Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,557
- 8,673
- Thread starter
- #121
Kiko 97%
Toka mwaka 2020 Tuliambiwa wako 97% na hiyo ndio maana ya mradi kusua sua ….watu wako site kama vile wanafanya kazi kumbe ni busy for nothing ….
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiko 97%
Hawa watu ni wapuuzi sana na sijui Kwa nini mods inaruhusu watu kuweka mada za tuhuma bila uthibitisho, possibly Kwa sababu jf ni ya mlengo wa Upinzani ndio maana wanawaacha..
Kwanza hakuna kilichosimama across sectors,tena miezi kama hii ndio Huwa serikali inamwaga pesa Ili zisibakie kuelekea mwisho wa mwaka..
Kama Kuna mradi umesimama ni sababu za Kupisha mvua na sio vinginevyo.
Watanzania sio wajinga, hata wakisifu na kuabudu kila mtu anajua tuna kiongozi mzigo kwa taifa bila shaka naye analijua hilo.mabango ya kusifia nayo ni mengi sana mjini.
Watanzania sio wajinga, hata wakisifu na kuabudu kila mtu anajua tuna kiongozi mzigo kwa taifa bila shaka naye analijua hilo.
Kama waziri mmoja tu anaa mabasib 150 na ushee unategemea asimamie ujenzi wa reli halafu ataishijeReli ya kati na TRC ilihujumiwa hadi zikafa kabisa na wahujumu hao ni wale wale. Hata SGR wapo ambao haiwafurahishi. We need total overhaul kuweka sawa Taifa letu otherwise tunaelekea nyakati ambazo tutakuwa na mfumo wa kifisadi mgumu mno kuuvunja.
Kwanza CCM yenyewe ambayo kuna watu wanajinasibu ni yao irudi kwa wananchi ili iwepo fair ground ya kujenga nchi bila individuals au some elites influences.