanajeshi waliishia kubaka, kuiba mabank na mali za watu hivyo kupoteza mvuto machoni mwa wana Tigray, kuuwa watu kwa makundi hasa vijana wanao hisiwa ni TDF, kushindwa kuruhusu huduma za kibinadamu licha ya kuumiliki mji kwa karibu miezi6 umeme, maji, mtandao hawakurudisha
Kifupi Ethiopia iliondoa majeshi yake yenyewe mjini Makele kwa sababu ilikosa support ya watu (wana tigray) hivyo kuogopa kuendelea kuvunja sheria za kimataifa na haki za kibinadamu na sio hofu ya TDF ambayo ilikuwa imeshajifia
Hawa ni very unlikely kupigana. Kumbuka Tigray ni sehemu ya Ethiopia hivyo mashambulizi yalilenga ku assert authority ya Federal government kuliko kuua na kufanya uharibifu. Vita na taifa jingine i.e Misri itakuwa ni kusababisha maximum infliction in shortest time possible. Hii ni game nyingine kabisa.Ethiopia hana ubavu wa kusimama na Egypt
hawafanani kabisaaaa
Ethiopia issue ya Tigray waliitengeza kuwaingiza maboya mahasimu wao na kupunguza joto la ujenzi wa bwawa lao.... inaanza kunipa shaka uwezo wa Ethiopia kijeshi; kama wanamgambo wa Tigray wanawatoa jasho kiasi hiki ndio watapambana na Egypt kugombea maji ya Blue Nile "roho" ya Egypt? Ethiopia wajipange kweli kweli kama wanataka kulinda legacy ya haki ya kutumia maji ya Blue Nile bila "kuingiliwa" na foreign powers.
Umeongea point!Hizi nchi za kimaskini ni shida tupu.
Kinachogombewa haswaa ni nini?
Kuna haja gani kuwepo kwa vita nchini Ethiopia?
Kwanini wasikae chini tu na kukubaliana ili mambo yaishe, ili watu wao wapone, pesa za kupigana vita ziende kwenye maendeleo na wajenge nchi yao?
Hollywood wanakupumbaza bongo yakoEthiopia issue ya Tigray waliitengeza kuwaingiza maboya mahasimu wao na kupunguza joto la ujenzi wa bwawa lao.
Binafsi siioni Tigrey ikiendelea kuwa sehemu ya Ethiopia tena,Dawa ya hili ni kupata kiomgozi mzuri ambaye ataijenga tena Tigray na kuwaleta watu pamoja waTigray bila swaga za kudai uhuru. Yaani atasimamia maslahi yao kwa muktadha wa shirikisho. Hapa ndio mtihani kwa Abiy na serikali yake. Akifanikiwa hili kamaliza vita. Japo akipatikana TPLF watataka kumuua ili mgawanyiko uendelee.
How?Hollywood wanakupumbaza bongo yako
Hivi Hawa ni mgambo au wajeshi?Inakuwaje WanaJF!
Tigray defense forces ni nouma. Serikali ya Ethiopia inaminya uhuru wa habari kuficha kinachoendelea Tigray lakini mkong'oto wanaoupokea huko ni wa Hatari. Hii imetokea jana. Hao ni washenajeshi wa Ethiopia walioshikwa mateka wakiwa paraded Mekelle mji mkuu wa Tigray
View attachment 1839522
mng'ato Jumbe Brown
Hiyo Nchi kuna siku watagawana fito kwa staili hiiHizi video ndo ziliifanya serikali Addis Abeba ishtuke nakuchukua hatua haraka sana. Yani hawa wanaume wangefanikiwa kuchukua silaha sasa hivi Tigray ingekuwa nchi kamili. Na Tigray ingekuwa nchi kamili Oromia nao wangetaka taifa lao pia Amhara kwa iyo Ahmed Abiy ilibidi tu kuwa bomb marafiki zake wa muda mrefu kunusuru Ethiopia kuzidi kugawanyika. View attachment 1839251
dudus mng'ato
Masifa yapi?Masifa huyo jamaa yanamponza
Wapumbavu tuu sijui hayo makabila zinashindwa nini kuwa nchi moja?TDF , Tigray Defence Force , msisahau watigray ndio jamii ya watu ethiopia wanaojiita first class people kwa ufupi hao ndio wenye wasomi wengi na kwenye serikali kuu ndio wenye position nyingi lakini pia ndio watu walioshika uchumi yaani wanawafanyabiashara wakubwa na wenye ushawishi mkubwa pale ethiopia, hata mkurugenzi wa WHO nae ni mtigray hivo jamaa msiwachukulie poa
Tunajuaje hao ndo wanajeshi wa Ethiopia? Kwangu mimi Ethiopia ndo wanajeshi bora kuliko yote AfricaKuweka mambo sawa kidogo,
TPLF ni chama cha kisiasa nchini Ethiopia kilichochaguliwa na wananchi wa tigray kuongoza jimbo hilo
TDF ni jeshi la jimbo la tigray
TPLF wanaweza kuwa waasi kwa serikali kuu ya Ethiopia ila sio waasi wakutokea porini kama ilivyozoeleka ni Jeshi kamili lenye mgawanyiko wa vikosi sawa na TPDF hapa bongo maana wana Jeshi la anga, ardhi na hata navy kama sikosei japo hawana bahari, wana bajeti ya jeshi lao kama sisi tu, majenerali wa rank zote
Ethiopia haikushindwa vita na tigray ilivunja ngome ya TDF na kuchukua mji mkuu Makelle kwa muda usiozidi miezi miwili
Ethiopia ilishindwa kuongoza mji huo kwa sababu ya nidhamu mbovu ya wanajeshi ya Ethiopia, Ethiopia ilishindwa kuwaelekeza wana Tigray kuwa tatizo sio kabila lao bali tatizo viongozi na Ideology mbaya ya TPLF,
Wanajeshi waliishia kubaka, kuiba mabank na mali za watu hivyo kupoteza mvuto machoni mwa wana Tigray, kuuwa watu kwa makundi hasa vijana wanao hisiwa ni TDF, kushindwa kuruhusu huduma za kibinadamu licha ya kuumiliki mji kwa karibu miezi6 umeme, maji, mtandao hawakurudisha
Kifupi Ethiopia iliondoa majeshi yake yenyewe mjini Makele kwa sababu ilikosa support ya watu (wana tigray) hivyo kuogopa kuendelea kuvunja sheria za kimataifa na haki za kibinadamu na sio hofu ya TDF ambayo ilikuwa imeshajifia
Tufanye hao ni wanajeshi wa Uganda.Tunajuaje hao ndo wanajeshi wa Ethiopia? Kwangu mimi Ethiopia ndo wanajeshi bora kuliko yote Africa
Halaf? Hujui lolote kuhusu Ethiopia. Muwe mnajitahidi kusoma vitabu mjue mambo, badala ya kuweka wazi ujinga wenu humuTufanye hao ni wanajeshi wa Uganda.