Lord Delamere in Kenya
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,988
- 8,021
Ukafirini kuna maisha kuliko Peponi Sheikh.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Qatar ,Iran au Saudi wana majeshi Ulaya au US? kitendo cha wao US kuweka majeshi na kuiba mafuta ya watu ni haki yao waarabu kwenda huko huko US kutumia pesa za mafuta yaoSielewi ni kwa nini maelfu ya waarabu wanakimbilia na kung'ang'ania kwenda Marekani kuishi badala ya kwenda Qatar, Iran au Saudia!!
Wana kambi kibao za jeshi mashariki ya kati hao US, kazi yao kuiba mafuta tu, sasa acha hao waarabu waende maana hao ndio wezi wa mafuta yaoNashangaa,eti Kwa mashoga kwann wasibaki kwenye maadili🙄🤣
Na hutaekewa sababu huna uwezo wakuelewa.Sielewi ni kwa nini maelfu ya waarabu wanakimbilia na kung'ang'ania kwenda Marekani kuishi badala ya kwenda Qatar, Iran au Saudia!!
Hivi mzungu Huwa anawalazimisha hao viongozi kwenye hizo nchi ambalo wanachukua hizo nyara za serikali?Wana kambi kibao za jeshi mashariki ya kati hao US, kazi yao kuiba mafuta tu, sasa acha hao waarabu waende maana hao ndio wezi wa mafuta yao
Kule wanafuata POMBE, NYAMA CHOMA YA NGURUWE, NYIMBO ZA KIZUNGU NA VINGINE VINGI SASA UENDE QATAR, IRAN UKARUSIWE MAPEPO YA JIHADI WANACHORA SIKU HIZIKwasababu tunataka dunia nzima iendeshwe kwa sheria za kiislam
Na kamwe haitowezekana labda mueneze UGAIDIKwasababu lengo ni dunia nzima iendeshwe kwa sheria za kiislam
Wewe na jamaa yako anaitwa ward41 huwa ni waongo sana.Sielewi ni kwa nini maelfu ya waarabu wanakimbilia na kung'ang'ania kwenda Marekani kuishi badala ya kwenda Qatar, Iran au Saudia!!
Acha ufala kijana huko kunakojengwa ukuta 95% ni raia kutoka VENEZUELA,GUATEMALA, MEXICO, URUGUAY NA ARGENTINA.Huko Trump anakotaka kujenga ukuta ndiko waarabu wanakopitia!
Wimbi la waarabu kuhamia Ulaya na Marekani kila leo linapungua.Ok nimekuelewa kuna tofauti kweli kati ya refugees na migrants.Swali la msingi hii mada inaongelea nini?(Refugees au migrants?)
Mada inahusu watu ambao wako tayari kuacha makazi yao kwa sababu zao wenyewe kwenda kuishi Marekani(they're willingly to give up their homeland to take refuge in the USA).Hii ni contrary na data zako nilizokataa ambazo zinaonyesha number of refugees per country.
Refugees ni watu wanasukumwa na factors kibao(i.e,vita,njaa,uongozi mbaya n.k) kutoka katika ardhi yao mama kwenda kupata hifadhi maeneo mengine(Waarabu wanaongelewa hapa wapo katika category ya migrants kwa sababu zao wanazozijua wao)
Ndio maana takwimu zako nimekwambia hazina uhusiano na mada iliyopo
Akili hawana kabisa.Wakimbizi hawakimbilii western na migrants pia hawakimbilii western nishaeka Data kibao ila mnapotezea na kurudia Ujinga Ule ule.
Hizi data za Wakimbizi Toka UN
View attachment 3144635
Nchi inayoingoza Kutengeneza Wakimbizi na kuharibu nchi zenye Amani NI Usa, Wamepiga Iraq na kuharibu Wamepiga Afghanistan, wanasuport machafuko kila sehemu Syria, Lebanon, Palestine, Yemen na kwengineko. Wanaobeba Zigo la wakimbizi ni Uturuki na Iran. Leo hii anaonekana Iran Mkorofi na Usa eti baba la Amani.
So maneno yenu matupu ya siyo na Data ama Data za UN wenyewe zipi ni sahihi?
Hata wasomali pia.Sielewi ni kwa nini maelfu ya waarabu wanakimbilia na kung'ang'ania kwenda Marekani kuishi badala ya kwenda Qatar, Iran au Saudia!!
Mbona hamwendi china na vietnan huko ama north korea mkasilimishe watuKwasababu lengo ni dunia nzima iendeshwe kwa sheria za kiislam
Muende nort korea na vietnanWaislamu wameshatosha huko Qatar, inabidi waislamu waende kwenye nchi zisizo za kiislamu ili waislamu waongezeke na huko
Mwarabu asili yake ni mweusi,na wapo waarabu weusi waliobakia nchi za kiarabu,na kiko kisiwa kinaitwa Scotra,kisiwa hicho ni weusi watupu.Hawa unaowaita wewe waarabu,ni machotara wa kizungu na hao waarabu (weusi),baada ya kuoana waarabu (weusi) na wanawake wa kizungu wa kitumwa,nfio wakapatikana hao machotara wa kizungu na waarabu.Hao wanarudi kwenye asili ya mabibi na mababu zao.Sielewi ni kwa nini maelfu ya waarabu wanakimbilia na kung'ang'ania kwenda Marekani kuishi badala ya kwenda Qatar, Iran au Saudia!!
Sielewi ni kwa nini maelfu ya waarabu wanakimbilia na kung'ang'ania kwenda Marekani kuishi badala ya kwenda Qatar, Iran au Saudia!!
Hao unaowaita waarabu,ni machotara wa kiarabu(weusi) na wanawake watumwa wa kizungu,waliopelekwa nchi za kiarabu,wakaoana,waarabu wa asili ambao ni weusi na wazungu wanawake weupe,waliopelekwa utumwani,asili ya muarabu sio mweupe,na wapo waarab weusi nchi za kiarabu,na kiko.kisiwa kinaitwa Scotra,ni waarabu weusi watupu.Muarabu asili yake ni Aftika,hata neno Afrika,linatokana na mtawala,wa kiarabu(mweusi).Hao unaowaita waarabu(machotara wa kiarabu na wa kizungu)wanarudi kwenye asili ya mabibi zao na mababu zao.Wazungu wanajua hilo,ndio.maana wazungu,wanawapokea,na pia hawaiti whites,wanajumuishwa kwenye blacks.Sielewi ni kwa nini maelfu ya waarabu wanakimbilia na kung'ang'ania kwenda Marekani kuishi badala ya kwenda Qatar, Iran au Saudia!!