Maendeleo ya watanzania yanazorota kwasababu ya ushamba wa matajiri na ukosefu wa maono toka kwa Wanasiasa

Maendeleo ya watanzania yanazorota kwasababu ya ushamba wa matajiri na ukosefu wa maono toka kwa Wanasiasa

Rorscharch

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2013
Posts
878
Reaction score
2,014
Eti leo tunawashangilia matajiri wetu, kina MO na Azam, kwa kuujaza utajiri wao kupitia kuuza energy drinks, barafu za ukwaju, tambi, na viberiti. Lakini je, tupo serious kweli kama taifa? Tunafurahia mafanikio haya huku tukiangalia ajira za wanyonge zikiteketezwa kwa sababu shughuli ndogondogo za wananchi wa kawaida haziwezi kushindana na mitaji mikubwa ya kiwanda. Hivi kweli kama MO ataanza kuuza juisi ya miwa, mashine ndogondogo za kukamua miwa zilizopo kwenye miji na vijiji vyetu zitakimbilia wapi?

Tatizo la Mtazamo wa Uwekezaji
Katika nchi za wenzetu, mabilionea wanachukua sehemu ya utajiri wao na kuwekeza katika mawazo mapya na ya kibunifu. Fikiria kampuni kama Uber, Amazon, Airbnb, au ChatGPT. Hizi zilianza kama mawazo kutoka kwa vijana wenye maono makubwa, zikapata msaada wa kifedha, na leo zimebadilisha maisha ya mamilioni ya watu na kuingiza mabilioni katika uchumi wa dunia. Lakini hapa kwetu, matajiri wetu hawana vision ya namna hiyo.

MO anauza kila kitu kutoka tambi hadi viberiti, huku akitangaza miradi mikubwa kama ya soka ambayo, kwa uhalisia, haina tija kubwa kiuchumi. Huku viwandani mwake wafanyakazi wanalipwa kiasi kidogo kisichozidi shilingi 4,000 kwa siku na kulala kwenye mabox. Ni wazi kwamba huu ni mfumo wa unyonyaji uliokithiri, lakini sisi Watanzania tunakubali na hata kushangilia.

Wajibu wa Sera za Uwekezaji:

Wanasiasa wetu wangekuwa na mapenzi mema na wananchi, wangeweka sera zinazolenga kulinda vipato vya wananchi wa kawaida. Serikali ingeweza kulimit uwekezaji ambao unaharibu vibaya sekta ndogondogo za kiuchumi. Kwa mfano, badala ya matajiri kuwekeza kwenye bidhaa za ulaji wa kila siku, wangehamasishwa kuweka mitaji kwenye sekta za teknolojia, kilimo cha kisasa, au viwanda vya kibunifu ambavyo vinaweza kufungua fursa zaidi kwa vijana.

Changamoto kwa Vijana na Mawazo Mapya

Nimekutana na vijana wengi wenye uwezo mkubwa na mawazo makubwa, lakini changamoto yao ni kupata wafadhili wa mawazo hayo. Matajiri wetu hawako tayari "take chances" kwenye mawazo ya vijana. Badala yake, wanabaki kulimbikiza utajiri kupitia miradi ya faida za haraka kama ulanguzi wa bidhaa kutoka nje au ujenzi wa nyumba za kupanga na kumbi za harusi.

Matajiri Wazawa na Mwelekeo wa Taifa

Kwa matajiri wetu wazawa, hali ni ya kusikitisha zaidi. Wengi wamebaki kuwa walanguzi wa bidhaa za Wachina kwenye Kariakoo au wanakata misitu mikoani na kuja kujenga majengo ya harusi Dar es Salaam. Mtu anakata heka 10 za miti Njombe, akija kujenga ukumbi wa harusi DSM, na tunashangilia? Hii kweli ni akili ya kuendeleza taifa?

Hitimisho

Tanzania haiwezi kutoka ikiwa tunaendelea kushangilia "uwekezaji" wa kuuziana barafu, tambi, na mifuko ya Rambo. Tunahitaji mfumo wa kiuchumi unaohamasisha ubunifu, mawazo mapya, na matumizi ya rasilimali kwa manufaa ya wengi. Matajiri wetu wanapaswa kuelewa kuwa utajiri mkubwa unahitaji uwekezaji wa maana, si unyonyaji wa kila mtu. Wakati umefika wa kuhoji aina ya maendeleo tunayoshangilia na kuweka mkazo kwenye ujenzi wa taifa lenye misingi imara ya uchumi wa ubunifu na uzalishaji wa kweli.
 
Eti leo tunawashangilia matajiri wetu, kina MO na Azam, kwa kuujaza utajiri wao kupitia kuuza energy drinks, barafu za ukwaju, tambi, na viberiti. Lakini je, tupo serious kweli kama taifa? Tunafurahia mafanikio haya huku tukiangalia ajira za wanyonge zikiteketezwa kwa sababu shughuli ndogondogo za wananchi wa kawaida haziwezi kushindana na mitaji mikubwa ya kiwanda. Hivi kweli kama MO ataanza kuuza juisi ya miwa, mashine ndogondogo za kukamua miwa zilizopo kwenye miji na vijiji vyetu zitakimbilia wapi?

Tatizo la Mtazamo wa Uwekezaji
Katika nchi za wenzetu, mabilionea wanachukua sehemu ya utajiri wao na kuwekeza katika mawazo mapya na ya kibunifu. Fikiria kampuni kama Uber, Amazon, Airbnb, au ChatGPT. Hizi zilianza kama mawazo kutoka kwa vijana wenye maono makubwa, zikapata msaada wa kifedha, na leo zimebadilisha maisha ya mamilioni ya watu na kuingiza mabilioni katika uchumi wa dunia. Lakini hapa kwetu, matajiri wetu hawana vision ya namna hiyo.

MO anauza kila kitu kutoka tambi hadi viberiti, huku akitangaza miradi mikubwa kama ya soka ambayo, kwa uhalisia, haina tija kubwa kiuchumi. Huku viwandani mwake wafanyakazi wanalipwa kiasi kidogo kisichozidi shilingi 4,000 kwa siku na kulala kwenye mabox. Ni wazi kwamba huu ni mfumo wa unyonyaji uliokithiri, lakini sisi Watanzania tunakubali na hata kushangilia.

Wajibu wa Sera za Uwekezaji:

Wanasiasa wetu wangekuwa na mapenzi mema na wananchi, wangeweka sera zinazolenga kulinda vipato vya wananchi wa kawaida. Serikali ingeweza kulimit uwekezaji ambao unaharibu vibaya sekta ndogondogo za kiuchumi. Kwa mfano, badala ya matajiri kuwekeza kwenye bidhaa za ulaji wa kila siku, wangehamasishwa kuweka mitaji kwenye sekta za teknolojia, kilimo cha kisasa, au viwanda vya kibunifu ambavyo vinaweza kufungua fursa zaidi kwa vijana.

Changamoto kwa Vijana na Mawazo Mapya

Nimekutana na vijana wengi wenye uwezo mkubwa na mawazo makubwa, lakini changamoto yao ni kupata wafadhili wa mawazo hayo. Matajiri wetu hawako tayari "take chances" kwenye mawazo ya vijana. Badala yake, wanabaki kulimbikiza utajiri kupitia miradi ya faida za haraka kama ulanguzi wa bidhaa kutoka nje au ujenzi wa nyumba za kupanga na kumbi za harusi.

Matajiri Wazawa na Mwelekeo wa Taifa

Kwa matajiri wetu wazawa, hali ni ya kusikitisha zaidi. Wengi wamebaki kuwa walanguzi wa bidhaa za Wachina kwenye Kariakoo au wanakata misitu mikoani na kuja kujenga majengo ya harusi Dar es Salaam. Mtu anakata heka 10 za miti Njombe, akija kujenga ukumbi wa harusi DSM, na tunashangilia? Hii kweli ni akili ya kuendeleza taifa?

Hitimisho

Tanzania haiwezi kutoka ikiwa tunaendelea kushangilia "uwekezaji" wa kuuziana barafu, tambi, na mifuko ya Rambo. Tunahitaji mfumo wa kiuchumi unaohamasisha ubunifu, mawazo mapya, na matumizi ya rasilimali kwa manufaa ya wengi. Matajiri wetu wanapaswa kuelewa kuwa utajiri mkubwa unahitaji uwekezaji wa maana, si unyonyaji wa kila mtu. Wakati umefika wa kuhoji aina ya maendeleo tunayoshangilia na kuweka mkazo kwenye ujenzi wa taifa lenye misingi imara ya uchumi wa ubunifu na uzalishaji wa kweli.
Kweli Mkuu huku Mbeya nimekuta viazi vinanijiozea tuu na maparachichi,hatuwezi kuweka viwanda vya kutengeneza chips za kuandikwa
 
Mkuu mie niliweka Uzi hapa wiki iliyoisha nikiwasema Hawa matajiri ya kuwa hawana impact ya maana kwenye maendeleo ya watanzania nikaishiwa kuitwa Nina wizu, mara oooh tafuta vyako.... Na mambo mengi ya kuudhi, ila kiukweli nchi inarudi nyuma badala ya kwenda mbele kwa sababu ya Hawa matajiri.
 
Eti leo tunawashangilia matajiri wetu, kina MO na Azam, kwa kuujaza utajiri wao kupitia kuuza energy drinks, barafu za ukwaju, tambi, na viberiti. Lakini je, tupo serious kweli kama taifa? Tunafurahia mafanikio haya huku tukiangalia ajira za wanyonge zikiteketezwa kwa sababu shughuli ndogondogo za wananchi wa kawaida haziwezi kushindana na mitaji mikubwa ya kiwanda. Hivi kweli kama MO ataanza kuuza juisi ya miwa, mashine ndogondogo za kukamua miwa zilizopo kwenye miji na vijiji vyetu zitakimbilia wapi?

Tatizo la Mtazamo wa Uwekezaji
Katika nchi za wenzetu, mabilionea wanachukua sehemu ya utajiri wao na kuwekeza katika mawazo mapya na ya kibunifu. Fikiria kampuni kama Uber, Amazon, Airbnb, au ChatGPT. Hizi zilianza kama mawazo kutoka kwa vijana wenye maono makubwa, zikapata msaada wa kifedha, na leo zimebadilisha maisha ya mamilioni ya watu na kuingiza mabilioni katika uchumi wa dunia. Lakini hapa kwetu, matajiri wetu hawana vision ya namna hiyo.

MO anauza kila kitu kutoka tambi hadi viberiti, huku akitangaza miradi mikubwa kama ya soka ambayo, kwa uhalisia, haina tija kubwa kiuchumi. Huku viwandani mwake wafanyakazi wanalipwa kiasi kidogo kisichozidi shilingi 4,000 kwa siku na kulala kwenye mabox. Ni wazi kwamba huu ni mfumo wa unyonyaji uliokithiri, lakini sisi Watanzania tunakubali na hata kushangilia.

Wajibu wa Sera za Uwekezaji:

Wanasiasa wetu wangekuwa na mapenzi mema na wananchi, wangeweka sera zinazolenga kulinda vipato vya wananchi wa kawaida. Serikali ingeweza kulimit uwekezaji ambao unaharibu vibaya sekta ndogondogo za kiuchumi. Kwa mfano, badala ya matajiri kuwekeza kwenye bidhaa za ulaji wa kila siku, wangehamasishwa kuweka mitaji kwenye sekta za teknolojia, kilimo cha kisasa, au viwanda vya kibunifu ambavyo vinaweza kufungua fursa zaidi kwa vijana.

Changamoto kwa Vijana na Mawazo Mapya

Nimekutana na vijana wengi wenye uwezo mkubwa na mawazo makubwa, lakini changamoto yao ni kupata wafadhili wa mawazo hayo. Matajiri wetu hawako tayari "take chances" kwenye mawazo ya vijana. Badala yake, wanabaki kulimbikiza utajiri kupitia miradi ya faida za haraka kama ulanguzi wa bidhaa kutoka nje au ujenzi wa nyumba za kupanga na kumbi za harusi.

Matajiri Wazawa na Mwelekeo wa Taifa

Kwa matajiri wetu wazawa, hali ni ya kusikitisha zaidi. Wengi wamebaki kuwa walanguzi wa bidhaa za Wachina kwenye Kariakoo au wanakata misitu mikoani na kuja kujenga majengo ya harusi Dar es Salaam. Mtu anakata heka 10 za miti Njombe, akija kujenga ukumbi wa harusi DSM, na tunashangilia? Hii kweli ni akili ya kuendeleza taifa?

Hitimisho

Tanzania haiwezi kutoka ikiwa tunaendelea kushangilia "uweke
Mkuu huo uwekezaji ulioutaja hapa tanzanai hakuna investor anayeweza kuweka pesa yake. Unajua Amazon iliichukua miaka mingapi kuanza kutengeneza faida? Ilikuwa inakula hasara kila mwaka kwa miaka kama mitano mfululizo, same to Uber, same to chatgpt n.k.
Na kumbuka kuwa hizo kampuni mtu alitoa wazo kwa investors waka invest haikuwa kampuni anayoimiliki kwa asilimia 100% kitu ambacho hata wewe badala ya kuwakandania hao unaweza kupeach wazo lako pia watu wakainvest.
Makampuni mengi ya kiteknolojia mtu hayamiliki kwa asilimia mia moja kama ilivyo kwa azam bali anatafuta investors.
Mbona wahindi wameweza kuanzisha startups na wakenya wanajitahidi pia so hata wewe unaweza badala ya kuanza kuwasema akina azam na mo wakati utajiri wao umetokana na hiyo biashara unayoikandia.
 
Mkuu huo uwekezaji ulioutaja hapa tanzanai hakuna investor anayeweza kuweka pesa yake. Unajua Amazon iliichukua miaka mingapi kuanza kutengeneza faida? Ilikuwa inakula hasara kila mwaka kwa miaka kama mitano mfululizo, same to Uber, same to chatgpt n.k.
Na kumbuka kuwa hizo kampuni mtu alitoa wazo kwa investors waka invest haikuwa kampuni anayoimiliki kwa asilimia 100% kitu ambacho hata wewe badala ya kuwakandania hao unaweza kupeach wazo lako pia watu wakainvest.
Makampuni mengi ya kiteknolojia mtu hayamiliki kwa asilimia mia moja kama ilivyo kwa azam bali anatafuta investors.
Mbona wahindi wameweza kuanzisha startups na wakenya wanajitahidi pia so hata wewe unaweza badala ya kuanza kuwasema akina azam na mo wakati utajiri wao umetokana na hiyo biashara unayoikandia.
Kwani Azam Media imechukua miaka mingapi kurudisha investment? (Sitashangaa kama bado hela haijarudi)
Sekta ya "startups" inahitaji wawekezaji wengi na kama sio hawa ambao tayari washafika on top nani mwingine afanye hiyo kazi ? Tuwatafute wazungu? Tuende huko Kenya? Kinachowazuia hawa wetu wa bongo kudiversify investment portfolio zao ni nini?
Hawa wahindi, waarabu wetu na ukurutu mwingine wenye hela uliojazana kariakoo nina uhakika wakitenga 20% of their wealth na wakasema kiasi chote kinachopatikana kiende kuchochea startups toka kwa vijana nakuhakikishia in 10 or 20 years maajabu yataonekana
 
Mkuu mie niliweka Uzi hapa wiki iliyoisha nikiwasema Hawa matajiri ya kuwa hawana impact ya maana kwenye maendeleo ya watanzania nikaishiwa kuitwa Nina wizu, mara oooh tafuta vyako.... Na mambo mengi ya kuudhi, ila kiukweli nchi inarudi nyuma badala ya kwenda mbele kwa sababu ya Hawa matajiri.
Kabisa Mkuu, 2050 utasikia MO na Bakhresa wanauza mpaka mlenda
 
Kwani Azam Media imechukua miaka mingapi kurudisha investment? (Sitashangaa kama bado hela haijarudi)
Sekta ya "startups" inahitaji wawekezaji wengi na kama sio hawa ambao tayari washafika on top nani mwingine afanye hiyo kazi ? Tuwatafute wazungu? Tuende huko Kenya? Kinachowazuia hawa wetu wa bongo kudiversify investment portfolio zao ni nini?
Hawa wahindi, waarabu wetu na ukurutu mwingine wenye hela uliojazana kariakoo nina uhakika wakitenga 20% of their wealth na wakasema kiasi chote kinachopatikana kiende kuchochea startups toka kwa vijana nakuhakikishia in 10 or 20 years maajabu yataonekana
Kwa sababu wabongo hamwaminiki... mtu kuinvest pesa yake inakuwa ni shida na ndio maana wanaamua kuendelea kudeal na biashara zao wanazozijua ambazo ndizo zimewapa utajiri.
Njoo na idea kaipeach utapata investors hata kama sio tz. Nakumbuka niliwahi kwenda buni hub pale siku hiyo watu walikuwa wanapeach idea zao.
Yule mzungu alisema wamechukua top 3 kwa sababu wanapaswa tu kuchukua top 3 kila nchi lakini hawakuona mtu ambaye ameweza kuiwasilisha idea yake kwa namna ya kueleweka. Akashauri tukatazame wakenya wanavyofanya.
Any way mmojawapo wa jamaa aliyechukuliwa nadhani huko mbele hakufanikiwa ila nasikia mark zuckbergy alivyokujaga tz alimpa kama mils 50, jamaa akaachana na idea akaenda fanya jambo lingine.
 
Shida kubwa wanasiasa wameamua kuwa wafanya biashara na kutaka kumiliki kila kitu na familia zao.
 
Shida kubwa wanasiasa wameamua kuwa wafanya biashara na kutaka kumiliki kila kitu na familia zao.
Wanasiasa kuwa wafanyabishara sio mbaya ila mbaya ni kusahau wananchi wao kwenye fursa hizo; kuwa waziri, kuwa balozi lakini ukienda kokote ukaona fursa basi jifikirie wewe na watu wako huko kijijini mf. Wazungu wanataka maparachichi? Fungua kampuni ya usafirishaji maparachichi afu tafutia wanakijiji wako mikopo ya kilimo afu wanoe katika kilimo cha maparachichi (win-win situation)
 
Back
Top Bottom