Maeneo yapi yana vibe kwa Iringa?

Maeneo yapi yana vibe kwa Iringa?

Kwenye sehemu za kugema ulanzi utakuta pisi nyingi sana kule.
Kabisa,siku tulipigwa gape na king cross tukamkamata konda akarudisha hela.
Ikabidi kuchukukua alt b,bus mpk mtera lingine hadi dom.
Tukapanda Shalawambe wa IRA wanalijua,libus bovu Renault limeoza.
Tukatimka nao safari ya mtera ikaanza.
Hapo kwenye milima pembeni tu likaharibika.
Sasa wale madingi tulikaa iringa siku 2 tukisubiria king cross tukawa tushazoeana.
Tukazama chimbo tukala ulanzi wa kufa mtu.
Hiyo safari ilikua adventure,yaani nikisimulia tutakesha.
Hiyo njia enzi hizo tope tu hamna lami.
 
Wakuu mambo vipi?

Kutokana na joto kuzidi huku niliko, imenibidi nipange safari ya kuelekea mikoa ya kusini angalau niweze kushangaa shangaa na kuota baridi; nitaanza na mkoa wa Iringa na baadaye Ruvuma.

Sasa nataka nijue kwa wale waliotembelea maeneo hayo, hasa Iringa, ni sehemu gani nzuri unaweza kupata 'vibe' ya kutosha pamoja na kuondoa 'stress' za hapa na pale?

Nikipata pisi kali ya kuniongoza itakuwa vizuri pia.
Maeneo yako mengi tu ila kumbuka usipoteze hela zako kununua kondomu kwani kule hazitohitajika kwa sababu magonjwa ya zinaa kule hayapo
 
Wenyeji mko wapi asee??..huu.mji wenu hauna totoz kabisa
 
Back
Top Bottom