Ndiyo maana Trump amesema wazi kuwa atakuwa na msimamo mkali dhidi ya wahamiaji.Yani hawa watu wanatafuta tu uchokozi kwenye nchi za watu……Huwezi ukamkuta Mzungu yupo Saudi Arabia au Iraq anaomba serikali za huko waruhusu uwepo wa shughuli za kikristo kwenye nchi hzo
Lakini hawa waarab wamepewa hifadhi ya kuishi kwenye nchi za kikristo,wanaanza kuleta mambo ya Middle East
Hawa wanapaswa warudi kwao tu,wakaendelee kuvaa makobazi
Unamaanisha uarabu, siyo??Hakuna culture bora duniani zaidi ya Uislam.
Mipaka ya wapiSwali lipi?
Uiwlqm hauna mipaka, amaa uukubali ama uukatae. Hulazimishwi.
Ulaya lazima ilipe gharama! Ulaya na US walishirikiana kwenda kuzipiga nchi za Kiislamu na kuharibu ustawi wa nchi zao mf. Iraq,Afghanstan,Syria,Yemen,Libya,nk
Wakawakaribisha Wahamiaji ndiyo matokeo hayo sasa!
Chanzo chako cha habari unakiamini?Impact za illegal and mass migration zimeanza kuonekana huko Ujerumani na hii ni baada ya maelfu ya waislamu kuonekana wakiandamana huko Ujerumani wakitaka kuwepo na sheria za kiislamu kwenye nchi hiyo yaani Sharia Laws.
I have no words, video inajieleza!
Soma Pia: Wakristo wa Yemen walishinikizwa kufuata sheria za Kiislamu: ‘Tulilazimishwa kuvaa hijabu’
Hujasoma "hakuna"? Sasa iwe hakuna halafu iwe ya "wapi" tena?Mipaka ya wapi
Tukumbuke huyo ni mjerumani, aliwahi kupigana na dunia nzima mara mbili ndani ya nusu karne, na mara ya pili nusura ashinde. Kuna watu wanajichanganya vibayaImpact za illegal and mass migration zimeanza kuonekana huko Ujerumani na hii ni baada ya maelfu ya waislamu kuonekana wakiandamana huko Ujerumani wakitaka kuwepo na sheria za kiislamu kwenye nchi hiyo yaani Sharia Laws.
I have no words, video inajieleza!
Soma Pia: Wakristo wa Yemen walishinikizwa kufuata sheria za Kiislamu: ‘Tulilazimishwa kuvaa hijabu’
Ni kisa la mtu siyo waislamu,nchi zenye waislamu wengi LGTB it's total illegalmpaka
Usisahau aliuwa na wazee wetu, kwa kuwachinja kama kondoo, waliompinga kututawala, rejea vita ya majimaji by Mohamed Said.Tukumbuke huyo ni mjerumani, aliwahi kupigana na dunia nzima mara mbili ndani ya nusu karne, na mara ya pili nusura ashinde. Kuna watu wanajichanganya vibaya
Mfano mzuri ni Zanzibar dhidi ya Wabara waishio ZanzibarSiyo kweli.
leta ushahidi wako kama u mkweli.
Uongo mtupu. Huna point hapo.Mfano mzuri ni Zanzibar dhidi ya Wabara waishio Zanzibar
Pia btn Washia wa Iran wanavyowafanya Sunni Muslims
Au utajifanya hujui hayo?
Ubaya umefanyika xnaa xx ni muda wa kuufuta ujinga wote dunia iwe ya kistaarab kama matakwa ya mungu yanavosema kwenye bibilia yenuYeah ubaya unaenea kulko uzuri ,Wacha uenee na wote tuwe waisilamu alaf baadae tuunde vikundi vya kigaidi tuuane wote dunia ubaki Haina watu
Unatudanganya utazani tunaishi Sudan ?tz na Zanzibar tunaiishi vizuri ila kwenye mitandao unakuta jitu liko kigoma hata pwani halijui afu linalia lia muunganoMfano mzuri ni Zanzibar dhidi ya Wabara waishio Zanzibar
Pia btn Washia wa Iran wanavyowafanya Sunni Muslims
Au utajifanya hujui hayo?
Mash~AllahSwali lipi?
Uislam hauna mipaka, ama uukubali ama uukatae. Hulazimishwi.
Ni aina ya vitambaaa wanavyovaaa wahindi wa PunjabKitimoto ndiyo nini?
Unawajua wajerumani vizuri,Tulijitahidi hata kutumia Google Translation kumsihi Chancellor Angel Mercel aachane na hawa wakimbizi fake wakatudharau. Sasa ndiyo wamejua hawajui. Muda si mrefu wataanza kuonyesha wakiwachinja wenyeji.
This is it. Vizazi vinabadilika. Leo Iran kuna wimbi la wanawake kupinga kulazimishwa kuvaa hijab wakati Ufaransa wanadai haki ya kuvaa hijab hadi burqa!Wahenga walisema: "Familiarity breeds contempt" kibongo-bongo unaweza kusema "Mazoea huleta dharau".
Wale wakimbizi/wazamiaji waliopewa hifadhi kwa Hisani tu ya ubinadamu, sio hawa kizazi cha leo kinacholeta mtafaruku. Waliokuja mwanzoni wengi wao walisha ondoka(RIP). Sasa hawa Chakaram waliopo hawajui Historia iliyopita na wanadhani wazazi wao walikuwepo kihalali na kwa kuzaliwa huko nchi za watu na wameshakuwa ni wengi kundi kubwa, wanaona sasa ni halali kwao kudai haki na kushinikiza uwepo wa baadhi ya Taratibu na Desturi za huko walikotokea wazazi wao.
Wamezua tafrani Uingereza, Ufaransa n.k. eti Sharia.....
Naona ni vyema na ni Haki yao sasa warudishwe kwao ili wakajifunze zaidi namna na jinsi ya kuishi na watu wengine wenye Imani tofauti, Mila, Desturi na Taratibu tofauti zisizotaka matumizi ya kunakili kichwa-kichwa kile kilichoandikwa kwenye kile kitabu chao maarufu.
Yani kosa lililofanywa na nchi zilizowapokea kwa huruma hao watu ni kutokutambua kwamba Watu hao waliopokelewa ni aina ya watu "Handle with care" hawana shukrani hata kidogo.