Maelfu ya waarabu wanakimbilia Marekani kuishi. Kwanini hawaendi Qatar, Iran au Saudia?

Maelfu ya waarabu wanakimbilia Marekani kuishi. Kwanini hawaendi Qatar, Iran au Saudia?

Nchi za nje zipo nyingi ila kiwanja ni kimoja tu- USA. Hata marais wa nchi zao wanacheza green card lottery.

Uchaguzi mkuu wa kiwanja ni kama uchaguzi wa dunia nzima macho na maskio yote yapo kiwanja 🇺🇸🇺🇸🇺🇸
 
Swali la kijinga!
Jews wamehama wote Mashariki ya kati wakasambaa nchi nyingine mbona huulizi!

Wahindi na wachina wapo duniani kote mbona huulizi?
 
Sielewi ni kwa nini maelfu ya waarabu wanakimbilia na kung'ang'ania kwenda Marekani kuishi badala ya kwenda Qatar, Iran au Saudia!!
Screenshot_2024-11-02-06-42-04-667_com.twitter.android~2.jpg
 
Sielewi ni kwa nini maelfu ya waarabu wanakimbilia na kung'ang'ania kwenda Marekani kuishi badala ya kwenda Qatar, Iran au Saudia!!
Si Kweli nchi zinazoongoza kupokea wakimbizi ni tatu Iran, Uturuki na Ujerumani

Nchi zinazoongoza kuwa na Migrants Saudi ni ya tatu.

Nchi zinazoongoza kupokea wageni wengi per capita karibia zote ni za kiarabu.

Mfano nchi kama UAE ina watu kama milioni 10 ila milioni kama 9 ni wageni na milioni kama 1 ndio Raia.

So hii ni myth ambayo ipo repeated kila siku kudanganya watu.
 
Si Kweli nchi zinazoongoza kupokea wakimbizi ni tatu Iran, Uturuki na Ujerumani

Nchi zinazoongoza kuwa na Migrants Saudi ni ya tatu.

Nchi zinazoongoza kupokea wageni wengi per capita karibia zote ni za kiarabu.

Mfano nchi kama UAE ina watu kama milioni 10 ila milioni kama 9 ni wageni na milioni kama 1 ndio Raia.

So hii ni myth ambayo ipo repeated kila siku kudanganya watu.
Myth?
 
Yes kuna data nyingi tu

Naanza na UN wakimbizi
View attachment 3144298
Home boy umeelewa vizuri mada na uhusiano na hizi takwimu zako kweli?

Wakimbizi au watu(kama inavyosemwa katila mada hii) wanaokwenda Marekani ni tofauti ni hizi data zako

UNHCR anafanya hosting ya wakimbizi kwenye hayo mataifa na hayo mataifa yanakubali kupokea watu hao kwa sababu ni member state wa UN.(Hii ni tofauti na population inayoingia Marekani)
 
Back
Top Bottom