TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,584
Habari wadau..!
Zamani wakati nipo chuo pale Mlimani nilikuwa naamini maeneo mazuri kwa kuishi DsM ni Sinza na Survey maana maeneo hayo yana totozi nzuri na bata za kufa mtu kwa kipindi hicho.
Hivyo nilijitahidi kila mwaka wa masomo lazima nipate chumba Survey au Sinza .
Ila sasa nina familia napata ugumu kuchagua sehemu ya kuishi na kulea familia,maana familia inahitaji maeneo yenye utulivu na penye huduma zote za jamii na pasiwe wachawi au vigagura na msongamano wa nyumba kama za huku kwetu Buza.
Hivi kwa hapa Dar ni maeneo gani yametulia kwa kuishi na kulea familia ,ambapo hautajutia kujenga au kununua nyumba ya kuishi maeneo hayo.
Zamani wakati nipo chuo pale Mlimani nilikuwa naamini maeneo mazuri kwa kuishi DsM ni Sinza na Survey maana maeneo hayo yana totozi nzuri na bata za kufa mtu kwa kipindi hicho.
Hivyo nilijitahidi kila mwaka wa masomo lazima nipate chumba Survey au Sinza .
Ila sasa nina familia napata ugumu kuchagua sehemu ya kuishi na kulea familia,maana familia inahitaji maeneo yenye utulivu na penye huduma zote za jamii na pasiwe wachawi au vigagura na msongamano wa nyumba kama za huku kwetu Buza.
Hivi kwa hapa Dar ni maeneo gani yametulia kwa kuishi na kulea familia ,ambapo hautajutia kujenga au kununua nyumba ya kuishi maeneo hayo.