Maeneo gani ambayo hupaswi kutafuta mke?

Maeneo gani ambayo hupaswi kutafuta mke?

Dola Iddy Wa Chelsea

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2014
Posts
2,125
Reaction score
1,526
Habari wana MMU,

Leo naomba kila mtu ataje sehemu ambazo kwa mtazamo wake anaona haipaswi au haitakiwi kumsaka binti wa kumuoa na kuishi naye.

Naanza mimi:

=> Kwenye maguest house

=> Kwenye migahawa ya chakula

=> Kwenye ma bar na kumbi za muziki

=> Sokoni au maeneo ya gulioni

=> Kwenye mabasi na vyombo vingine vya usafiri.

BINAFSI hizi sehemu hata binti anivutie vipi siwezi kumtongoza.
 
Hakuna shida ingia ndani ucheze ndo utaujua utamu wa ngoma
 
Mitandaoni
EXACTLY hakuna mke mume mtandaoni ni matatizo unayatafuta ambayo yatakucost sana baadaye mkishagundua PUPA HARAKA ya kutaka NDOA ndio vilivyowakutanisha

asikwambie mtu bana yale matatizo na changamoto unazokutana nazo ukiwa SINGLE kwenye NDOA unaenda kukutana nazo mara 3 yake hvyo kama mlichukuzana kwa PUPA na tamaa mtandaoni UTAJUTA utajutaaa ndugu
ushauri bora MUOANE na huyo huyo unaemuona hafai ila mmedumu miaka huyo ndio anakufaa anakujau anaijua familia yako the same na wewe wamjua na unaijua familia yake na madhaifu yao na yake
ama sivyo ukamuona hafai ukapalamia wachumba wa mtandaoni utakuja kumkumbuka huyo oooh shauri yenu
 
Very exellent mkuu naona umefikiria mbali sana yaani mwanamke wa kwenye mkesha wa mwenge hata sithubutu.
Sio mwanamke tu mkuu, ni usodoma na gomola hadi asubuhi. Hapo hakuna kiongozi wa mbio za mwenge wala mgeni rasmi wote uzinzi mtupu.
 
Back
Top Bottom