Hayo ndo baadhi ya matokeo ya kuukumbatia "Mfumo dume" katika ubora wake. Swali linakuja kwamba, Je; Kwani huyo mwanamke alikuwa anazini peke yake? Mhusika (Me) ili huo uzinifu aliotuhumiwa nao ukamilike yuko wapi? au mwanaume sio sehemu ya uzinifu? Tutafakari sana hapo.
Kama ni bora je mkristo au myahudi anaweza kuwa Khalifa ndani ya Sharia law? Non muslim tunaweza kuwaoa nyie watu wa Mnyazi?
Au Muta marriage tunawapa pesa
Kama ni bora je mkristo au myahudi anaweza kuwa Khalifa ndani ya Sharia law? Non muslim tunaweza kuwaoa nyie watu wa Mnyazi?
Au Muta marriage tunawapa pesa
Kwahiyo watu waendelee na jihadi wakapewe mabikira mbinguni eti,aliyewaambia mbinguni Kuna ngono ni nanii 🤣🤣🤣yani hadithi zinawadanganya Sana,it's Arabic customs and literacy,Islam is just fiction....
The human rights policy that has been promoted by the western world has basically paralyzed their countries and as a result the terrorists are looking for a way to justify their terrorism under the pretext of the freedom of worship.