financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Mimi naamini unaweza kupata mwenza popote pale , muhimu ni umakini tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mktu tunaomba utupe darasa mabinti wa hayo maeneo wana shida gani mpaka wasifae kuolewa?Moshi ,Arusha,kondoa,Tabora,Cartesh, na Songea
Tatizo tunaumia sana kuona wenzetu wakiitwa baba na wanao halafu sisi tunaitwa majina yetu halisi inaumiza sana ,ma ndo maana tunasaka wake na sio wa kuchapa na kutembea kwani hao wa namna hiyo wamejidhibiti wasinase mimba kwa kujilinda kupitia njia za uzazi wa mpango .Mnatafuta wake ili mgundue nini? Pelekea moto kisha tembea mbele.
Ww ulipatwa sehemu gani?Mimi naamini unaweza kupata mwenza popote pale , muhimu ni umakini tu.
😂😂 sijui kakumbwa na nini kafuta.
Kumbe nawe umoMnatafuta wake ili mgundue nini? Pelekea moto kisha tembea mbele.
Mbwembwe za JF tuKumbe nawe umo
AsanteMapenzi hayana fomula, wapo waliokutana kwenye maeneo ya ibada lakini wakashindwana na wapo waliokutana uwanja wa fisi na penzi likataradad!
Hakika, hayanaga muongozo...Hayanaga muongozo...ajisemee smart911
...👊👊👊..By the way.....
Mke hatafutwi kama utadhani umeangusha hela kwenye mchanga.
Ebu kaa kwa kutulia, jipende, nenda kwenye ibada, fanya kazi kwa bidii, kua mwenye nidhamu na kisha utamuona mke amekujia
🤣🤣🤣Unatafuta mke wanini..??
Kwani haukuwepo kwenye kile kikao cha juzi..!!
1. Kwenye maeneo ya migodiniHabari wana MMU, leo naomba kila mtu ataje sehemu ambazo kwa mtazamo wake anaona haipaswi au haitakiwi kumsaka binti wa kumuoa na kuishi nae,
Naanza mimi,
=>Kwenye maguest house
=>Kwenye migahawa ya chakula
=>Kwenye ma bar na kumbi za muziki
=>Sokoni au maeneo ya gulioni
=>Kwenye mabasi na vyombo vingine vya usafiri.
BINAFSI hizi sehemu hata binti anivutie vipi siwezi kumtongoza.
mbona m nimeoa baamed huu ni mwaka wa 8 na ametulia na ameokoka ananishauri vzur tu,kila akikumbuka alipotoka huwa analia na mm kaz yangu kimbembeleza,c kila mwanamke baamedi hajatulia ,wengine ni maisha yanawafanya hvyo ila ukimweka ndani huwa anatulia huwa hadanganyiki kwasababu hataki kuptia maisha ya ya mwanzoHabari wana MMU, leo naomba kila mtu ataje sehemu ambazo kwa mtazamo wake anaona haipaswi au haitakiwi kumsaka binti wa kumuoa na kuishi nae,
Naanza mimi,
=>Kwenye maguest house
=>Kwenye migahawa ya chakula
=>Kwenye ma bar na kumbi za muziki
=>Sokoni au maeneo ya gulioni
=>Kwenye mabasi na vyombo vingine vya usafiri.
BINAFSI hizi sehemu hata binti anivutie vipi siwezi kumtongoza.