Maelfu ya waarabu wanakimbilia Marekani kuishi. Kwanini hawaendi Qatar, Iran au Saudia?

Maelfu ya waarabu wanakimbilia Marekani kuishi. Kwanini hawaendi Qatar, Iran au Saudia?

Kwa hio umebadili data na kwenda OP kabisa? Hizi zinahusiana nini na hoja ya mtoa mada?
We ndiye umeacha hoja ya mleta mada, nilichofanya mimi ni kuja na data za kukutandika kila ulipojaribu kuinama ili ufiche sura
 
Sielewi ni kwa nini maelfu ya waarabu wanakimbilia na kung'ang'ania kwenda Marekani kuishi badala ya kwenda Qatar, Iran au Saudia!!
Wamejaa sana Uingereza na kanada kuliko mahali pengine popote.
Huku wakijidai kwamba wana magharibi ni mashoga na makafiri
 
Watu hukimbilia fursa na security, Kuna walatini huko SA, Kuna jamii za wahindi, jamii za kichina karibu zote huenda USA ambapo Kuna uwanja mpana wa kutoboa Kwa hustlers, nani anapenda kuona mabomu yanarushwa na kukaa na presha Kila siku ndio maana Arabs hukimbia maana shida si Mali au pesa bali ni utulivu, kule Amerika kusini unadhani maskini nani anapenda maisha ya kibabe kama Yale ya makundi kama madawa, magenge ya kihalifu na vurugu nyingine, jamii ya wachina na wahindi wanazaana sana hivyo ni vizuri na wao kutoka kwenda kwenye malisho ya uhakika... Siyo USA watu wengi pia huenda ulaya, Nordic countries nazo zinakimbiliwa sana siku hizi...yaani si suala la jamii Fulani bali ni suala linalotakiwa kufikiriwa Kwa upana zaidi na kusoma na kufuatilia Hali za watu kimaisha maeneo mbalimbali duniani... Ulimwengu umehamia zaidi kwenye reasoning siku hizi siyo kama zamani, ni afrika pekee ndio tunaishi kwenye ujima.
 
Ok,kiongozi niseme ukweli uko sahihi lakini kuna muda lazima ujue nini kinahitajika na wapi?(Natambua unajua vitu vingi lakini unaposhindwa kuchagua sehemu sahihi ya kupachika data zako ni kwamba zitaonekana hazina msaada)

Mada inaongelea kwanini waarabu kwa utashi wao wanaenda kuishi Marekani(topic of debate).Wewe upo upande wa ku-argue against the topic(kutetea hoja zako unaniletea takwimu za wakimbizi ambazo kwa mada hii sidhani kama ni za muhimu).

Kulinda hoja zako wewe sema waarabu wanakwenda Marekani au hawaendi? Na kama ni kweli wanaenda sababu ni zipi zinawafanya wao wachague Marekani na si mataifa mengine?
Hili swali lako ni deja Vu mkuu, nimeulizwa hili swali exactly kama lilivyo na jibu lake ni kwamba watu wana Allergy na data.

Sehemu pekee ambayo waarabu wapo wengi Na wakilalamika wana haki ni South America

USA Population ya waarabu ni 3.5M tu, compare na SOUTH America ambapo wapo Takriban milioni 27.

Kipindi cha civil wars za Lebanon, Syria, Palestina na kwengineko wengi walienda South America na SIO ulaya na Usa kama wengi wanavyotaka kutupiga kamba humu na "Trust me bro evidence".


Sehemu nyengine yenye waarabu wengi ni Ufaransa ila hii ni special case kwa Ufaransa, Algeria, Morocco na Tunisia toka kipindi cha Ukoloni.

Na waarabu walioenda South America walienda ikiwa bara ni masikini kabisa, Waarabu wa Palestina/Lebanon/Syria ni wasomi na wana ujuzi sana wa kali transform hilo bara toka bara giza kama Africa kubwa bara linalo endelea kwa kasi,
 
Mkuu swali linnaulizwa Warabu wana imigrate kwenda wapi. Sio Hao Waislam wa Buza wanaoenda kujazana Sadia wakati wa Hijjah.
Mtu anekwenda kuhiji sio Migrant, na mwarabu anaweza toka Palestina na kwenda Saudia ama Uae, migration sio lazima uvuke Bara.
 
Ngoja warabu weusi wenye nywele za kipilipili waje kukuchachafya.
 
Sasa wewe unasemaje Bahrain yenye raia milioni 1.5 ina immigrants wengi kuliko US yenye immigrants milioni 3 kwa mwaka??

Halafu immigrants sio lazima uishi permanent, wapo pia temporary immigrants, Qatar ilipata temporary immigrants wengi mwaka 2022 wakati wa kombe la dunia ambao walikuwa ni vibarua kutoka Nepal walionda kujenga Stadiums, fuatilia taarifa ya malalamiko yao jinsi walivyokufa kwa maelfu kutokana na kazi ngumu kwenye joto kali.
Bosi nimekuwekea hadi defenition ya propotion? Mbona tunachoshana hivi? Comprehension ni janga la Taifa kwa kweli.
 
Hili swali lako ni deja Vu mkuu, nimeulizwa hili swali exactly kama lilivyo na jibu lake ni kwamba watu wana Allergy na data.

Sehemu pekee ambayo waarabu wapo wengi Na wakilalamika wana haki ni South America

USA Population ya waarabu ni 3.5M tu, compare na SOUTH America ambapo wapo Takriban milioni 27.

Kipindi cha civil wars za Lebanon, Syria, Palestina na kwengineko wengi walienda South America na SIO ulaya na Usa kama wengi wanavyotaka kutupiga kamba humu na "Trust me bro evidence".


Sehemu nyengine yenye waarabu wengi ni Ufaransa ila hii ni special case kwa Ufaransa, Algeria, Morocco na Tunisia toka kipindi cha Ukoloni.

Na waarabu walioenda South America walienda ikiwa bara ni masikini kabisa, Waarabu wa Palestina/Lebanon/Syria ni wasomi na wana ujuzi sana wa kali transform hilo bara toka bara giza kama Africa kubwa bara linalo endelea kwa kasi,
Kwa nini unailinganisha nchi moja ya US na bara zima la South America??
 
Kwa nini unailinganisha nchi moja ya US na bara zima la South America??
Hata ukichukua Nchi moja moja mathalan Brazil ina waarabu milioni 12, Argentina 4.5M etc.

Na America imegawanyika South na North, North America ni wao Usa na Canada, Canada ni around 0.6M Arabs ukijumlisha North America kwa Ujumla ni around 4.5M Arabs wakati South ni zaidi ya mara 5 ya hio Figure.
 
Unajua kwa nini hata ukiwa masikini ukiomba visa ya Dubai asubuhi jioni unakuwa umeipata tofauti na visa ya Marekani ambayo kama sio tajiri, unaenda kusoma, umeshinda lottery yao au una mdhamini/ndugu zako huko unaweza kuitafuta miezi na bado usiipate??
Sasa unaenda marekani kufanya nini kwa mfano? Mimi hata unipe uraia siendi.
Linchi limejaa mabaradhuli mpaka vitoto vinabeba bunduki vinaenda kuua wenzao shuleni hiyo ni nchi au takataka
 
Sasa unaenda marekani kufanya nini kwa mfano? Mimi hata unipe uraia siendi.
Linchi limejaa mabaradhuli mpaka vitoto vinabeba bunduki vinaenda kuua wenzao shuleni hiyo ni nchi au takataka
Maneno ya mkosaji kiongozi achana nayo(ni kweli hutoenda lakini wenzako wataenda unajua sababu ni nini?)

The US has reached the highest stage of civilisation in modern history(na hii ndio sababu kwanini utaona waarabu na watu wengine wanakimbilia huko).
 
Waarabu wanapenda sana kale kamchezo ka P Didy wanaona kwa sababu kule US wamehalalisha wanahamia kule ile wakasodamane kwa uhuru kwa kuwa nchi nyingi za waarabu wamepiga marufuku.
 
Maneno ya mkosaji kiongozi achana nayo(ni kweli hutoenda lakini wenzako wataenda unajua sababu ni nini?)

The US has reached the highest stage of civilisation in modern history(na hii ndio sababu kwanini utaona waarabu na watu wengine wanakimbilia huko).
Hahahaha eti highest stage of civilization..ndio ile ya kuwa na mapadri na wachungaji mashoga sio?

Kweli nyie ndugu zetu viongozi wenu hawajakosea kuwaita makondoo
 
Hahahaha eti highest stage of civilization..ndio ile ya kuwa na mapadri na wachungaji mashoga sio?
Unaweza kusema hao mapdri ni asilimia ngapi ya wamarekani? Halafu kuna dini ambayo haina viongozi walawiti?

Yaani dunia nzima hakuna Masheikh au Maustaadhi walawiti?
 
Hahahaha eti highest stage of civilization..ndio ile ya kuwa na mapadri na wachungaji mashoga sio?

Kweli nyie ndugu zetu viongozi wenu hawajakosea kuwaita makondoo
Nimeongelea cilivisation being at the highest stage in the US.Jambo la kuepo mapapai Marekani ni nje ya mada kiongozi.

Kama ni mapapai yapo kila kona ya dunia hii(hii ni pamoja na uarabuni).Nje ya mada kwanini kila mkibanwana na facts kimbilio lenu limekuwa ni kuleta mada za ushoga?(ni faida zipi mnapata?au kufanya hivyo kunawafanya muonekane wema au mnakemea?)
 
Back
Top Bottom