BekaNurdin
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 2,267
- 2,043
Pugu ya Dsm.Mkuu Pugu ipi hii unayoizungumzia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pugu ya Dsm.Mkuu Pugu ipi hii unayoizungumzia?
Daima mbele kurudi nyuma mwiko. Weka huo uzi hapa as your evidence!
****Kelele za chura ……….!!!
Naona fahari mie kuwa 'site muhandisi' kwenye huu mradi.
Chadema watakuja kupinga, utadhani wao wanaishi nje ya nchi.
Cc: Bia yetu , Magonjwa Mtambuka
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona site hamji kuona basi? Kazi yenu kutengeneza majungu kwenye keyboards tu. Haiwasaidii kitu.Kelele za chura halafu unazijibu....
See the irony?
Ndiyo maana COVID-19 imesambaratisha chama chao.Chadema kazi yao kubwa "kuponda/kuikosoa serikali" hapo hakuna chama, bali kuna udini na ukabila umetawala, ndio maana viongozi na wabunge wengi wameikimbia.
Basi kabuni dj zero mkuu.Hakuubuni huu mradi. Tusianze kusahaulishana mara moja hii.
Ajitahidi tu kusimamia ujenzi uende vizuri, atasifiwa kwa hilo akilifanikisha.
hahahhahahahahaChadema watakuja kupinga, utadhani wao wanaishi nje ya nchi.
Cc: Bia yetu , Magonjwa Mtambuka
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi wengine tuko CHAUMA hao CHADEMA huwa mnawaonea sana jamani
We kama sio umezaliwa kwenye familia ya wachawi, basi una roho ya kichawi.Imalizieni tuwasifu sio tokea mwaka juzi ni asilimia 75 tu haziishi?
Ndio Dar Moro tu
Hata mimi nashangaa tangu mwaka juzi walisema kipande cha Dar-Moro kinakaribia kukamilika na wakasema wanaagiza vichwa vya train kwa ajili ya kutestia.Imalizieni tuwasifu sio tokea mwaka juzi ni asilimia 75 tu haziishi?
Ndio Dar Moro tu
Kwa nini mkuu?We kama sio umezaliwa kwenye familia ya wachawi, basi una roho ya kichawi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dar, Pwani & Moro tangu Oktoba 2019 hadi sasa mvua zinanyesha mfululizo. Labda huko uliko ni kiangazi tangu wakati huo!
Kwa kuwa ndio unavyojipambanua. Msg yako, bila ya kuwa nguvu hizo, huwezi kuandika hivyo.Kwa nini mkuu?
Hivyo vijiji vyote itasimama ili wamsifu malaika Mwanza ni baada 24 hawaziMwanza - dsm.. mapema kabla ya saa 12 umeshafika
Itakuwa raha sana
Kweni nimesemaje?Kwa kuwa ndo unavyojipambanua. Msg yako, bila ya kuwa nguvu hizo, huwezi kuandika hivyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dar Moro masaa mangapi itatumia?Hakika.
Tena nakushauri ujenge palipo na main stations; Pugu (km 20), Soga (km 51), Ruvu (km 75), Ngerengere (km 134) au Morogoro (km 192).
Burigi mojaChadema watakuja kupinga, utadhani wao wanaishi nje ya nchi.
Cc: Bia yetu , Magonjwa Mtambuka
Sent using Jamii Forums mobile app