Uchaguzi 2020 Maendeleo yapi CHADEMA wataleta tofauti na ya chama kilichopo madarakani?

Uchaguzi 2020 Maendeleo yapi CHADEMA wataleta tofauti na ya chama kilichopo madarakani?

Kuna mambo inabidi ifike hatua muwe mnaongozwa na akili badala ya mapenzi ya vyama au miemko isio na faida siasa sio Kama ushabiki wa mpira siasa inagusa maisha yetu.

Kuna mambo nimeona hapa wakiamishana eti akiingia Tundu lisu na CHADEMA kiujumla ndio watakuwa na maisha Bora hiv Nani kakudanganya mwanasiasa yoyote atakuletea chakula,hela mfukoni?

Vijana wamejengewa matarajio makubwa hasa na CHADEMA lakini Kuna mambo yakujiuliza

1. Je, demokrasia wanayodai CHADEMA Ni kwa manufaa ya Watanzania au kwaajili yao?

Tukija tukiangalia kwenye chama Chao demokrasia ipo? Kama haipo unaamini vipi watakupa wakiwa madarakani?

2. Maendeleo yapi chadema wataleta tofauti na chama kilichopo au zaidi ya chama kilichopo?

Tukiangalia kwenye chama Chao maendeleo gani wameleta kwa watanzania?

Tokea nimfuatilie Tundu lisu sijawahi kumuona akijitolea kusaidia mwanainchi yoyote wa kawaida kupitia taaluma ya uanasheria aliyonayo zaidi anaitumia kwaajili ya chama chake Je unaamini hivi atawasaidia watanzania akiwa madarakani?

Tukija kwa chama chake Cha CHADEMA chama kimekuwa kikiomba kuchangiwa na watanzania pesa pale kikiwa na shida mfano mzuri Lissu wakati amepata majeraha ya kupigwa risasi lakini pia hata kwenye mikutano yao lakini sijawahi kuona CHADEMA wakiamasisha uchangiwaji wa fedha kwaajili ya maendeleo ya wananchi mfano mzuri sijaona wakiamasisha uchangiwaji wa fedha kwaajili ya ujenzi wa shule au kutumia ile ya weakness ya Magu kutakataa wanabukoba kupewa chakula Cha bure baada ya mazao yao kuharibika wao CHADEMA wangeitumia kwenye uchangiwaji na wakisaidiana na wanatz kuwachangia wanabukoba lkn Hilo alikutokea Je unakiamini vipi hiki chama kikishika madaraka kitakuwa na msaada kwa wanatz?

Ngojea nishie hapa maana ninahoja nyingi Sana hayo mambo machache niliyoandika tafakarini vizuri.
Uhuru , Haki na maendeleo ya watu!
 
Tokea nimfuatilie Tundu lisu sijawahi kumuona akijitolea kusaidia mwanainchi yoyote wa kawaida kupitia taaluma ya uanasheria aliyonayo zaidi anaitumia kwaajili ya chama chake Je unaamini hivi atawasaidia watanzania akiwa madarakani?
Wewe ni kifaulongo!
 
Kuna mambo inabidi ifike hatua muwe mnaongozwa na akili badala ya mapenzi ya vyama au miemko isio na faida siasa sio Kama ushabiki wa mpira siasa inagusa maisha yetu.

Kuna mambo nimeona hapa wakiamishana eti akiingia Tundu lisu na CHADEMA kiujumla ndio watakuwa na maisha Bora hiv Nani kakudanganya mwanasiasa yoyote atakuletea chakula,hela mfukoni?

Vijana wamejengewa matarajio makubwa hasa na CHADEMA lakini Kuna mambo yakujiuliza

1. Je, demokrasia wanayodai CHADEMA Ni kwa manufaa ya Watanzania au kwaajili yao?

Tukija tukiangalia kwenye chama Chao demokrasia ipo? Kama haipo unaamini vipi watakupa wakiwa madarakani?

2. Maendeleo yapi chadema wataleta tofauti na chama kilichopo au zaidi ya chama kilichopo?

Tukiangalia kwenye chama Chao maendeleo gani wameleta kwa watanzania?

Tokea nimfuatilie Tundu lisu sijawahi kumuona akijitolea kusaidia mwanainchi yoyote wa kawaida kupitia taaluma ya uanasheria aliyonayo zaidi anaitumia kwaajili ya chama chake Je unaamini hivi atawasaidia watanzania akiwa madarakani?

Tukija kwa chama chake Cha CHADEMA chama kimekuwa kikiomba kuchangiwa na watanzania pesa pale kikiwa na shida mfano mzuri Lissu wakati amepata majeraha ya kupigwa risasi lakini pia hata kwenye mikutano yao lakini sijawahi kuona CHADEMA wakiamasisha uchangiwaji wa fedha kwaajili ya maendeleo ya wananchi mfano mzuri sijaona wakiamasisha uchangiwaji wa fedha kwaajili ya ujenzi wa shule au kutumia ile ya weakness ya Magu kutakataa wanabukoba kupewa chakula Cha bure baada ya mazao yao kuharibika wao CHADEMA wangeitumia kwenye uchangiwaji na wakisaidiana na wanatz kuwachangia wanabukoba lkn Hilo alikutokea Je unakiamini vipi hiki chama kikishika madaraka kitakuwa na msaada kwa wanatz?

Ngojea nishie hapa maana ninahoja nyingi Sana hayo mambo machache niliyoandika tafakarini vizuri.
Maendeleo gani ya nchi wataleta ikiwa tu chama kina miaka 28 mpaka leo hakina hata jengo bado kimepanga japo wanapata 32m kwa mwezi za ruzuku ukiacha 1m kwa wabunge wake wote 70
 

Attachments

  • 2020-10-03 11.21.32.png
    2020-10-03 11.21.32.png
    1,017.4 KB · Views: 2
Jamani hai huko, Kaka Sjui atatoboa 28 October? Maana nasikia watu wakiimba,, tunataka SaSisha, majina ya kimasai bana!
 
Kuna mambo inabidi ifike hatua muwe mnaongozwa na akili badala ya mapenzi ya vyama au miemko isio na faida siasa sio Kama ushabiki wa mpira siasa inagusa maisha yetu.

Kuna mambo nimeona hapa wakiamishana eti akiingia Tundu lisu na CHADEMA kiujumla ndio watakuwa na maisha Bora hiv Nani kakudanganya mwanasiasa yoyote atakuletea chakula,hela mfukoni?

Vijana wamejengewa matarajio makubwa hasa na CHADEMA lakini Kuna mambo yakujiuliza

1. Je, demokrasia wanayodai CHADEMA Ni kwa manufaa ya Watanzania au kwaajili yao?

Tukija tukiangalia kwenye chama Chao demokrasia ipo? Kama haipo unaamini vipi watakupa wakiwa madarakani?

2. Maendeleo yapi chadema wataleta tofauti na chama kilichopo au zaidi ya chama kilichopo?

Tukiangalia kwenye chama Chao maendeleo gani wameleta kwa watanzania?

Tokea nimfuatilie Tundu lisu sijawahi kumuona akijitolea kusaidia mwanainchi yoyote wa kawaida kupitia taaluma ya uanasheria aliyonayo zaidi anaitumia kwaajili ya chama chake Je unaamini hivi atawasaidia watanzania akiwa madarakani?

Tukija kwa chama chake Cha CHADEMA chama kimekuwa kikiomba kuchangiwa na watanzania pesa pale kikiwa na shida mfano mzuri Lissu wakati amepata majeraha ya kupigwa risasi lakini pia hata kwenye mikutano yao lakini sijawahi kuona CHADEMA wakiamasisha uchangiwaji wa fedha kwaajili ya maendeleo ya wananchi mfano mzuri sijaona wakiamasisha uchangiwaji wa fedha kwaajili ya ujenzi wa shule au kutumia ile ya weakness ya Magu kutakataa wanabukoba kupewa chakula Cha bure baada ya mazao yao kuharibika wao CHADEMA wangeitumia kwenye uchangiwaji na wakisaidiana na wanatz kuwachangia wanabukoba lkn Hilo alikutokea Je unakiamini vipi hiki chama kikishika madaraka kitakuwa na msaada kwa wanatz?

Ngojea nishie hapa maana ninahoja nyingi Sana hayo mambo machache niliyoandika tafakarini vizuri.
Hujawahi kumwona Lissu akitumia taaluma yake ya uwanasheria kusaidia jamii? Waulize wakazi wa Nyamongo Tarime wana majibu sahihi
 
Maendeleo hayo ni

1. Katiba mpya itakayoweka taasisi Huru zinazofanya kazi kwa Uhuru bila kuingiliwa na mtu yeyote. Mf. Mahakama, Bunge na Serikali

2. Maendeleo ya kweli ya watu kutokana na sekta binafsi kuwa injini ya kuendesha taifa. Hili litaongeza ajira za watu na kuboresha sana maisha ya watu

3. Mfumo bora wa kodi utakaoruhusu biashara kukua, kustawi na kuwa imara kwa kipindi chore.

4. Mfumo bora wa Elimu utakaofanya vijana wetu waweze kuajiliwa ndani na nje ya Tanzania

5. Mfumo bora wa afya hasa Bima ya afya, utakaowezesha watanzania wote kupata huduma bora za afya.

5. Mfumo bora wa miundombinu na mipango miji utakaopanga upya miji yetu na kuifanya iwe mizuri na misafi.

7. Mfumo bora wa pensheni utakaowezesha wastaafu na watu wanaoacha kazi kuishi vizuri bila mawazo
Vyote hivi Magufuli kafanya tena zaidi ya hayo
 
Kama hujui jambo, kaa kimya au uliza uelezwe..

JE, LISSU ALIINGIAJE CHADEMA?

Tundu Lissu alijiunga CHADEMA mwaka 2004.

Mwaka 2003, Lissu alikwenda Tarime kwenye masuala ya madini. Akakutana na Mh. Chacha Wangwe akiwa Diwani wa Tarime akiwa na kesi kumi za jinai. Mh. Wangwe akamwambia Lissu kuwa wanataka kumfunga. Lissu akamwambia aondoe hofu hawataweza.

Mh. Freeman Mbowe akampigia simu Mh. Lissu kumuomba amtetee Mh. Wangwe kwenye hizo kesi zilizokuwa zikifunguliwa kila uchao. Lissu akakubali na akafanya kazi yake kwa weledi wa hali ya juu. Mh. Lissu akasaidia pia kushinda kesi za wananchi wanyonge 366 katika kipindi cha miezi minne tu. Hawa ni wananchi waliokuwa wakiishi pembezoni mwa migodi kabla ya kuswekwa ndani kwa kosa la kuvamia migodi hiyo. Lissu aliwatetea BURE wananchi hawa mafukara na baada ya ushindi wa kesi hizo akatamka-"Uwekezaji umegeuka kuwa unyama Tanzania".

Lissu akaonekana ni mtu asiye na uzalendo na taifa lake kwa kuwasema vibaya wawekezaji ambao serikali ya ccm ilikuwa ikidai walikuwa wakiliingizia taifa mapato makubwa. Hata hivyo, kwa wananchi hao wanyonge, Lissu alionekana ni Mfalme.
Baadae Mh. Mbowe akampigia Lissu na kumuomba asaidie kutafuta wanasheria wengine waingie CHADEMA kama yeye. Lissu akamshangaza Mh. Mbowe kwani bila kupepesa macho, Lissu akasema yeye ni mwanachama wa NCCR MAGEUZI! Mh. Mbowe alistaajabu sana kwani aliamini Lissu ni mwanachama wa CHADEMA. Hivyo, Lissu akamwambia Mh. Mbowe "kama unataka nijiunge nanyi basi najiunga" ndivyo Lissu alivyojiunga CHADEMA.

Tundu Lissu aliendelea na jitihada zake kuwasaidia wananchi waliokuwa wakinyanyasika migodini huku akiacha wateja wenye fedha nyingi Dar Es Salaam.

Kwa Lissu, hakuna kitu kinamuuma moyoni mwake kama akiona mnyonge ana haki lakini anaonewa. Lissu kamwe hawezi kukaa kimya kuona hali hiyo ikiendelea.

Mkuu shukran sana kwa huu ufafanuzi halisi kuhusu haiba ya Lissu. Miaka ile ya Barrick na Bulyanhulu ilibidi nitafute habari za Lissu jinsi alivyokuwa akipambana na serikali. Kwanza nilishangaa sana kugundua kumbe ni kijana mdogo tu wakati ule. Haikuwa kawaida hasa kwa vijana kufanya harakati za hatari kiasi kile.

Kile kitendo cha kutaka kuuwawa kwa mvua ya risasi na kampeni inayoendelea sasa kuua haiba yake ya kipekee ya kujitoa mhanga kwa ajili ya haki za wanyonge kwangu mimi ni kielelezo cha kufa kwa Tanzania niliyoifahamu. Hakika waliotaka kumuua Lissu na wanaomuita kibaraka hao ndio watesi rasmi wa Watanzania. Eti Lissu kibaraka wa mtu? Muulizeni JK.

Nilishangaa jana kumsikia Dr. Slaa naye anaongea ujinga kuhusu Lissu. Akubali tu kuwa sasa Lissu ndiyo nyota ya upinzani inayong’aa nchini. Yeye Slaa tunamshukuru sana kwa enzi zake za kujitoa kwa ajili ya nchi. Lakini anachojaribu kukitetea sasa kwa kumponda Lissu hakikubaliki. Kweli Slaa leo ni mtu wa kusifia ndege zilizonunuliwa kifujaji na kifisadi devoid of a credible business plan? We’re done!

Ninachoona ni kama vile Watanzania wengi tumepigia magoti na kukubali kuongozwa na utawala wa ki-mafia unaoendeshwa na chama dola - CCM. Labda kila mmoja wetu anatumaini kuwa ipo siku ataambulia chochote toka kwa wakuu hao wa dola. Manake hatujambo kwa kuwaza “one day yes!” Tusijidanganye. Maumivu ndio kwanza yameanza. Lissu “akishindwa” uchaguzi na, kama kawaida, akazuiwa kufanya harakati hadi 2025, ndipo wengi tutakapojua maana halisi ya chama dola kushika hatamu - ki-mafia.
 
Mkuu shukran sana kwa huu ufafanuzi halisi kuhusu haiba ya Lissu. Miaka ile ya Barrick na Bulyanhulu ilibidi nitafute habari za Lissu jinsi alivyokuwa akipambana na serikali. Kwanza nilishangaa sana kugundua kumbe ni kijana mdogo tu wakati ule. Haikuwa kawaida hasa kwa vijana kufanya harakati za hatari kiasi kile.

Kile kitendo cha kutaka kuuwawa kwa mvua ya risasi na kampeni inayoendelea sasa kuua haiba yake ya kipekee ya kujitoa mhanga kwa ajili ya haki za wanyonge kwangu mimi ni kielelezo cha kufa kwa Tanzania niliyoifahamu. Hakika waliotaka kumuua Lissu na wanaomuita kibaraka hao ndio watesi rasmi wa Watanzania. Eti Lissu kibaraka wa mtu? Muulizeni JK.

Nilishangaa jana kumsikia Dr. Slaa naye anaongea ujinga kuhusu Lissu. Akubali tu kuwa sasa Lissu ndiyo nyota ya upinzani inayong’aa nchini. Yeye Slaa tunamshukuru sana kwa enzi zake za kujitoa kwa ajili ya nchi. Lakini anachojaribu kukitetea sasa kwa kumponda Lissu hakikubaliki. Kweli Slaa leo ni mtu wa kusifia ndege zilizonunuliwa kifujaji na kifisadi devoid of a credible business plan? We’re done!

Ninachoona ni kama vile Watanzania wengi tumepigia magoti na kukubali kuongozwa na utawala wa ki-mafia unaoendeshwa na chama dola - CCM. Labda kila mmoja wetu anatumaini kuwa ipo siku ataambulia chochote toka kwa wakuu hao wa dola. Manake hatujambo kwa kuwaza “one day yes!” Tusijidanganye. Maumivu ndio kwanza yameanza. Lissu “akishindwa” uchaguzi na, kama kawaida, akazuiwa kufanya harakati hadi 2025, ndipo wengi tutakapojua maana halisi ya chama dola kushika hatamu - ki-mafia.
UNATIA HADI KINYAA yaani huyuhuyu lissu aliyekuwa anatetea migodi iendelee kuliwa na wazungu leo unamuita mtetezi wa wa tz ?kweli kweli? yaani huna hata akili za kuvukia barabara wewe mtu tena ni mjinga wa kiwango cha lami lissu hafai ni msaliti wa nchi unaona juzi tu hapa tumepokea bilioni 100 za madini angekuwa lissu hizo tungezipata wapi shenzi wewe unataka matusi tu humu mbwa weee
 
Watanzania wengi bado wanamawazo ya kusema..(Umeula)

Wengi hawatambui kwamba, mtu ukipata nafasi katika kitengo Fulani, ni kwenda kutumika tena Kwa uaminifu Kwa ajiri ya wengine Kwa kuwa nafasi hiyo angeliweza kuipata mtu mwingine yeyote!!

Kwa hiyo jibu lako ni hili, wataenda kushibisha matumbo Yao tu,

Wewe jibidiishe kutafuta Kula yako na Mungu akusaidie!!

Na ndiyo maana ni ujinga wa Hali ya juu kwenda kuandamana ili mtu aingie pale anapopatamani na mwisho wa siku ninyi mnakuwa walemavu na Wafu halafu Yeye anakwenda kushibisha tumbo lake na kwenda kuwekeza ulaya Kwa ajiri yake na vitoto na vijukuu vyake

Ujinga sipendi
[emoji817][emoji817][emoji817][emoji817][emoji817]
Unakunywa nini nikuletee
 
Tokea nimfuatilie Tundu Lissu sijawahi kumuona akijitolea kusaidia mwananchi yoyote wa kawaida kupitia taaluma ya uanasheria aliyonayo zaidi anaitumia kwaajili ya chama chake Je unaamini hivi atawasaidia watanzania akiwa madarakani?
Mkuu hujamfuatilia vizuri au umekataa kumfuatilia vinginevyo hujui unafuatilia nini. Tundu Lissu anahistoria ndefu ya kutetea wananchi na taifa kitu ambacho kuna watu hawataki kusikia.
 
UNATIA HADI KINYAA yaani huyuhuyu lissu aliyekuwa anatetea migodi iendelee kuliwa na wazungu leo unamuita mtetezi wa wa tz ?kweli kweli? yaani huna hata akili za kuvukia barabara wewe mtu tena ni mjinga wa kiwango cha lami lissu hafai ni msaliti wa nchi unaona juzi tu hapa tumepokea bilioni 100 za madini angekuwa lissu hizo tungezipata wapi shenzi wewe unataka matusi tu humu mbwa weee

Very stupid & plain ignorant.
 
Kuna mambo inabidi ifike hatua muwe mnaongozwa na akili badala ya mapenzi ya vyama au mihemko isiyo na faida siasa sio Kama ushabiki wa mpira siasa inagusa maisha yetu.

Kuna mambo nimeona hapa wakiaminishana eti akiingia Tundu Lissu na CHADEMA kiujumla ndio watakuwa na maisha Bora hiv Nani kakudanganya mwanasiasa yoyote atakuletea chakula,hela mfukoni?

Vijana wamejengewa matarajio makubwa hasa na CHADEMA lakini Kuna mambo ya kujiuliza

1. Je, demokrasia wanayodai CHADEMA Ni kwa manufaa ya Watanzania au kwaajili yao?

Tukija tukiangalia kwenye chama Chao demokrasia ipo? Kama haipo unaamini vipi watakupa wakiwa madarakani?

2. Maendeleo yapi CHADEMA wataleta tofauti na chama kilichopo au zaidi ya chama kilichopo?

Tukiangalia kwenye chama Chao maendeleo gani wameleta kwa watanzania?

Tokea nimfuatilie Tundu Lissu sijawahi kumuona akijitolea kusaidia mwananchi yoyote wa kawaida kupitia taaluma ya uanasheria aliyonayo zaidi anaitumia kwaajili ya chama chake Je unaamini hivi atawasaidia watanzania akiwa madarakani?

Tukija kwa chama chake Cha CHADEMA chama kimekuwa kikiomba kuchangiwa na watanzania pesa pale kikiwa na shida mfano mzuri Lissu wakati amepata majeraha ya kupigwa risasi lakini pia hata kwenye mikutano yao lakini sijawahi kuona CHADEMA wakiamasisha uchangiwaji wa fedha kwaajili ya maendeleo ya wananchi mfano mzuri sijaona wakiamasisha uchangiwaji wa fedha kwaajili ya ujenzi wa shule au kutumia ile ya weakness ya Magu kutakataa wanabukoba kupewa chakula Cha bure baada ya mazao yao kuharibika wao CHADEMA wangeitumia kwenye uchangiwaji na wakisaidiana na wanatz kuwachangia wanabukoba lkn Hilo alikutokea Je unakiamini vipi hiki chama kikishika madaraka kitakuwa na msaada kwa wanatz?

Ngojea nishie hapa maana ninahoja nyingi Sana hayo mambo machache niliyoandika tafakarini vizuri.
Kawaulize Wamalawi..ndio kinaenda kutokea 28|10
 
Kuna mambo inabidi ifike hatua muwe mnaongozwa na akili badala ya mapenzi ya vyama au mihemko isiyo na faida siasa sio Kama ushabiki wa mpira siasa inagusa maisha yetu.

Kuna mambo nimeona hapa wakiaminishana eti akiingia Tundu Lissu na CHADEMA kiujumla ndio watakuwa na maisha Bora hiv Nani kakudanganya mwanasiasa yoyote atakuletea chakula,hela mfukoni?

Vijana wamejengewa matarajio makubwa hasa na CHADEMA lakini Kuna mambo ya kujiuliza

1. Je, demokrasia wanayodai CHADEMA Ni kwa manufaa ya Watanzania au kwaajili yao?

Tukija tukiangalia kwenye chama Chao demokrasia ipo? Kama haipo unaamini vipi watakupa wakiwa madarakani?

2. Maendeleo yapi CHADEMA wataleta tofauti na chama kilichopo au zaidi ya chama kilichopo?

Tukiangalia kwenye chama Chao maendeleo gani wameleta kwa watanzania?

Tokea nimfuatilie Tundu Lissu sijawahi kumuona akijitolea kusaidia mwananchi yoyote wa kawaida kupitia taaluma ya uanasheria aliyonayo zaidi anaitumia kwaajili ya chama chake Je unaamini hivi atawasaidia watanzania akiwa madarakani?

Tukija kwa chama chake Cha CHADEMA chama kimekuwa kikiomba kuchangiwa na watanzania pesa pale kikiwa na shida mfano mzuri Lissu wakati amepata majeraha ya kupigwa risasi lakini pia hata kwenye mikutano yao lakini sijawahi kuona CHADEMA wakiamasisha uchangiwaji wa fedha kwaajili ya maendeleo ya wananchi mfano mzuri sijaona wakiamasisha uchangiwaji wa fedha kwaajili ya ujenzi wa shule au kutumia ile ya weakness ya Magu kutakataa wanabukoba kupewa chakula Cha bure baada ya mazao yao kuharibika wao CHADEMA wangeitumia kwenye uchangiwaji na wakisaidiana na wanatz kuwachangia wanabukoba lkn Hilo alikutokea Je unakiamini vipi hiki chama kikishika madaraka kitakuwa na msaada kwa wanatz?

Ngojea nishie hapa maana ninahoja nyingi Sana hayo mambo machache niliyoandika tafakarini vizuri.
Kwa maswali haya inaonesha wewe akili zako bado...
 
Kuna mambo inabidi ifike hatua muwe mnaongozwa na akili badala ya mapenzi ya vyama au mihemko isiyo na faida siasa sio Kama ushabiki wa mpira siasa inagusa maisha yetu.

Kuna mambo nimeona hapa wakiaminishana eti akiingia Tundu Lissu na CHADEMA kiujumla ndio watakuwa na maisha Bora hiv Nani kakudanganya mwanasiasa yoyote atakuletea chakula,hela mfukoni?

Vijana wamejengewa matarajio makubwa hasa na CHADEMA lakini Kuna mambo ya kujiuliza

1. Je, demokrasia wanayodai CHADEMA Ni kwa manufaa ya Watanzania au kwaajili yao?

Tukija tukiangalia kwenye chama Chao demokrasia ipo? Kama haipo unaamini vipi watakupa wakiwa madarakani?

2. Maendeleo yapi CHADEMA wataleta tofauti na chama kilichopo au zaidi ya chama kilichopo?

Tukiangalia kwenye chama Chao maendeleo gani wameleta kwa watanzania?

Tokea nimfuatilie Tundu Lissu sijawahi kumuona akijitolea kusaidia mwananchi yoyote wa kawaida kupitia taaluma ya uanasheria aliyonayo zaidi anaitumia kwaajili ya chama chake Je unaamini hivi atawasaidia watanzania akiwa madarakani?

Tukija kwa chama chake Cha CHADEMA chama kimekuwa kikiomba kuchangiwa na watanzania pesa pale kikiwa na shida mfano mzuri Lissu wakati amepata majeraha ya kupigwa risasi lakini pia hata kwenye mikutano yao lakini sijawahi kuona CHADEMA wakiamasisha uchangiwaji wa fedha kwaajili ya maendeleo ya wananchi mfano mzuri sijaona wakiamasisha uchangiwaji wa fedha kwaajili ya ujenzi wa shule au kutumia ile ya weakness ya Magu kutakataa wanabukoba kupewa chakula Cha bure baada ya mazao yao kuharibika wao CHADEMA wangeitumia kwenye uchangiwaji na wakisaidiana na wanatz kuwachangia wanabukoba lkn Hilo alikutokea Je unakiamini vipi hiki chama kikishika madaraka kitakuwa na msaada kwa wanatz?

Ngojea nishie hapa maana ninahoja nyingi Sana hayo mambo machache niliyoandika tafakarini vizuri.
Nani alikwambia tanzania kuna maendeleo? Unajua maendeleo wewe? Yaani watu wanakunywa maji ya tope halafu unasema tuna maendeleo? mvua ya masaa manne ,njia hazipitiki zote halafu unasema tuna maendeleo? Wananchi hawana pesa mifukoni uchumi umepiga mweleka halafu unasema kuna maendeleo?

Uhuru ,haki na maendeleo ya watu ndio KAULI MBIU YA CHADEMA.
 
Nani alikwambia tanzania kuna maendeleo? Unajua maendeleo wewe? Yaani watu wanakunywa maji ya tope halafu unasema tuna maendeleo? mvua ya masaa manne ,njia hazipitiki zote halafu unasema tuna maendeleo? Wananchi hawana pesa mifukoni uchumi umepiga mweleka halafu unasema kuna maendeleo?

Uhuru ,haki na maendeleo ya watu ndio KAULI MBIU YA CHADEMA.
King Kong III wananchi hawana hela au wewe ndio hauna hela?
 
Back
Top Bottom