Maeneo ya biashara Mbezi Louis stendi mpya walengwa ni kina nani?

Maeneo ya biashara Mbezi Louis stendi mpya walengwa ni kina nani?

Nimekipenda sana kipengele hiki,kimezoeleka kukikuta TRA but wamekihamishia hapo ili ukijichanganya let's say useme 20mill hapo hapo unakutana na Magufuli akikutaka uanze kuchangia ujenzi wa stiegler gorge kabla hujaingiza hata bidhaa ndani!

Hatari sana.
View attachment 1630165
 
Kuna akili huwa zinaitwa "Akili za Kujiongeza".

Mwaka 2009 - 2012 viwanja Mbezi Luis (Mbezi shamba mlivyokuwa mkiita) vilikuwa havifiki hata million 3 kwa eneo ilipojengwa stand hadi bar ya Tononeka, kupandisha mnarani ukishuka darajani (njia ya kwenda Makabe) ndio hata 1M ulikuwa unapata kiwanja kizuri tu.

Mkahangaika na Kigamboni pamoja na Chanika, leo hii mnapangishiwa vyumba vya biashara kwa bei hiyo mnalalama NI UJINGA tena mkae kwa kutulia kabisa.
Njoo kwenye frem zetu hapa Arapha dispensary tukunyooshe pia hutaki ACHA
Mkuu naona unataka nje ya mada... unataka kusema hapo makabe Pana frame moja inauzwa hata laki 5 tu kwa mwezi au unajiongelesha kwa kulinganisha na huyo upuuzi wa hii inayoitwa "stand mpya"
 
Niwakumbushe tu Asilimia Kubwa wanaotumia kituo cha mabasi ni watu wa hali ya chini....kama umefanya utafiti Utanielewa... Kulipa kodi Kubwa halafu utegemee uuze bidhaa bei juu ufidie kodi it's wrong.... Fanyeni tafiti mjiridhishe kabla hamjaweka fedha zenu...
 
Mkuu naona unataka nje ya mada...
Kutoka nje ya mada ndio nini?
Usitake nikuone na wewe hujaenda shule aisee.
unataka kusema hapo makabe Pana frame moja inauzwa hata laki 5 tu kwa mwezi au unajiongelesha kwa kulinganisha na huyo upuuzi wa hii inayoitwa "stand mpya"
Mrisho nazungumzia maeneo yaliyo karibu na Stand mpya na huwezi kuiita upuuzi wakati mabilioni ya pesa za kodi zetu yamelala pale hiini dharau ya kishamba.

Kama utakuwa mwenyeji wa mitaa yetu hii kuanzia kwa Yusufu,Mnarani, Uswisi, Mbezi primary na Kabatini utagundua kuna changes kubwa sana ya bei za fremu.

Zakwetu tu tunapangisha kwa laki 7 per month na ziko eneo ambalo ni dk tano tu kwa mguu umefika stend mpya.
 
Frem ya mita 3 kwa 4 ni milion 5 kwa kodi ya mwezi...hiyo hapo ni kwa ajili ya E.MONEY shops(uwakala) sijui mtu atafanya biashara kiasi gani kuweza kupata kiasi hicho cha kodi,mshahara wa mfanyakazi/kodi za serekali,faidan n.k

Picha ya tatu ni mita za mraba 42 eneo la cafe na fastfood bei ni kama hivyo.View attachment 1628738View attachment 1628740View attachment 1628744
kwanza kabisa kwenye kuomba tusichanganye maeneo yamegawanyika sehemu 2

1.wamachinga,baba na mama lishe wenyewe wanaandika barua na kuambatanisha utambulisho wa makazi kwenda kwa mkurugenzi wa jiji na kodi haitazidi 60000 kwa mwezi

2.kunawanaomba kwa kupitia pangisha.tamisemi.go.tz hawa kima cha chini kwa sqm 1 ni kuanzia 40,000 na eneo la wakala imeandikwa wakala wa fedha ni sqm kama 3.3 na kuna eneo namba 1 namba 2 namba 3 kwamfano namba tatu ilikua haizidi laki 2 kwa mwezi na yanauzwa kwa mnada unaweza ukaandika dau lako kama ni 20000 kwa sqm 1 sio lazima ufuate bei waliyoandika wenyewe wameandika kima cha mwisho tu unaweza kuweka hata dau la 10000 kwa sqm 1 ila mwenye dau la juu ndio atapata eneo
 
Watakosa watu hzo Bei sio user friendly kwa majority ya watu wengi na hii vyuma kukaza tena
Kumbukeni Hiyo stendi ni ya Kimataifa sio Kama za huko Nanyumbu. Kama Huna hela ustaarabu ni kukaa kimya ukiendelea kutafuta hela
 
Kwa wale wasokoni..soko lenu pale lipo tayariiView attachment 1632968View attachment 1632969
20201119_180320.jpg
 
na kabla ya mkataba inabidi mtu ulipe kodi ya miezi mitatu kwanza kama dhamana
 
Na hapo ukute wenyewe ndio wenye kumiliki hivyo vyumba. Na hapo eti wanamjali mwananchi masikini. Hivi kuna watu wamekubali kuingia mkenge wa kupanga hivyo vyumba? Na kwa hali ya kibiashara ilivyo ngumu na mbaya kwa sasa nchini sidhani kama kuna mtu ataingia mkenge. Hii ilitokeaga soko jipya la mwanjelwa mbeya. Wakapanga bei kama hizo. Lakini unawafahamu mbeya?. Soko mpaka leo lipo lipo tu pamoja na zuri na eneo la kibiashara. Pamoja na kuendelea kushusha bei,bado hakujapendeza
✓Dar es salaam ni tofauti na Mbeya. Uku ukigoma anakuja Boya mwingine anapigwa na mafremu ya kihuni.
 
Kutoka nje ya mada ndio nini?
Usitake nikuone na wewe hujaenda shule aisee.

Mrisho nazungumzia maeneo yaliyo karibu na Stand mpya na huwezi kuiita upuuzi wakati mabilioni ya pesa za kodi zetu yamelala pale hiini dharau ya kishamba.

Kama utakuwa mwenyeji wa mitaa yetu hii kuanzia kwa Yusufu,Mnarani, Uswisi, Mbezi primary na Kabatini utagundua kuna changes kubwa sana ya bei za fremu.

Zakwetu tu tunapangisha kwa laki 7 per month na ziko eneo ambalo ni dk tano tu kwa mguu umefika stend mpya.
acheni masikhara nyie. frem laki 7 mbezi nje ya mji?
 
acheni masikhara nyie. frem laki 7 mbezi nje ya mji?
Mbezi ni nje ya mji are you mad?
Na kibamba, au Kiluvya na Magohe kuitweje?

Na hiyo laki 7 ni zetu zipo zenye bei ghari zaidi naona hukujui Mbezi wewe nenda uulize frem tu zilizoko karibu na Mbezi luxury panaitwa mskitini ukitajiwa bei yake kufa hapo hapo usisogee Uswisi
 
ila mjue hii inafanyika kwa njia ya mnada tu sasa unakuta mtu anajipandishia tu bei akijua anakomoa mtu kumbe anajikomoa mwenyewe
 
Back
Top Bottom