Maendeleo bila furaha na amani ni kazi bure. Membe njoo utuokoe Watanzania

Maendeleo bila furaha na amani ni kazi bure. Membe njoo utuokoe Watanzania

Hiyo ni wrong comparative analysisi Membe hajawihi kua Raisi wa nchi hi......nisawa sawa kuchukua Magufuri wakati wakipindi cha Waziri na wa sasa niwatu wawili tafouti........yule alikua msikivu asiopenda ma kuu mwenye huruma kwa raia....wasasa hivi kama Raisi nikinyume na wa kwanza, jambo la utekaji tu na visasi vyako kwa raia ni tosha kwamba nikatiri ambaye hajawahi kutokea Tz

Sent using Jamii Forums mobile app
Masahihisho madogo : Hata alipokuwa waziri alikuwa katiri bali alidhibitiwa , kwa mfano alipotaka kubomoa jengo la Tanesco alikatazwa lakini alipokuwa Rais akatekeleza unyama wake
 
Wewe na yeye poleni sana
Pamoja na maendeleo ya vitu yanayoendelea TANZANIA, wananchi wake wapo hoi, hawana furaha, hawana amani, tunakuomba Bwana Membe uje utuokoe Watanzania tunateseka ndani ya nchi yetu.
 
Umeona like yangu huko?
Rais Magufuli bado anatosha sana! Ila akubali kupokea ushauri kutoka kwa watu makini.

Akibadili mtazamo kuhusu Sera zake za Uchumi na kuruhusu Sekta Binafsi kuendesha uchumi.

Akizingatia Utawala wa Sheria (Rule of Law ) na akakubali pia kukosolewa.

Akikubali kukuza Demokrasia na kuzuia mambo haya ya hovyo ya kutekana na kuuana hovyo.

Akajitenga na wapambe nuksi wanaosaka Ugali kwa kivuli cha kumsifia na kumuabudu !

Basi Mhe.Rais Magufuli atakuwa na ata sasa ni Rais Bora kuliko anavyoweza kuwa Ndg.Bernard Kamillius Membe.

Nguvu kubwa (undisputed power ) ambayo Mhe.Rais Dr.Magufuli anayo kuliko akina Mhe. Membe ni hii ya kuamini kuwa maendeleo ya Watanzania yako mikononi mwa Watanzania na kwamba Tanzania ni Nchi Tajiri sana!

Hawa kina Mhe.Bernard Kamillius Membe walitudhalilisha sana na uombaomba na kuabudu Wazungu!

Kama ni Mhe.Membe ni bora mara 1000 kwa Taifa hili Mhe. Rais Magufuli aendelee tu kutuongoza na " udikteta" wake.

Watakao- survive wataona kitu huko mbele kuliko huu ("u- softness, u- diaspora, kuzurura duniani, uombaomba ) wa akina Mhe. Bernard Kamillius Membe.
 
Hata Huyo Membe Akitawala Hawezi Kubalika Na Kila Mtu Hivo Mkuu Tulia Tu Dawa Ikuingie...
Ikiwa Hadi Mungu Anapondwa Na Kukosolewa Na Alowaumba Na Kuwapa Kila Kitu Bure Unadhani Magufuli Ni Nani Hata Apendwe Na Kila Mtu?
Wekeza Katika Maisha Yako Na Acha Kulia Lia
 
Back
Top Bottom