Maelfu ya mbu waliobadilishwa vinasaba (GMO) wameachiliwa nchini Djibouti katika kukomesha kuenea kwa spishi vamizi malaria

Maelfu ya mbu waliobadilishwa vinasaba (GMO) wameachiliwa nchini Djibouti katika kukomesha kuenea kwa spishi vamizi malaria


Ayo maneno ya melanin, curiosity zero umeandika kwa lugha yao alafu unasema nini mkuu ,mzungu akufundishe kila kitu kuhusu mwili wako alafu useme umemzidi nini..........
Lugha ni lugha tu Acheni ujinga,mbona nao wanajifunza Kiswahili na hata Kigogo.
 
Kichwa chako kimejaa makamasi mkuu,so you find releasing GMO mosquitoes into the environment normal.Wewe either ni kihiyo or part of the problem.Poyoyoyo wewe kwa kweli.Sio normal kwa kuwa hujui how they will react in the natural environment.Then nime eleza wazi kwamba Oxitec and the Globalists cannot be trusted for anything.Anyway niachane na wewe kwa kuwa it seems ni kilaza.

Finally nikukumbushe kwamba warning people of dangers ahead is one of the most moral things to do.Jesus Christ did the same.It is only Satan who hides things so that he may catch people by surprise so that they do not have time to prepare and kill them.God does not do that he alerts people,and that is exactly what I have done.
Wewe ndo uweke evidence za disadvantages za mradi huo.
 
fanyaa utafiti ili uthibitishe unayoyasema otherwise hizo ni speculations tu.
Ungewajua Globalists na Bill Gates ambaye ndiye anayefanya upuuzi huu usingesema inayosema mkuu.Halafuu binadamu ninayemjua hakubali kitu ambacho hakijathibitishwa ubora wake,Sasa ninyi mkoje,mbona mnakuwa kama sub-human?Are you really human,sidhani.

Anyway fuata link ifuatayo uone ninayo ongelea.

 
This is pure nonsense and stupidity👉Mtoa hoja unzingua.
Mbona unatumia.


Kwa hiyo kwa kuwa tunatumia tekinolojia zao,tukukubali watuue!!!!????Usingekuwa mjinga zaidi mkuu.Labda ungesoma MY TAKE vizuri uone implications za hiyo technology.Usiwaamini tu kama "zombie," that is very wrong.
Hao wakiamua kutuangamiza wanazo njia nyingi na nyepesi kuliko hiyo unayoisema.

Mfano: chanjo za watoto
 
Hapa ndipo inapo onekana wazi kwamba ninyi watu hamjitambui.Laiti mngejua Waafrika ni watu gani duh!We are the original people who God created mkuu,Wazungu ni Mazeruzeru tu.Have you ever asked yourself kwa nini Wazungu hawana Melanin na sisi tuna Melanin.Takeni kujua mambo,msikae kihasara hasara tu.

Anzia kwenye link ifuatayo ili ujitambue na ujue Wazungu ni watu wa namna gani.


View: https://youtu.be/_8gKT7M2EGk?si=u7J7nPDcHOmeooJ-
Historia yenu imefutwa ili msijitambue na muwaone wao ni watu wa maana kumbe si lolote ni Mazeruzeru tu.Mkuu kama ngozi ya Mzungu ingekuwa original wasingekuwa na matatizo ya magonjwa ya ngozi mengi hasa Cancers za ngozi wakikaa juani.Matatizo yao ya ngozi yanafanana sana na ya Albino.Hamjiulizi kwa nini?

Kwamba wazungu hawana melanin?
Btw, define melanin.
 
Hope utakuja na njia Yako nzuri ya kutokomeza malaria ndugu Dr Msukuma
Kebehi hizi ni za kijinga.Nikuulize maswali yafuatayo halafu unijibu,if you can't, usishabikie kitu usichokijua za nyamaza,unaonekana mjinga.
1.Baada ya Mbu hao kuwa released to the wild,unajua watakavyo behave?
2.Unajua wamewekewa nini ambacho wanaweza kusambaza kwa wanadamu na kuwadhuru?
3.Unajua Mbu hao wamefanyiwa utafiti miaka mingapi,ili hata kama wakiwa released ili isiwe janga baadae?Hapa nazungumzia long term research.
4.Je unajua sehemu zingine ambapo Mbu hawa walikuwa released na matokea yalikuwa yapi?
5.Lakini je, unawaelewa Globalists na Bill Gates vizuri ambaye ndiye mwenye mradi huu kiundani?

Mkuu kama huna majibu ya maswali hayo,you do not have the right to speak,unaonekana mjinga tu na karai la zege la Globalists,kaa kimya.

Fuata link ifuatayo uone ubaya wa tekinolojia hiyo fake.Hii ni mbinu tu ovu ya kutaka kuua watu kwa wingi.

 
Kebehi hizi ni za kijinga.Nikuulize maswali yafuatayo halafu unijibu,if you can't usishabikie kitu Usichokijua za nyamaza.
1.Baada ya Mbu hao kuwa released to the wild,unajua watakavyo behave?
2.Unajua wamewekewa nini ambacho wanaweza kusambaza kwa wanadamu na kuwadhuru?
3.Unajua Mbu hao wamefanyiwa utafiti miaka mingapi,ili hata kama wakiwa released now isiwe janga baadae?Hapa nazingumzia long term research.
4.Je unajua sehemu zingine ambapo Mbu hawa walikuwa released na matokea yalikuwa yapi?
5.Lakini je unawaelewa Globalists na Bill Gates ambaye ndiye mwenye mradi huu kiundani?

Mkuu kama huna majibu ya maswali hayo,you do not have the right to speak,unaonekana mjinga tu na karai la zege la Globalists.

Fuata link ifuatayo uone ubaya wa tekinolojia hiyo fake.Ni mbinu tu ovu za kutaka kuua watu kwa wingi.

Uko sahihi sana.
 
Kebehi hizi ni za kijinga.Nikuulize maswali yafuatayo halafu unijibu,if you can't usishabikie kitu Usichokijua za nyamaza.
1.Baada ya Mbu hao kuwa released to the wild,unajua watakavyo behave?
2.Unajua wamewekewa nini ambacho wanaweza kusambaza kwa wanadamu na kuwadhuru?
3.Unajua Mbu hao wamefanyiwa utafiti miaka mingapi,ili hata kama wakiwa released now isiwe janga baadae?Hapa nazingumzia long term research.
4.Je unajua sehemu zingine ambapo Mbu hawa walikuwa released na matokea yalikuwa yapi?
5.Lakini je unawaelewa Globalists na Bill Gates ambaye ndiye mwenye mradi huu kiundani?

Mkuu kama huna majibu ya maswali hayo,you do not have the right to speak,unaonekana mjinga tu na karai la zege la Globalists.

Fuata link ifuatayo uone ubaya wa tekinolojia hiyo fake.Ni mbinu tu ovu za kutaka kuua watu kwa wingi.

Sawa Dr. Msukuma je smartphone unayotumia imewekewa Nini Cha kukuua ili wazungu wabaki pekee duniani!?
 
Hapa ndipo inapo onekana wazi kwamba ninyi watu hamjitambui.Laiti mngejua Waafrika ni watu gani duh!We are the original people who God created mkuu,Wazungu ni Mazeruzeru tu.Have you ever asked yourself kwa nini Wazungu hawana Melanin na sisi tuna Melanin.Takeni kujua mambo,msikae kihasara hasara tu.

Anzia kwenye link ifuatayo ili ujitambue na ujue Wazungu ni watu wa namna gani.


View: https://youtu.be/_8gKT7M2EGk?si=u7J7nPDcHOmeooJ-
Historia yenu imefutwa ili msijitambue na muwaone wao ni watu wa maana kumbe si lolote ni Mazeruzeru tu.Mkuu kama ngozi ya Mzungu ingekuwa original wasingekuwa na matatizo ya magonjwa ya ngozi mengi hasa Cancers za ngozi wakikaa juani.Matatizo yao ya ngozi yanafanana sana na ya Albino.Hamjiulizi kwa nini?l


Hapa ndipo inapo onekana wazi kwamba ninyi watu hamjitambui.Laiti mngejua Waafrika ni watu gani duh!We are the original people who God created mkuu,Wazungu ni Mazeruzeru tu.Have you ever asked yourself kwa nini Wazungu hawana Melanin na sisi tuna Melanin.Takeni kujua mambo,msikae kihasara hasara tu.

Anzia kwenye link ifuatayo ili ujitambue na ujue Wazungu ni watu wa namna gani.


View: https://youtu.be/_8gKT7M2EGk?si=u7J7nPDcHOmeooJ-
Historia yenu imefutwa ili msijitambue na muwaone wao ni watu wa maana kumbe si lolote ni Mazeruzeru tu.Mkuu kama ngozi ya Mzungu ingekuwa original wasingekuwa na matatizo ya magonjwa ya ngozi mengi hasa Cancers za ngozi wakikaa juani.Matatizo yao ya ngozi yanafanana sana na ya Albino.Hamjiulizi kwa nini?

Historian yetu imefutwa na Nani ?
Kama imefutwa wewe umeijuaje?

Unanipa link iliotengenezwa na Wazungu ili wanimalize ?

Huyo aliyeeleza kwenye link anakaa kwa Wazungu anatumia kila kitu kilichotengenezwa na Mzungu halafu unaleta ngonjera za Wazungu kutaka kuwamaliza waafrica.

Siyo kila kitu mnachosoma kinaelimisha vingine vinapotosha.
 
Sawa Dr. Msukuma je smartphone unayotumia imewekewa Nini Cha kukuua ili wazungu wabaki pekee duniani!?
Jibu maswali niliyo weka,usiniletee ujinga.After all hata Msukuma alikuwa sahihi 100 %.Huwezi kufanya research bila a "Null Hypothesis." Ya Msukuma ilikuwa a Hypothesis which needs to be proved by Scientific Research.Mambo msiyo yajua msiyaingilie mnaonekana vilaza.
 
Ndio maana mimekuàmbia wewe poyoyo.So kwa kuwa the establishment wanaagiza vitu kwao basi ni sawa,you yourself can't have a second thought kuwa inawezekana kufanya hivyo ni makosa,kwa kuwa inawezekana vifaa hivyo kiafya havifai.Halafu eti najifanya mimi ni bonge la intelligent,mawazo ya chini kweli haya.Kwa hiyo mtu akikupa mawazo mbadala amejifanya bonge la intelligent.

Tatizo ni kwamba mnatetea vitu vya kijinga, utetezi ambao unaweza kuwafanya wasiojua waone vitu hivyo ni sahihi na kuvikubali,kitu ambacho lazima tukipinge kwa nguvu zetu zote.Hatuwezi kukubali watu wetu waharibiwe na uchumia tumbo wa watu wachache Kama ninyi.
Mkuu, kwani kwanini wazungu wanataka tufe wote?
 
Back
Top Bottom