mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
KabisaMwanza - dsm.. mapema kabla ya saa 12 umeshafika
Itakuwa raha sana
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaMwanza - dsm.. mapema kabla ya saa 12 umeshafika
Itakuwa raha sana
Kwani hawalipi Kodi? Mradi ni Kodi za wananchiChadema watakuja kupinga, utadhani wao wanaishi nje ya nchi.
Cc: Bia yetu , Magonjwa Mtambuka
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha unafiki!
Mimi mnafiki according to who?Wewe?
And that makes what of you?
Fact ni fact...mna bipolar disorder!
GTFOH
Hakuubuni huu mradi. Tusianze kusahaulishana mara moja hii.Kumbe na wewe mate yanakutoka kwa mbaliii. Any way JPM anawapigia kazi watz wote.
Mkuu tungependa iwe hivyo lakini mbona mwendokasi usafiri umedolola kisa mabasi haba.Ila huu mradi ukiisha na kufanikiwa itakuwa si mchz
Gairo-dar,
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbuka serikali ya Ccm imepokezana vijiti tokea tumepata uhuru. Suala la kuubuni isiwe ishu. Hata JNHPP ulibuniwa wakati wa mwalimu na amekuja kutekeleza JPM.Hakuubuni huu mradi. Tusianze kusahaulishana mara moja hii.
Ajitahidi tu kusimamia ujenzi uende vizuri, atasifiwa kwa hilo akilifanikisha.
Dua dua mzee wabongo ndiyo hapo kwenye kuendesha na kusimamia.....Mkuu tungependa iwe hivyo lakini mbona mwendokasi usafiri umedolola kisa mabasi haba.
Subiri uone utendaji kazi,sisi ni mashahidi wa mwendokasi ilivyovurugwa kwa sababu za kitoto na majivuno.Ni mwaka wa nne tunajutia mradi huo.
Kujenga mbali,utendaji wa usafirishaji wa abiria kitu kingine.
Kweli kbsa
Kama ktk wiki 2 una leta mzg wa kg 600
Ina maana kwa treni utaweza itumia na kubeba Tani 1[emoji23][emoji23]
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
SanaaaItasaidia sana wafanyabiashara....mno mno!
Huu mradi ni kodi zetu bwanaKumbe na wewe mate yanakutoka kwa mbaliii. Any way JPM anawapigia kazi watz wote.
Mimi nina imani ya ujenzi wa miradi hii lakini ninasita kabisa kuhusu utendaji baada ya kukamilika ujenzi.Dua dua mzee wabongo ndiyo hapo kwenye kuendesha na kusimamia.....
Mradi umewekwa waendeshaji ndy longo longo
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Upo sawa ila alichaguliwa na wananchi ili awe msimamizi wa kodi zetu.Huu mradi ni kodi zetu bwana
Tatizo sisi wenyewe Kuanzia Hao wanaoteuliwa kusimamia mradi mpk watendajiMimi nina imani ya ujenzi wa miradi hii lakini ninasita kabisa kuhusu utendaji baada ya kukamilika ujenzi.
Mradi wa mwendokasi wa mabasi labda inahitaji mabasi imara na mengi ya kutosha,lakini kwa kuwa kuna mkono wa serikali umepuuzwa kwa sababu hao vigogo hawapandi hayo mabasi.Ni propaganda tu kwenda mbele.
Upo sawa ila alichaguliwa na wananchi ili awe msimamizi wa kodi zetu.
Chadema wao KILA kitu kupingaKwani hawalipi Kodi? Mradi ni Kodi za wananchi