Chosen man
JF-Expert Member
- Dec 30, 2017
- 543
- 755
Kama kufika Moro tu imechukua karibu awamu yote ya miaka 5, hadi Mwanza labda tumpe miaka mingine 15. Na watanzania watakuwa wamechoka balaa.Tuwape muda
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kufika Moro tu imechukua karibu awamu yote ya miaka 5, hadi Mwanza labda tumpe miaka mingine 15. Na watanzania watakuwa wamechoka balaa.Tuwape muda
Nenda wewe ukawe rais kama hutaki.Upo sawa ila alichaguliwa na wananchi ili awe msimamizi wa kodi zetu.
Umchague au usimchague ni Rais wako tuWe naye usitukere sie ..ulimchagua wewe sio wote tulimchagua
Kuna zile tunnel ni asilimia kama 18 hivi japokuwa ni sehemu ndogo, ila kazi ni kubwa mno na inhitaji umakini wa hali ya juu. Na mvua hizi tangu mwaka jana - umakini unahitajika sana.Hata mie nimeshangaa huo mradi toka umefika asilimia 70 huwa hauendelei tena ama?
Maana kila ripoti ni 70+
Ukiwa mwongo uwe na kumbukumbu. Hawa wenzetu hawana kumbukumbuThe other time ilikua asilimia 88%
Leo asilimia 77%
Ccm wana vichaa haki
Ninaona fahari kuwa miongoni mwa 'site engineers' kwenye huu mradi uliotukuka!
***Kelele za chura ………..!!!
Daima mbele kurudi nyuma mwiko. Weka huo uzi hapa as your evidence!Site Engineer ni foot soldier,do not know squat!
Mlileta uzi humu zamani kidogo mna claim ni 88%!
Leo mmeshusha mpaka 77%
Kesho mtashuka mpaka 66%!
You guys are bipolar fa’real!
Serikali ongo,mafanyakazi yake maongo,mashabiki yake maongo,shame on these people!
Tunnels ziko Lot 2 [Morogoro - Makutopola], wao progress ni zaidi ya 30%.Kuna zile tunnel ni asilimia kama 18 hivi japokuwa ni sehemu ndogo, ila kazi ni kubwa mno na inhitaji umakini wa hali ya juu. Na mvua hizi tangu mwaka jana - umakini unahitajika sana.
Pindi wakimaliza hizo tunnels asilimia itaruka mpaka 90 na kitu!
Hakika.Huu mradi ukiisha aisee tutaneemeka tulio jirani na reli ..mie napigana kufa niweke lodge alongside reli!
Kodi zetu wenyewe acha tujiashue!
Kama swala la kubuni sio ishu, vilevile swala la utekelezaji sio ishue - ni mantiki tu inahitaji kuzingatiwa.Kumbuka serikali ya Ccm imepokezana vijiti tokea tumepata uhuru. Suala la kuubuni isiwe ishu. Hata JNHPP ulibuniwa wakati wa mwalimu na amekuja kutekeleza JPM.
Utekelezaji ni jambo la msingi maana ndio hapo wananchi wanapoona matunda ya mradiKama swala la kubuni sio ishu, vilevile swala la utekelezaji sio ishue - ni mantiki tu inahitaji kuzingatiwa.
Yes mkuu Morogoro patafaa...kuna mtu kashajenga hapa hapa wanapojenga hii reli(moro)..wale waturuki ndo wanalala hapa huyu soon atatusua vbya sana! Aliwaza mbali...amejenga classic oneHakika.
Tena nakushauri ujenge palipo na main stations; Pugu (km 20), Soga (km 51), Ruvu (km 75), Ngerengere (km 134) au Morogoro (km 192).
Hata kama yanayotekelezwa sio ya msingi?Utekelezaji ni jambo la msingi maana ndio hapo wananchi wanapoona matunda ya mradi
Aroo!....... wewe ni rimoja kati ya ware wanaosema-"kura tumekura afwandi, pa kurara je"Site Engineer ni foot soldier,do not know squat!
Mlileta uzi humu zamani kidogo mna claim ni 88%!
Leo mmeshusha mpaka 77%
Kesho mtashuka mpaka 66%!
You guys are bipolar fa’real!
Serikali ongo,mafanyakazi yake maongo,mashabiki yake maongo,shame on these people!
Hili jina lako nilikuwa nikilickia kwa mabroo fulani hivi miaka ya nyuma, so isije ikawa we ni mmoja wa wale mabroo [emoji3][emoji3][emoji3] sijui huyo jidu la mabambasi alikuwa naniAroo!....... wewe ni rimoja kati ya ware wanaosema-"kura tumekura afwandi, pa kurara je"
Mkuu Pugu ipi hii unayoizungumzia?Hakika.
Tena nakushauri ujenge palipo na main stations; Pugu (km 20), Soga (km 51), Ruvu (km 75), Ngerengere (km 134) au Morogoro (km 192).