Maendeleo ya sayansi na teknolojia yamebadili tabia zetu kama binadamu

Maendeleo ya sayansi na teknolojia yamebadili tabia zetu kama binadamu

Siku hizi hata kula pamoja nyumbani hakuna.Huyu kaenda kuangalia mpira,huyu anaCHAT jikoni mwingine anacheza GAME chumbani. Chakula kipo kwenye hotpot kikipoa mtu anapasha kwa MICROWAVE.
Hata kuwafundisha watoto table manners hatuwezi baba anakula chakula akiwa kwenye sofa anaangalia Man United inacheza.
 
Hili neno: "Huko tuendako itafikia wakati unafunga ndoa ukiwa na mashahidi wenu tu na baada ya hapo mnakwenda kupata chakula nyumbani au hotelini. Muda wa kualikana kwenye sherehe hautakuwepo" lishatimia.

Kifuatacho ni kuongezeka kwa watu wanaofanya hivi!
 
Zamani watoto wa mji ule na mji ule kufika kwa jirani na wakapewa chakula viziri ilikuwa kawaida, Kuazima chumvi, Mboga, moto, na kuwakimbilia majirani zako kwa lolote mda wowote, sasa hivi unaweza fia kwa dirisha au mlango wa jirani na asijali wala kukusaidia. Miaka inaenda kasi sana
 
Hili neno: "Huko tuendako itafikia wakati unafunga ndoa ukiwa na mashahidi wenu tu na baada ya hapo mnakwenda kupata chakula nyumbani au hotelini. Muda wa kualikana kwenye sherehe hautakuwepo" lishatimia.

Kifuatacho ni kuongezeka kwa watu wanaofanya hivi!
Kuliko uombe ruhusa kazini, utafute nauli, nguo za kuvaa. Ni kheri kuwarushia maharusi muwamala uwasaidie kwenye maisha mapya. Na picha za harusi utaziona Instagram.
 
Unapata mpenzi Facebook mnakuwa wapenzi mnaachana wakati hata hamjawahi kuonana.
 
Zamani watoto wa mji ule na mji ule kufika kwa jirani na wakapewa chakula viziri ilikuwa kawaida, Kuazima chumvi, Mboga, moto, na kuwakimbilia majirani zako kwa lolote mda wowote, sasa hivi unaweza fia kwa dirisha au mlango wa jirani na asijali wala kukusaidia.... Miaka inaenda kasi sana
Utaomba vipi moto kwa jirani wakati anapikia gesi na jiko lina kibiriti humo humo.
 
Ukimuudhi tu mama/baba watoto wako anachukua simu janja yake anaanza kuperuzi ili kuepusha majibizano, baada ya ukimya unamgeuzia kibao kuwa ana dharau hakusikilizi.

Kila kitu ni kizuri kwa wakati wake

Sent from my Nokia 3.1 using JamiiForums mobile app
 
Idadi kubwa ya watu pia wanazidi kudharau uchawi na kupuuza mambo mengi ya dini yanayoonekana kutokwenda na wakati.
Kweli kaka. Dini ni eneo lilioathiriwa sana na maendeleo ya Sci & Tech. Kadi S & T inavyozidi kutoa majibu ya matatizo ya mwanadamu, dini inapoteza umuhimu (becomes irrelevant) sababu kuu dini zimejengwa kwa misingi ya imani na sio logic.

Mfn, ukisoma Historia ya magonjwa, wakati imetokea Black death, Catholic iliwatuhumu wayahudi kuwa ndio chanzo sbb hawafi sana, kupambana na ugonjwa wakawasisitiza waumini wao wakusanyike makanisani kusali.

Lakini ukweli ni kuwa wayahudi sbb walikuwa wametengwa (Lockdown) ndio maana hawakupata maambukizi sana, ila wakatoliki sbb walikuwa wakikusanyika walikufa sana. Leo 700+ yrs later, imetokea Covid kanisa limefungwa, hakuna mikusanyiko na wanawasii waumini kufuata kanuni za afya (sayansi). So, miaka kadhaa ijayo dini itabidi zibadilike kuitii sayansi.
 
Kweli kaka. Dini ni eneo lilioathiriwa sana na maendeleo ya Sci & Tech. Kadi S & T inavyozidi kutoa majibu ya matatizo ya mwanadamu, dini inapoteza umuhimu (becomes irrelevant) sababu kuu dini zimejengwa kwa misingi ya imani na sio logic. Mfn, ukisoma Historia ya magonjwa, wakati imetokea Black death, Catholic iliwatuhumu wayahudi kuwa ndio chanzo sbb hawafi sana, kupambana na ugonjwa wakawasisitiza waumini wao wakusanyike makanisani kusali. Lakini ukweli ni kuwa wayahudi sbb walikuwa wametengwa (Lockdown) ndio maana hawakupata maambukizi sana, ila wakatoliki sbb walikuwa wakikusanyika walikufa sana. Leo 700+ yrs later, imetokea Covid kanisa limefungwa, hakuna mikusanyiko na wanawasii waumini kufuata kanuni za afya (sayansi). So, miaka kadhaa ijayo dini itabidi zibadilike kuitii sayansi.
Ninadhani contradiction kubwa hapa ni huma rights. Kama kanisa lingesisitiza watu wakeshe makanisani na kusali, kuna wahanga wa COVID wangeweza kuliburuza kanisa mahakamani.

Siku hizi watu wanajua kanuni zote za human rights kwa msaada wa google engine.
 
Kwa upande wa michezo, VAR imeharibu ile spirit ya sportsmanship. Raha ya michezo kuwe na utata na ndio ushabiki wenyewe.
 
Ninadhani contradiction kubwa hapa ni huma rights. Kama kanisa lingesisitiza watu wakeshe makanisani na kusali, kuna wahanga wa COVID wangeweza kuliburuza kanisa mahakamani.

Siku hizi watu wanajua kanuni zote za human rights kwa msaada wa google engine.
Nadhani jambo la kwanza ni utambuzi wa kanuni za afya. Huwezi kudai kitu ambacho hukijui. Ukweli ni kuwa hadi leo dini zote zingependa watu wake waenende kikondoo, lakini ni ngumu katika mazingira ambayo watu hao wameelimika (sayansi) na pili, wanajua haki zao na tatu wazidai vipi.
 
Nadhani jambo la kwanza ni utambuzi wa kanuni za afya. Huwezi kudai kitu ambacho hukijui. Ukweli ni kuwa hadi leo dini zote zingependa watu wake waenende kikondoo, lakini ni ngumu katika mazingira ambayo watu hao wameelimika (sayansi) na pili, wanajua haki zao na tatu wazidai vipi.
Kuna mchungaji kutoka Nigeria alifika Ulaya na kuanza kuombea watu. Alisema anao uwezo wa kuikemea saratani na ikaondoka.

Wazungu walimburuza mahakamani atoe ushahidi, hakua nao basi alilipa fidia kwa kuudhihaki ugonjwa wa saratani. Ile pesa ilikwenda kwenye cancer research charity.
 
Siku hizi huwezi kuchomoa moto ya 10,000 kwenye wallet ya baba chanja akiwa ana oga. Hela iko bank na kwenye M-pesa. Ukitaka hela ya vitunguu anakurushia.
Siku akiblock laini yake bahati mbaya mida ya jioni mtalala njaa
 
Kuna mchungaji kutoka Nigeria alifika Ulaya na kuanza kuombea watu. Alisema anao uwezo wa kuikemea saratani na ikaondoka.

Wazungu walimburuza mahakamani atoe ushahidi, hakua nao basi alilipa fidia kwa kuudhihaki ugonjwa wa saratani. Ile pesa ilikwenda kwenye cancer research charity.
Safi.

Hawa walimshitaki sababu walijua fika kuwa Cancer haimalizwi kwa maombi bali kwa kuzingatia kanuni za Afya.
 
Zamani watu Wakikutana weekend kula gambe ni gambe na story mpaka mwisho.. Siku hizi mkikikutana Kabla mhudumu hajamaliza kuchukua oda kila mtu keshahamia kwenye simu janja anaperuzi…
 
Teknolojia imefanya mwanamke asithaminiwe tena kingono. Wanaume wanaona tupu za wanawake mitandaoni kwa hiyo hata ukikutana nayo mubashara abadan hamu imeshaisha.
 
Back
Top Bottom