Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Una uhakika ?Sunderland timu ya UK.... Kupitia JK
Kwanini usimuulize Jakaya Kikwete mwenyewe?Ni Jiji la Ilala wakati ule likiwa bado Manispaa , Ni jiji la DSM au ni Mfadhili fulani ama ni Mzee Kikwete Mwenyewe ?
Nimefurahishwa sana na muonekano wake na hasa kwa kitendo cha mechi kuchezwa usiku , nampongeza aliyejenga uwanja huu
Nani alijenga ?Mbona wa siku nyingi mkuu. Tena toka awamu ya nne
Chukua hiyo mkuu.Una uhakika ?
Ni kama una madini fulani hivi hebu funguka , kabla ya symbion kulikuwa nini ?Symbion
Hivi ile mipira walipiga dana dana Obama na jk na ilisemekana itazalisha umeme kipindi cha Obama alichozuru nchini,inazalisha huo umeme?
Symbion ambao ni ndugu wa Richmond ?Uwanja umejengwa kwa funds za symbion power na club ya sunderland ya uingereza nayo imeweka msaada wake.. symbion baada ya kuchota sana hela za Watanzania kwenye umeme.. ikaamua kuwajengea uwanja ili muwaone wanawajali
Ukienda pale uwanjani kuna maandishi makubwa karibu na getini yameandikwa.. gift to Tanzanians from symbion power
Jakaya chini ya ufadhili wa Symbion. Upo kariakoo gerezani.Nani alijenga ?
Symbion ndugu wa Richmond ?Jakaya chini ya ufadhili wa Symbion. Upo kariakoo gerezani.
Kuna nyimbo nyingi za wasanii wameshutia hapo kama vile Dogo Janja,Mwana fa, Kassim mganga n.k
Mkuu siku nyingine ila lengo kuu ya kujengewa hicho kiwanja kutupoza na skendo ya RichmondNi kama una madini fulani hivi hebu funguka , kabla ya symbion kulikuwa nini ?
wala hakuna haja ya siku nyingine , umeeleweka kabisaMkuu siku nyingine ila lengo kuu ya kujengewa hicho kiwanja kutupoza na skendo ya Richmond
Symbion ambao ni ndugu wa Richmond ?
Aiseeeee !!Ndio hao hao wa kuchota zaidi ya milioni 160 kwa siku
Ndio mkuuSymbion ndugu wa Richmond ?