ukiwauliza Bodaboda, watakufikisha kwenye machimbo yote.
Hawa viumbe ni muhimu sana kwa wageni wenye uhitaji wa mambo mazuri.Hawa Maafisa Usafirishaji hawashindwagi mambo yaliyo kwenye angle zao
Mwamba hi kamba kitwiru sehemgani jombaKitwiru ndo namba moja
Ni wapi?Nenda MIGOLI hutojuta
Nenda nazo hizo nauli ajilipie.Huku kwetu shuka za kimasai ni sh. 1200
Kabisa,siku tulipigwa gape na king cross tukamkamata konda akarudisha hela.Kwenye sehemu za kugema ulanzi utakuta pisi nyingi sana kule.
Kijiji Cha mwishoni mwishoni ukiwa unaenda Dodoma kipo pembezoni mwa bwawa la mtera.Ni wapi?
Kijiji Cha mwishoni mwishoni ukiwa unaenda Dodoma kipo pembezoni mwa bwawa la mtera.
[emoji851]sahii na si unaona nilimesema kijijiNimepakumbuma, wanachoma mbuzi. Mbona pamechoka tu?
Maeneo yako mengi tu ila kumbuka usipoteze hela zako kununua kondomu kwani kule hazitohitajika kwa sababu magonjwa ya zinaa kule hayapoWakuu mambo vipi?
Kutokana na joto kuzidi huku niliko, imenibidi nipange safari ya kuelekea mikoa ya kusini angalau niweze kushangaa shangaa na kuota baridi; nitaanza na mkoa wa Iringa na baadaye Ruvuma.
Sasa nataka nijue kwa wale waliotembelea maeneo hayo, hasa Iringa, ni sehemu gani nzuri unaweza kupata 'vibe' ya kutosha pamoja na kuondoa 'stress' za hapa na pale?
Nikipata pisi kali ya kuniongoza itakuwa vizuri pia.