Maeneo ambayo Waislam wanawapiga Bao Wakristo

Maeneo ambayo Waislam wanawapiga Bao Wakristo

Wako vizuri,isipokuwa.....
Kumfanya Mungu ni dhaifu mpaka wanaumua kujiripua wakimpigania.
Kumfanya Mungu hawezi kusikia lugha yoyote isipokuwa Kiarabu.
Na zile bikra 72 walizoahidiwa peponi,naona chenga chenga hapo.
 
Kwanini unatumia nguvu kubwa Sana kupinga kitu ambacho hakipo?
Hizi ni baadhi ya sababu,

Kwasababu naipenda nchi yangu na watu wake.

Kwasababu napinga unyanyasaji wa hiari wa akili ambao unatokea pasipo mtu kujua.

Kwasababu natamani watu waishi kwa upendo bila kutengeneza matabaka yanayotokana na kuamini kisichopo.

Kwasababu nachukia uongo.

Kwasababu nachukia utapeli wenye dhamana ya jina la kisichopo.

Kwasababu natamani walau kila mtu awajibike kwenye maisha yake na si kutegemea kisichopo.

Kwasababu natamani watu waweze kujifunza na kuelewa mambo kwa usahihi na si kupewa majibu ya uongo ambayo yanaleta comfort tu.

Kwasababu nachukia ukandamizwaji wa tamaduni zetu kwa dhamana ya kisichopo.

Kwasababu nawapenda Watanzania na Waafrika wote kwa ujumla.
 
Hizi ni baadhi ya sababu,

Kwasababu naipenda nchi yangu na watu wake.

Kwasababu napinga unyanyasaji wa hiari wa akili ambao unatokea pasipo mtu kujua.

Kwasababu natamani watu waishi kwa upendo bila kutengeneza matabaka yanayotokana na kuamini kisichopo.

Kwasababu nachukia uongo.

Kwasababu nachukia utapeli wenye dhamana ya jina la kisichopo.

Kwasababu natamani walau kila mtu awajibike kwenye maisha yake na si kutegemea kisichopo.

Kwasababu natamani watu waweze kujifunza na kuelewa mambo kwa usahihi na si kupewa majibu ya uongo ambayo yanaleta comfort tu.

Kwasababu nachukia ukandamizwaji wa tamaduni zetu kwa dhamana ya kisichopo.

Kwasababu nawapenda Watanzania na Waafrika wote kwa ujumla.
 
Hizi ni baadhi ya sababu,

Kwasababu naipenda nchi yangu na watu wake.

Kwasababu napinga unyanyasaji wa hiari wa akili ambao unatokea pasipo mtu kujua.

Kwasababu natamani watu waishi kwa upendo bila kutengeneza matabaka yanayotokana na kuamini kisichopo.

Kwasababu nachukia uongo.

Kwasababu nachukia utapeli wenye dhamana ya jina la kisichopo.

Kwasababu natamani walau kila mtu awajibike kwenye maisha yake na si kutegemea kisichopo.

Kwasababu natamani watu waweze kujifunza na kuelewa mambo kwa usahihi na si kupewa majibu ya uongo ambayo yanaleta comfort tu.

Kwasababu nachukia ukandamizwaji wa tamaduni zetu kwa dhamana ya kisichopo.

Kwasababu nawapenda Watanzania na Waafrika wote kwa ujumla.
Kama unaipenda nchi yako ingependeza zaidi uwahimize zaidi watu kufanya kazi kwa bidii nk, kuna mtu alikujibu vizuri Sana alsema' MPUMBAVU AMESE.A HAKUNA MUNGU ILA HAWEZI BADILI ATA UNYWELE WAKE KUA MWEUPE
 
Kama unaipenda nchi yako ingependeza zaidi uwahimize zaidi watu kufanya kazi kwa bidii nk, kuna mtu alikujibu vizuri Sana alsema' MPUMBAVU AMESE.A HAKUNA MUNGU ILA HAWEZI BADILI ATA UNYWELE WAKE KUA MWEUPE
Nmekupatia sababu lukuki,
Kufanya kazi hakutoshi.
Nlisema point hii ambayo inajumuisha uwajibikaji
Kwasababu natamani walau kila mtu awajibike kwenye maisha yake na si kutegemea kisichopo.
Kwahyo, kuipenda nchi hakulimit kuwa lazima ningesema watu wafanye kazi direct kama ulivyofikiri wewe, siko katika mawazo yako.

Unaposema kuna mtu alinijibu vizuri kwa kuquote kile kijimstari chenye maudhui ya kunitukana indirect,

kwanza wewe mwenyewe unajibu ukiwa katika delusion ileile ya kuamini kisichopo.
Ukiambiwa kuthibitisha habari za Mungu huwezi, utaishia kujiuliza maswali ambayo wewe huwezi kuyajibu na utaanza kuhisi ni miujiza.
Kushindwa kujibu kitu, haimaanishi ni Mungu, ila inamaanisha tu hujui hiko kitu.

Pili huyo aliyenijibu jibu hilo unalolidai wewe hapa, bado naweza kumuita huyo mtu ni mpumbavu zaidi yangu, kwamaana bado ameshindwa kuthibitisha habari hizo za huyo Mungu wake. Ananipigia kelele ambazo ndizo nazikataa.
Anatumia hadithi za watu zenye kukulenga uamini Habari za kisichokuwepo. Yaani kashindwa kuelewa kuwa zile ni hadithi zimetungwa na watu katika kufulfil delusion ya habari za kiungu.

Sasa anafanya circular falacy hapo, anatumia hadithi yenye madai ya Mungu (ambayo inatakiwa ithibitishwe) kama uthibitisho wa habari ya Mungu (kwa kuquote mstari) . This is insane
_20230725_085125.JPG


Bible/quran all those are folktale, tujue kutofautisha uhalisia na uongo ili Afroca yetu na Tanzania vibaki salama.
 
Wako vizuri,isipokuwa.....
Kumfanya Mungu ni dhaifu mpaka wanaumua kujiripua wakimpigania.
Kumfanya Mungu hawezi kusikia lugha yoyote isipokuwa Kiarabu.
Na zile bikra 72 walizoahidiwa peponi,naona chenga chenga hapo.

Aiseeh
 
NISEME TU UKWELI, MIMI NI MKRISTO
ULICHO ANDIKA HAPA Robert Heriel Mtibeli, NI SAHIHI NA KWELI KABISA

WANAWAKE WAO, WANAONGOZA KUJISTIRI MTAANI MPAKA MITANDAONI.
SASA NJOO WA HUKU KWETU !
 
Zanzibar kuna waislam wengi na sijaona huo upuuzi wa baikoko wala vigodoro.
Hao wanaofanya hayo ni waislam jina tu na hawana ustaarabu.

Waislam waliolelewa kwenye ustaarabu hasa wa 'Alislamu nadhiif' mavazi yao ni dishdash na thobu na abaya za kuanzia walau laki 3 na wananukia oud na perfumes.

lakini sijui una taarifa kwamba ushoga uko kwa idadi kubwa huko zenj kwenye hao waislam wengi!!!
 
Mtu angekuwa na mazuri yote akaacha kumwamini Yesu kuwa alikufa kifo cha msalaba, akafufuka siku ya tatu, akapaa mbinguni, ni hatari tupu! MTU ASIPOMWAMINI YESU KUWA BWANA NA MWOKOZI wa maisha yake, hiyo hasara isiyo kifani!


JESUS IS LORD & SAVIOR
 
Naunga mkono ila hapo kwenye mahali tu nna chakusema

Ni kweli mahali anataja mlengwa mwenyewe ambaye anatakiwa kuolewa ila siku hizi baadhi ya waislam wengi wanapindisha hapo kwenye mahali naomba wakemewe yaani viongozi wa dini wakemee kipengele cha mahali

Unakuta binti ametaja vizur tu kiwango/kitu anachohitaji kama mahali ila wazee nao wanaongeza wanachotaka kiufupi haipendezi- tunaghahiri sana kuoa kutokana na hali ngumu ya maisha na hawa wazee wa kiislam kuongeza cha juu , haipendezi wakemewe watatuua na kuzini maana binti zao bado wanamiminika maghetoni Kwa masela na wao wenyewe ndio wanatia ugumu
suala la MAHARI si la utashi wa wazazi ni suala la kisheria kama alivyowasilisha mleta mada. hivyo ukiona kuna mambo meengi , angalia je hapo ulipoenda kuoa DINI IKO.........? kama hilo haliko basi lazima utakutana na hayo lkn UISLAMU ni mfumo kamili wa maisha.
 
Ameorodhesha machache sana na amesahau suala kubwa zaidi la kiuchumi.Waislamu wana mfumo wa kiuchumi ambao hauna mfano.Mfumo huo umewavutia hata wakristo kutokana na ufanisi wake.

Kwenye uchumi hapana
 
Kwenye tasnia ya majini na ulozi
We jamaa ni block minded cjui ndio umeshayakanyaga mafuta ya bulldozer? yan we ni mawazo mgando sana fact ni kwamba wakristo ndio wasumbuliwa zaidi na mapepo na majini wabaya kuliko waislam kwasababu ukimuona Muislam ana majini au mapepo jua huyo co mtu wa dini na ajikingi na kinga za Kisheria kama kusoma Adhkar (duwa)
 
Wakristo tatizo lao ni kupokea kila kitu bila msingi wowote.
Wao wanaona ni bora kulisaidia kanisa kuliko watu wenye uhitaji.

Kuna jumapili moja nilienda kanisani, kukawa na sadaka 2. Moja ni ile ya kawaida ambaho najua kazi yake.
Hii ya pili ilikua ni mashindano ya matoleo kati Me na Ke, nilishangazwa sana na hili. Yaani utoe tu afu wiki ijayo uje usomewe kua ni jinsia ipi ilitoa zaidi.

Daah na wenyewe wanakubali kabisa bila shida
 
Mtu angekuwa na mazuri yote akaacha kumwamini Yesu kuwa alikufa kifo cha msalaba, akafufuka siku ya tatu, akapaa mbinguni, ni hatari tupu! MTU ASIPOMWAMINI YESU KUWA BWANA NA MWOKOZI wa maisha yake, hiyo hasara isiyo kifani!


JESUS IS LORD & SAVIOR
Yesu ni mwokozi wa nini kila siku ajali zinatokea?
 
Pamoja na yote hapo juu pia kuna hili la kutangaza mtu/watoto waliopotea misikitini.

Uswahilini kwetu uku mtu akipotelewa na mtoto/mtu mzima yeyote katika sehem zakwanza kwenda kutangaza ni msikitini.
 
Back
Top Bottom