Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
- Thread starter
-
- #161
Pia minada inamiongozo ya bei za kuanzia...na hao bei za za kuanzia tu nikisangaaila mjue hii inafanyika kwa njia ya mnada tu sasa unakuta mtu anajipandishia tu bei akijua anakomoa mtu kumbe anajikomoa mwenyewe
Sure. Wabongo kutaka sifaila mjue hii inafanyika kwa njia ya mnada tu sasa unakuta mtu anajipandishia tu bei akijua anakomoa mtu kumbe anajikomoa mwenyewe
kote huko nje ya mji acha porojo zako weweMbezi ni nje ya mji are you mad?
Na kibamba, au Kiluvya na Magohe kuitweje?
Na hiyo laki 7 ni zetu zipo zenye bei ghari zaidi naona hukujui Mbezi wewe nenda uulize frem tu zilizoko karibu na Mbezi luxury panaitwa mskitini ukitajiwa bei yake kufa hapo hapo usisogee Uswisi
Umeongea ukweli mtupu, najua vichwa vigumu wanaweza wasikueleweSio ubungo sio wapi frem za stand hazina faida,hela na biashara ipo frem za pembezoni nnje ya hayo mafrem yao ndo kwenye biashara hasa.
Kila siku nikipita hapo nacheka kimyakimya..........teh tehKama hicho kinaenda kutokea soko jipya la Magomeni
Kila siku nikipita hapo nacheka kimyakimya..........teh teh
Hahahah nikifikiria aina ya wafanyabiashara wa pale na tuvikapu twao hapo chini wakiuza nyanya alafu ndo unawajengea mjengo wa hvo na kuwataka Walipe kwa square meter hayo mamilioni teh teh the like of soko la ndugai, na stend kuu ya mabasi dodoma. Nadhani hili linatokana na kuwa na viongozi wasio na uelewa na masuala ya biashara na uwekezaji, siasa zinakuwa mingi mingi.........Ahahahahhaha eti bei elekezi ya cement afu yanajisahaulisha kwamba kuna kitu ya demand vs supplyAaaah! Aaaah! Aaaah! Viongozi hawajifunzi kutoka pale MACHINGA Complex.
Mzee baba alisha wabomolea na kuwahamishaWachaga wa Mbezi wapo Kazini kuwanyoosha wajasiriamali
Viongozi wengi Tanzania kwasasa akili zao zina mushkiri kama role model wao.Mbona sasa balaa
Na wamechachamaa kweli na miradi ya design hii... kuna lingine wanalipandisha pale sijui ndo MANZESE sijui TANDALE.. kushoto kama unaenda Mjini kutokea UbungoHahahah nikifikiria aina ya wafanyabiashara wa pale na tuvikapu twao hapo chini wakiuza nyanya alafu ndo unawajengea mjengo wa hvo na kuwataka Walipe kwa square meter hayo mamilioni teh teh the like of soko la ndugai, na stend kuu ya mabasi dodoma. Nadhani hili linatokana na kuwa na viongozi wasio na uelewa na masuala ya biashara na uwekezaji, siasa zinakuwa mingi mingi.........Ahahahahhaha eti bei elekezi ya cement afu yanajisahaulisha kwamba kuna kitu ya demand vs supply
Watafugia popo Amini nakwambia.....Na wamechachamaa kweli na miradi ya design hii... kuna lingine wanalipandisha pale sijui ndo MANZESE sijui TANDALE.. kushoto kama unaenda Mjini kutokea Ubungo
Watafugia popo Amini nakwambia.....
Tatizo wanafanya miradi pasipo kufanya feasibility study katika maeneo ya user experience, culture and social aspects za lile eneo, past, current and future projections of economic trend ya eneo husika.......wacha tujioneeAaaah! Aaaah!
Akili si huna.kote huko nje ya mji acha porojo zako wewe
sawaAkili si huna.