Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu naona unataka nje ya mada... unataka kusema hapo makabe Pana frame moja inauzwa hata laki 5 tu kwa mwezi au unajiongelesha kwa kulinganisha na huyo upuuzi wa hii inayoitwa "stand mpya"Kuna akili huwa zinaitwa "Akili za Kujiongeza".
Mwaka 2009 - 2012 viwanja Mbezi Luis (Mbezi shamba mlivyokuwa mkiita) vilikuwa havifiki hata million 3 kwa eneo ilipojengwa stand hadi bar ya Tononeka, kupandisha mnarani ukishuka darajani (njia ya kwenda Makabe) ndio hata 1M ulikuwa unapata kiwanja kizuri tu.
Mkahangaika na Kigamboni pamoja na Chanika, leo hii mnapangishiwa vyumba vya biashara kwa bei hiyo mnalalama NI UJINGA tena mkae kwa kutulia kabisa.
Njoo kwenye frem zetu hapa Arapha dispensary tukunyooshe pia hutaki ACHA
Kutoka nje ya mada ndio nini?Mkuu naona unataka nje ya mada...
Mrisho nazungumzia maeneo yaliyo karibu na Stand mpya na huwezi kuiita upuuzi wakati mabilioni ya pesa za kodi zetu yamelala pale hiini dharau ya kishamba.unataka kusema hapo makabe Pana frame moja inauzwa hata laki 5 tu kwa mwezi au unajiongelesha kwa kulinganisha na huyo upuuzi wa hii inayoitwa "stand mpya"
kwanza kabisa kwenye kuomba tusichanganye maeneo yamegawanyika sehemu 2Frem ya mita 3 kwa 4 ni milion 5 kwa kodi ya mwezi...hiyo hapo ni kwa ajili ya E.MONEY shops(uwakala) sijui mtu atafanya biashara kiasi gani kuweza kupata kiasi hicho cha kodi,mshahara wa mfanyakazi/kodi za serekali,faidan n.k
Picha ya tatu ni mita za mraba 42 eneo la cafe na fastfood bei ni kama hivyo.View attachment 1628738View attachment 1628740View attachment 1628744
Kumbukeni Hiyo stendi ni ya Kimataifa sio Kama za huko Nanyumbu. Kama Huna hela ustaarabu ni kukaa kimya ukiendelea kutafuta helaWatakosa watu hzo Bei sio user friendly kwa majority ya watu wengi na hii vyuma kukaza tena
Tulia wwAisee
Wachaga wa Mbezi wapo Kazini kuwanyoosha wajasiriamaliKodi inazidi mapango ya kkoo mara 5[emoji1787][emoji1787]
Hawako serious. Ukiona hivyo ujue washawahi wenyewe so, wanatufukuza wengine kijanja.Kodi inazidi mapango ya kkoo mara 5[emoji1787][emoji1787]
✓Dar es salaam ni tofauti na Mbeya. Uku ukigoma anakuja Boya mwingine anapigwa na mafremu ya kihuni.Na hapo ukute wenyewe ndio wenye kumiliki hivyo vyumba. Na hapo eti wanamjali mwananchi masikini. Hivi kuna watu wamekubali kuingia mkenge wa kupanga hivyo vyumba? Na kwa hali ya kibiashara ilivyo ngumu na mbaya kwa sasa nchini sidhani kama kuna mtu ataingia mkenge. Hii ilitokeaga soko jipya la mwanjelwa mbeya. Wakapanga bei kama hizo. Lakini unawafahamu mbeya?. Soko mpaka leo lipo lipo tu pamoja na zuri na eneo la kibiashara. Pamoja na kuendelea kushusha bei,bado hakujapendeza
acheni masikhara nyie. frem laki 7 mbezi nje ya mji?Kutoka nje ya mada ndio nini?
Usitake nikuone na wewe hujaenda shule aisee.
Mrisho nazungumzia maeneo yaliyo karibu na Stand mpya na huwezi kuiita upuuzi wakati mabilioni ya pesa za kodi zetu yamelala pale hiini dharau ya kishamba.
Kama utakuwa mwenyeji wa mitaa yetu hii kuanzia kwa Yusufu,Mnarani, Uswisi, Mbezi primary na Kabatini utagundua kuna changes kubwa sana ya bei za fremu.
Zakwetu tu tunapangisha kwa laki 7 per month na ziko eneo ambalo ni dk tano tu kwa mguu umefika stend mpya.
Mbezi ni nje ya mji are you mad?acheni masikhara nyie. frem laki 7 mbezi nje ya mji?
Ndio zipo hadi za laki nane..acheni masikhara nyie. frem laki 7 mbezi nje ya mji?
acheni masikhara nyie. frem laki 7 mbezi nje ya mji?k