Ule Uwanja ulijengwa n Club ya Sunderland ya UK
Wale Jamaa walitaka kuwajengea Uwanja Simba
Jakaya akamwita Mzee Ismail Aden Rage akiwa Mwenyekiti wa Simba enzi hizo akamtaka shauri lakin kwa sharti Simba ivae jezi zenye nembo ya Sunderland yenye Njano kidooogo
Jk akamuuliza Jezi za Simba tukiweka Unjano njano Makomandoo wa Simba watakuelewa?
Rage aliposita, Jakaya akaamuru ule Uwanja ujengwe kidongo chekundu na dili la Simba likafia hapo
Maelezo haya sijatunga wala kuota, alitamka Jk mwenyewe hadharan
Najua pamoja na 'nia njema' yake alipata Msukumo kutokana na Uyanga wake akatukosesha uwanja wekundu wa Msimbazi
Wale Jamaa walitaka kuwajengea Uwanja Simba
Jakaya akamwita Mzee Ismail Aden Rage akiwa Mwenyekiti wa Simba enzi hizo akamtaka shauri lakin kwa sharti Simba ivae jezi zenye nembo ya Sunderland yenye Njano kidooogo
Jk akamuuliza Jezi za Simba tukiweka Unjano njano Makomandoo wa Simba watakuelewa?
Rage aliposita, Jakaya akaamuru ule Uwanja ujengwe kidongo chekundu na dili la Simba likafia hapo
Maelezo haya sijatunga wala kuota, alitamka Jk mwenyewe hadharan
Najua pamoja na 'nia njema' yake alipata Msukumo kutokana na Uyanga wake akatukosesha uwanja wekundu wa Msimbazi