Mkuu usinukuu Mandiko kijinga kiasi hicho, Ishara ya Damu katika Agano la kale ni ishara ya Damu ya Yesu Msalabani na ndio ishara ya ukamilifu wa wokovu,
Ni kweli enzi hizo ilikuwa ni kawaida damu kutumika Ili kuwepo na patano Fulani na Mungu, laiini baada ya kifo cha Yesu Msalabani hakuna tena damu nyingine itakayosababisha upatanisho na Mungu ispokuwa damu hiyo pekee ya Yesu,.
Sasa wewe unachokinukuu ni kinyume na ki dhambi, kufanya mapinduzi ya kumwaga damu haimfanyi Mungu eti akusamehe Kwa kuwa unapigania haki yako
Yeye asaema, atakomesha kabisa mapigano na atawatetea walioonewa, ni Yeye na sio kisasi chako wewe,
Na hata hivyo, insonyesha wewe ni mvivu na mtu uliyezoea vya bule kwani ninauhakika hata akiingia huyo unayetaka kutuaminisha, mambo yako yatakuwa ni yako na Yeye atashighurikia ya kitaifa
Fanya kazi wewe usibweteke, hakuna cha bule, na uhakika ni kwamba, huyo hawezi kushinda ng'o na Kura ni za halali, jiandae kwendelea kulialia
Mjinga ana nafasi ya kubadirika lakini siyo mpumbavu.
Haki inadaiwa haikabidhiwi tu kama kuku wa kiweo
Kudai haki ni lazima kuwe na kiongozi.
Toka enzi za Musa, toroti,hakuna ukombozi pasipo damu.
Yeyote aliyekamatwa na shetani kwa kutenda dhambi,ili dhambi zake zifutwe mbele za Mungu aliagizwa na maandiko kuchinja mnyama(kuua au kumwaga damu)
Imeenda hivyo mpk zama za Nabii Issa alipouawa ili damu ifanye ukombozi wa ulimwengu.
Hivyo hata nyakati hizi ili kujikomboa kutoka kwa zimwi ccm hakuna njia nyingine ila ni hiyo,tofauti na hapo basi tukubali tu kunyonywa damu kwa lazima.
Wewe ni mpumbavu na mjinga uliyejifichia
Mjinga ana nafasi ya kubadirika lakini siyo mpumbavu.
Haki inadaiwa haikabidhiwi tu kama kuku wa kiweo
Kudai haki ni lazima kuwe na kiongozi.
Toka enzi za Musa, toroti,hakuna ukombozi pasipo damu.
Yeyote aliyekamatwa na shetani kwa kutenda dhambi,ili dhambi zake zifutwe mbele za Mungu aliagizwa na maandiko kuchinja mnyama(kuua au kumwaga damu)
Imeenda hivyo mpk zama za Nabii Issa alipouawa ili damu ifanye ukombozi wa ulimwengu.
Hivyo hata nyakati hizi ili kujikomboa kutoka kwa zimwi ccm hakuna njia nyingine ila ni hiyo,tofauti na hapo basi tukubali tu kunyonywa damu kwa lazima.
[/QUOTE