Maelfu ya waarabu wanakimbilia Marekani kuishi. Kwanini hawaendi Qatar, Iran au Saudia?

Maelfu ya waarabu wanakimbilia Marekani kuishi. Kwanini hawaendi Qatar, Iran au Saudia?

Home boy umeelewa vizuri mada na uhusiano na hizi takwimu zako kweli?

Wakimbizi au watu(kama inavyosemwa katila mada hii) wanaokwenda Marekani ni tofauti ni hizi data zako

UNHCR anafanya hosting ya wakimbizi kwenye hayo mataifa na hayo mataifa yanakubali kupokea watu hao kwa sababu ni member state wa UN.(Hii ni tofauti na population inayoingia Marekani)
Kuna data mbili tofauti nimeweka, jitoe ufahamu kama nyengine hujaiona, kuna refugees na migrants, zote mbili nimeweka.
 
Nchi za nje zipo nyingi ila kiwanja ni kimoja tu- USA. Hata marais wa nchi zao wanacheza green card lottery.

Uchaguzi mkuu wa kiwanja ni kama uchaguzi wa dunia nzima macho na maskio yote yapo kiwanja 🇺🇸🇺🇸🇺🇸
Halafu anakuja mtu anajifanya "ng'e ng'e, ng'e ng'eee", mae, wanacheza na US nini hawa?
 
Proportion na influx inafanana? Yaani imechukua miaka mingapi hao wakimbizi kuwa kwenye hizo nchi?

Halafu hiyo "proportion" inatokana na data gani?
Hizo data ni za world bank
images (57).jpeg

Unaweza ukaziangalia vizuri hapa

Na hizi ni total immigrants unazotumia wewe
images (4).png
 
Mnapenda kwell maneno ya Kanga, kutwa mnawasema wazaramo humu hali ya kuwana sifa zote za hao wazaramo. Ulishindwa kutafsiri na kuziweka mpaka uongee hayo maneno.?
Kwa sababu hutumii akili, Qatar nchi nzima ina watu milioni 2.5, US kwa mwaka inapokea immigrants hadi milioni 3, sasa hiyo Qatar itakuaje na Immigrants wengi zaidi ya US??
 
Halafu anakuja mtu anajifanya "ng'e ng'e, ng'e ng'eee", mae, wanacheza na US nini hawa?
Ukitoa nchi zenye vita

Usilolijua wewe waarabu wana hela nchi zote hizo za ulaya wanapewa incentive waende na sio wanalazimisha kwenda, kuna Nchi Kibao za Ulaya miradi yao mikubwa mikubwa ni Mali za waarabu. Hapo Usa nina uhakika hujui kampuni yoyote ya Usa isiomilikiwa na waarabu
 
Ukitoa nchi zenye vita

Usilolijua wewe waarabu wana hela nchi zote hizo za ulaya wanapewa incentive waende na sio wanalazimisha kwenda, kuna Nchi Kibao za Ulaya miradi yao mikubwa mikubwa ni Mali za waarabu. Hapo Usa nina uhakika hujui kampuni yoyote ya Usa isiomilikiwa na waarabu
Kwa ufinyu wa ulicho comment hapa shukuru hata nimekujibu. Haya kanunue kuku uchinje ule na biriani.
 
Kwa sababu hutumii akili, Qatar nchi nzima ina watu milioni 2.5, US kwa mwaka inapokea immigrants hadi milioni 3, sasa hiyo Qatar itakuaje na Immigrants wengi zaidi ya US??
Hujui kingereza ndio maana
Screenshot_20241105-154902_Pixel Launcher.png
 
Hizo data ni za world bank
View attachment 3144301
Unaweza ukaziangalia vizuri hapa

Na hizi ni total immigrants unazotumia wewe
View attachment 3144302
Zingatia, Percentage siyo number.
Cheza na namba hizi hapanimekuletea.

Top 10 Countries with the Highest Number of Foreign-Born Residents (Immigrants) - United Nations 2020:​



Top 10 Countries with the Highest Number of Emigrants (Former Residents living Internationally) - United Nations 2020:​

Country# Emigrants
India17.9M
Mexico11.2M
Russia10.8M
China10.5M
Syria8.5M
Bangladesh7.4M
Pakistan6.3M
Ukraine6.1M
Philippines6.1M
Afghanistan5.9M
 
mbona mnawashwawashwa sana na Waarabu/Waislamu? Hivi hamna habari humu zaidi ya upupu

Hizo nchi za waarabu bila uchonganishi na vita kutoka US na Western countries plus Israel ambao wamejaza majeshi yao wakivizia mafuta hapo middle east kulikuwa na matatizo gani hapo ya kuwafanya watu kuwa refugees?

Unavamia nchi yao unaua, unaiba mafuta ya mabilioni kisha unajidai kuwapa hifadhi wakimbizi wao..pambafu kabisa
 
Sielewi ni kwa nini maelfu ya waarabu wanakimbilia na kung'ang'ania kwenda Marekani kuishi badala ya kwenda Qatar, Iran au Saudia!!
Huko marekani umeona maelfu ya waarabu tu hujaona walatino wakienda hadi Trump kutishia kujenga ukuta?!..by the way watu toka ulaya na marekani wanakimbilia Dubai
 
Back
Top Bottom