Maelfu ya waarabu wanakimbilia Marekani kuishi. Kwanini hawaendi Qatar, Iran au Saudia?

Maelfu ya waarabu wanakimbilia Marekani kuishi. Kwanini hawaendi Qatar, Iran au Saudia?

Ewe muumini mwenzangu ukipata muda muulize binti yako anapenda akasome wapi kati ya St. Francis na Mbeya Muslim School.
Hawataki kusoma FEza, Aga Khan, Al muntazir na nyenginezo? Wakati wenzenu wanasoma international School mnajazana Necta, mnajisifia kuwa wa kwanza Necta wenzenu wanaajiriwa Direct Ughaibuni halafu mnakuja Kulalamika humu.
 
Hakuna sehemu ambayo Watanzania wengi wanaenda Kushinda Dubai, ila wanajitoa tu ufahamu.
Unajua kwa nini hata ukiwa masikini ukiomba visa ya Dubai asubuhi jioni unakuwa umeipata tofauti na visa ya Marekani ambayo kama sio tajiri, unaenda kusoma, umeshinda lottery yao au una mdhamini/ndugu zako huko unaweza kuitafuta miezi na bado usiipate??
 
Namba zako zinaonesha Saudia ni Nchi ya tatu zaidi duniani watu kuzamia, na UAE ni Nchi ya Sita, so watu wanazamia nchi za kiarabu. Ama hujui kusoma ume copy and paste?
Mimi sijaleta takwimu za wazamiaji, nimeleta takwimu za wahamiaji au wewe za kwako ni za wazamiaji?

Unataka namba za illigal immigrants? Hizi hapa;

  • significantly.

CountryMaximum Illegal Immigrant PopulationMinimum Illegal Immigrant Population
Russia12M10M
United States11.4M10.9M
India10M1.4M
Bangladesh1.2M500K
France1.2M890K
Germany1M100K
South Africa1M500K
United Kingdom950K550K
Malaysia800K800K
Brazil700K700K
South Korea210K210K
Venezuela200K200K
Canada120K35K
China100K10K
Philippines100K100K
Australia100K50K
Switzerland100K100K
Norway56K18K
 
Ok nimekuelewa kuna tofauti kweli kati ya refugees na migrants.Swali la msingi hii mada inaongelea nini?(Refugees au migrants?)

Mada inahusu watu ambao wako tayari kuacha makazi yao kwa sababu zao wenyewe kwenda kuishi Marekani(they're willingly to give up their homeland to take refuge in the USA).Hii ni contrary na data zako nilizokataa ambazo zinaonyesha number of refugees per country.

Refugees ni watu wanasukumwa na factors kibao(i.e,vita,njaa,uongozi mbaya n.k) kutoka katika ardhi yao mama kwenda kupata hifadhi maeneo mengine(Waarabu wanaongelewa hapa wapo katika category ya migrants kwa sababu zao wanazozijua wao)

Ndio maana takwimu zako nimekwambia hazina uhusiano na mada iliyopo
Bosi nimeweka takwimu zote mbili.

Hata hao ambao wapo Willing wamejaa Kibao Dubai, Saudi, Kuwait, Oman, Bahrain na kwengineko.

Ngoja nikupe Data moja Konki usipoielewa na hii hutaelewa Tena

-Nchi zote za EU kuna immigrants Milioni 27 (mwaka 2023)
-Nchi zote za Middle Kuna immigrants milioni 54

Source


So middle East hasa hapo Gulf kuna immigrants milioni 54 wakati bara zima la Ulaya ni milioni 27 tu huoni kama tunapigana kamba tu hapa kwamba watu wanakimbilia sana Ulaya?

Na Usa ina immigrants wengi sababu ni Li inchi kubwa sana lenye state zaidi ya 50, ila ukiangalia kwa propotion ya eneo na population ya Nchi za Gulf still inapokea immigrants wengi.
 
Sielewi ni kwa nini maelfu ya waarabu wanakimbilia na kung'ang'ania kwenda Marekani kuishi badala ya kwenda Qatar, Iran au Saudia!

kwa sababu marekani ni ardhi ya wahamiaji, wenyewe natives) wapo kidogo sana, walimalizwa kwa kuuliwa na wazungu.
 
Unajua kwa nini hata ukiwa masikini ukiomba visa ya Dubai asubuhi jioni unakuwa umeipata tofauti na visa ya Marekani ambayo kama sio tajiri, unaenda kusoma, umeshinda lottery yao au una mdhamini/ndugu zako huko unaweza kuitafuta miezi na bado usiipate??
Boss kuna tofauti kati ya traveler na Immigrant, tuanze kuelimishana kama watoto wadogo kweli?

Haya tuanze ku define Immigran
Screenshot_20241105-164139_Pixel Launcher.png

Ili u Qualify kuitwa Immigrant inabidi uwe unaishi permanent,

Dubai inapokea wageni zaidi Ya milioni 100 lakini kuna Immigrant milioni 9 tu, tofautisha hivi vitu.
 
baba-mwajuma unaelewa kuwa hao "migrant" wana "status" tofauti tofauti?
Kama nilivyoweka comment ya juu, ili u Qualify kuitwa Migrant unahitaji permanent residency, mfano umeajiriwa na Kampuni ya Mafuta Aramco una barua ya Ajira, wewe ni migrant, watu kama Kina Christiano Ronaldo, wafanyakazi wa mafuta etc wale ni migrant

Ila sijui unaenda kununua simu Dubai wewe sio migrant na huhesabiwi.
 
Bosi nimeweka takwimu zote mbili.

Hata hao ambao wapo Willing wamejaa Kibao Dubai, Saudi, Kuwait, Oman, Bahrain na kwengineko.

Ngoja nikupe Data moja Konki usipoielewa na hii hutaelewa Tena

-Nchi zote za EU kuna wakimbizi Milioni 27 (mwaka 2023)
-Nchi zote za Middle Kun fefugees milioni 54

Source


So middle East hasa hapo Gulf kuna immigrants milioni 54 wakati bara zima la Ulaya ni milioni 27 tu huoni kama tunapigana kamba tu hapa kwamba watu wanakimbilia sana Ulaya?

Na Usa ina immigrants wengi sababu ni Li inchi kubwa sana lenye state zaidi ya 50, ila ukiangalia kwa propotion ya eneo na population ya Nchi za Gulf still inapokea immigrants wengi.
Ok,kiongozi niseme ukweli uko sahihi lakini kuna muda lazima ujue nini kinahitajika na wapi?(Natambua unajua vitu vingi lakini unaposhindwa kuchagua sehemu sahihi ya kupachika data zako ni kwamba zitaonekana hazina msaada)

Mada inaongelea kwanini waarabu kwa utashi wao wanaenda kuishi Marekani(topic of debate).Wewe upo upande wa ku-argue against the topic(kutetea hoja zako unaniletea takwimu za wakimbizi ambazo kwa mada hii sidhani kama ni za muhimu).

Kulinda hoja zako wewe sema waarabu wanakwenda Marekani au hawaendi? Na kama ni kweli wanaenda sababu ni zipi zinawafanya wao wachague Marekani na si mataifa mengine?
 
Mimi sijaleta takwimu za wazamiaji, nimeleta takwimu za wahamiaji au wewe za kwako ni za wazamiaji?

Unataka namba za illigal immigrants? Hizi hapa;

  • significantly.

CountryMaximum Illegal Immigrant PopulationMinimum Illegal Immigrant Population
Russia12M10M
United States11.4M10.9M
India10M1.4M
Bangladesh1.2M500K
France1.2M890K
Germany1M100K
South Africa1M500K
United Kingdom950K550K
Malaysia800K800K
Brazil700K700K
South Korea210K210K
Venezuela200K200K
Canada120K35K
China100K10K
Philippines100K100K
Australia100K50K
Switzerland100K100K
Norway56K18K
Kwa hio umebadili data na kwenda OP kabisa? Hizi zinahusiana nini na hoja ya mtoa mada?
 
Boss kuna tofauti kati ya traveler na Immigrant, tuanze kuelimishana kama watoto wadogo kweli?

Haya tuanze ku define ImmigranView attachment 3144342
Ili u Qualify kuitwa Immigrant inabidi uwe unaishi permanent,

Dubai inapokea wageni zaidi Ya milioni 100 lakini kuna Immigrant milioni 9 tu, tofautisha hivi vitu.
Sasa wewe unasemaje Bahrain yenye raia milioni 1.5 ina immigrants wengi kuliko US yenye immigrants milioni 3 kwa mwaka??

Halafu immigrants sio lazima uishi permanent, wapo pia temporary immigrants, Qatar ilipata temporary immigrants wengi mwaka 2022 wakati wa kombe la dunia ambao walikuwa ni vibarua kutoka Nepal walionda kujenga Stadiums, fuatilia taarifa ya malalamiko yao jinsi walivyokufa kwa maelfu kutokana na kazi ngumu kwenye joto kali.
 
Back
Top Bottom