Maelfu ya Waislamu wenye msimamo mkali waandamana Ujerumani wakitaka uwepo wa Sheria za Kiislamu (Sharia Laws)

Maelfu ya Waislamu wenye msimamo mkali waandamana Ujerumani wakitaka uwepo wa Sheria za Kiislamu (Sharia Laws)

Hayo ndo baadhi ya matokeo ya kuukumbatia "Mfumo dume" katika ubora wake. Swali linakuja kwamba, Je; Kwani huyo mwanamke alikuwa anazini peke yake? Mhusika (Me) ili huo uzinifu aliotuhumiwa nao ukamilike yuko wapi? au mwanaume sio sehemu ya uzinifu? Tutafakari sana hapo.
Sharia Law Watu wanasingiziana tu ni mfumo uliopitwa na wakati.
 
two-german-beer-drinkers-wearing-lederhosen-at-the-le-mans-24-hour-B5R260.jpg
senior-man-drinking-beer-during-oktoberfest-munich-bavaria-germany-BK9ANJ.jpg

Wajerumani na Islamic Sharia wapi na wapi?!

Inatakiwa hao wahamiaji ndio Wa assimilate wanywe Bia Bariidi.
 
Na wapo serious kabisa... Hawa jamaa wa mnyazimungu sometimes hawanaga akili
 
Uongo.
. Sharia ni bora kuliko sheria yoyote za kibinadam duniani.
Kama ni bora je mkristo au myahudi anaweza kuwa Khalifa ndani ya Sharia law? Non muslim tunaweza kuwaoa nyie watu wa Mnyazi?
Au Muta marriage tunawapa pesa
 
Kama ni bora je mkristo au myahudi anaweza kuwa Khalifa ndani ya Sharia law? Non muslim tunaweza kuwaoa nyie watu wa Mnyazi?
Au Muta marriage tunawapa pesa
Kama unataka mjadala na mimi andika kiheshima. Uliza upendacho kiheshima,

Uislam haujakosa majibu. Yote uliyoyaema jibu lake ni ndiyo.

Anza swali moja moja nikupe ushahidi kabisa. Siyo porojo tu.
 
kuupenda uislam kila engo mwisho uislam
Kwahiyo watu waendelee na jihadi wakapewe mabikira mbinguni eti,aliyewaambia mbinguni Kuna ngono ni nanii 🤣🤣🤣yani hadithi zinawadanganya Sana,it's Arabic customs and literacy,Islam is just fiction....
 
The human rights policy that has been promoted by the western world has basically paralyzed their countries and as a result the terrorists are looking for a way to justify their terrorism under the pretext of the freedom of worship.
 
Siyo kweli, kama kabalehe (vunja ungo) hata miaka 3 rukhsa. Kama hajabalehe, hata 20 huruhusiwi kuowana nae.
Kwa nini unadanganya watu wewe Madam. Kwa kuwa elimu yenu ni ya madrassa ndio maana unaongea huo upuuzi. Wewe uliolewa ukiwa na miaka mingapi.
 
Back
Top Bottom