Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunataka katiba mpya
Inasemekana Katika maswali ambayo humuudhi Muheshimiwa Jakaya mrisho kikwete, ni pamoja na Swala la Katiba ya Jamuhuli ya Muungano wa Tanzania...
Ameshasikika ,marachache akisema kubadili katiba si maendeleo ya nchi huku akijua kuwa Katiba ndiyo inayo Bana maendeleo ya nchi,,
Tazama Zambia, Tazama Rwanda,, Nchi hizi mbili zilikuwa na rushwa na ufisadi wa kutupwa,, lakini Maraisi wake wameamua kujikubali kuwa lazima Wananchi waumie kwa kuwabana na sheria ngumu zinazo leta maendeleo ya nchi ili baada ya maendeleo hayo kupatikana watafurahia maisha
Wananchi wengi tunaishi kwa kukosa besic needs kwa kiwango kile kinachotakiwa,,,
Katiba hii inatakiwa ibadilishe jamaniniiii
Hivi kwanini tusi washawishi Watanzania tuungane Tanzania Nzima Kudai Katiba mpya?
Tuungane kuidai Katiba mpya
Sio slaa aanze anza wewe na mimi ndo tuna nguvu kuliko slaa...vipi bana slaa halali njaa, hashindwi kulipa school fees, wala halali mbavu za mbw'a wewe na mimi wazazi wetu wanaokula mizizi kijinini ndo tutawezaKenya waliandamana sana kudai katiba mpya. Nakumbuka katika moja ya maandamano hayo, somebidy Prof. Ghai (mzungu au mhindi) alikuwa amevaa T-Shirt iliyoandikwa "Why hire a Lawyer if I can buy the Judge". Kwa maana nyingine, tunahitaji Wa-TZ kuanza kudai katiba kwa maandamano ya amani, migomo baridi hasa kususia mikutano ya wanasiasa wakubwa, na kupiga kampeni ya nguvu ili watu waelewe kwa nini tunataka katiba mpya na watuunge mkono.
Nafikiri hii ndiyo iwe strategy ya kwanza, tukiungwa mkono wa wabunge wote wa upinzani. Najua hamasa ipo. Tukumbuke Mawaziri walipozomewa baada ya bajeti ya pili ya serikali ya Kikwete! Slogan "KATIBA MPYA NA TUME HURU YA UCHAGUZI". Tuwaombe wananchi wawasusie wabunge wao ambao hawataunga mkono hii move.
Dr. Slaa anzia hapo. Tutakuunga mkono.
Mpaka yesu arudi au ndo zile hadithi na njozi za alinacha...? anza sasaKatiba itabadilishwa tu siku si nyingi sana. tena asipoangalia mabadiliko yatakuja kama ambavyo hakutarajia mabadiliko ya uchaguzi huu
hapo sio chadema kaka ni mimi na wewe kushirikiana na civil for society vipi tena bana kumbe na wewe unahitaji kuelimishwa...?:A S angry:Chadema ifanye hima kuungana na civil society ili kuwahamasisha wananchi tangia sasa ilil uwepo mchakato wa kupata katiba inayoendana na wakati huu wa vyama vingi vya siasa. Chadema wasikubali kungoja wakati unapita wa kupata katiba itakayomkomboa mwananchi kutokana na makucha ya hawa mafisadi!!