Maeneo gani Dar es salaam watu hawaruhusiwi kupiga picha au kurekodi video?

Maeneo gani Dar es salaam watu hawaruhusiwi kupiga picha au kurekodi video?

Mkuu Usser utawaponza wengine aisee[emoji23][emoji23]. Ndugu wananchi lugalo na Stakshar Kama lilivyo jina lenyewe hizo sehemu usijaribuu[emoji3518][emoji730]
Ngoja waingie kichwa kichwa [emoji3]
 
Kivuko cha kigamboni hakuna sababu ya kuzuia kupiga picha wakati hilo eneo kwa sasa ni kama kivutio cha utalii wa ndani, kama vipi kuwe na tozo kwa anayetaka kuchukua picha hapo
 
Kivuko cha kigamboni hakuna sababu ya kuzuia kupiga picha wakati hilo eneo kwa sasa ni kama kivutio cha utalii wa ndani, kama vipi kuwe na tozo kwa anayetaka kuchukua picha hapo
Wadau na serikali mnaruhusiwa kuufanyia kazi ushauri huu.
 
Sehemu ingine ni kuficha aibu tuu enzi picha nyingi zipo google earth kama ni usalama mbona tunaona
 
Technolojia ya sasa imewawia vigumu kutekeleza hio sheria kwa wachukuaji wa picha wenye nia ya kuiba hizo picha,

Aina hizi za wachukuaji picha ni vigumu kuwatambua mpaka uwe na vifaa maalumu

-Mchukuaji video anajifanya anapokea simu na kumbe anachukua video
 
wewe jamaa michango uako inanifurahishaga sana, sasa ndio umemjibu nini hapo kulingana na alichouliza
JIBU KULINGANA WEWE UNAVYOONA INAFAA, USIDHANI SIAJELEWA KWAMBA ANAULIZIA NI MAENEO GANI HAWARUHUSU KUPIGA PICHA

NIMEAMUA TU kumjibu kuwa kila eneo lina utaratibu wake ndio maana wanaruhusu na sehemu zingine hawaruhusu kwa sababu mbalimbali
 
JIBU KULINGANA WEWE UNAVYOONA INAFAA, USIDHANI SIAJELEWA KWAMBA ANAULIZIA NI MAENEO GANI HAWARUHUSU KUPIGA PICHA

NIMEAMUA TU kumjibu kuwa kila eneo lina utaratibu wake ndio maana wanaruhusu na sehemu zingine hawaruhusu kwa sababu mbalimbali
Upo sahihi mkuu Jose
 
Technolojia ya sasa imewawia vigumu kutekeleza hio sheria kwa wachukuaji wa picha wenye nia ya kuiba hizo picha,

Aina hizi za wachukuaji picha ni vigumu kuwatambua mpaka uwe na vifaa maalumu

-Mchukuaji video anajifanya anapokea simu na kumbe anachukua video
GOOD
 
Technolojia ya sasa imewawia vigumu kutekeleza hio sheria kwa wachukuaji wa picha wenye nia ya kuiba hizo picha,

Aina hizi za wachukuaji picha ni vigumu kuwatambua mpaka uwe na vifaa maalumu

-Mchukuaji video anajifanya anapokea simu na kumbe anachukua video
Kweli kabisa na njia hii inatumika sana. Mimi ntaifanyia kazi mahali.
 
Kivuko cha kigamboni hakuna sababu ya kuzuia kupiga picha wakati hilo eneo kwa sasa ni kama kivutio cha utalii wa ndani, kama vipi kuwe na tozo kwa anayetaka kuchukua picha hapo

Kwenye Ferry inakatazwa, lakini ukiwa kwenye boti za kwenda Zenji maeneo yaleyale unajipigia picha utakavyo...
 
Ubalozi wa marekani yenyewe picha kupiga maarufuku

Ova
 
Sababu za kuto ruhusiwa kupiga picha !
kuna kipindi watu utumia picha kuelekeza lolote baya kwa ajili ya mashambulio.
kwa nchi yetu bado ule ulinzi wa mambo kuzibiti ni mdogo .ndio maana wanafanya hivo.
ila sehemu ambazo uwezi kokote duniani
*jeshini
*maeneo ya majaribio
*benki
*ndani ikulu
*idara nyeti
 
Rejea:
Kichwa cha habali swali hapo juu.

Binafsi nimeona katazo kwenye vivuko vya kigamboni. Ijapokuwa sijui Ni kwanini watu haturuhusiwi kupiga hata picha za mnato mule.

Sasa ningependa sana tufahamishane na maeneo mengine yasiyo ruhusiwa kabisa kufanya shughuli hizo kabla na wengine hawajakutana na kilichonikuta kivukoni hasa msimu huu kuelekea mwaka mpya.

Ahsante I[emoji120]
Maeneo ya
1.Buguruni Kimboka
2. Temeke Sudan kwa wahaya
3. Kariakoo Concord Night club
4. Boardroom Sinza mapambano
5. Riverside
6. Tabata Kitambaa cheupe.
 
Maeneo ya
1.Buguruni Kimboka
2. Temeke Sudan kwa wahaya
3. Kariakoo Concord Night club
4. Boardroom Sinza mapambano
5. Riverside
6. Tabata Kitambaa cheupe.
🧐 Mhh hayo maeneo mbona kama unaruhusiwa hata kurekodi porn videos.
 
Back
Top Bottom