Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Ntumie nauli nije tuvibe wote, tuma kwa namba hii....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itabidi niwe nakula kitimoto na samaki 😀 😀Huko ndyo kuna mbwa wale wa kuliwa
Hapo kwa wazungu nadhani patanifaa zaidi, naweza bahatisha pisi kali ya kigeni 😀😀255 (two five five, ipo karibu na chuo cha RUCU), Holiday (uende ukiwa umeshavaa Ndom), VIP (ipo pembeni ya 255), Shooters (kama unapenda kuona wazungu), Dragon, 3 in 1 (three in one) n.k wengine watajazia
Pisi kali zipo hapo?Vibe la hatari,ukifika tu ulizia Kitwiru
😀 😀 nashukuru kwa kunikumbusha, unaonaje tukaenda wote?Usisahau condom mkuu
Kilomita ngapi kutoka mjini?Nenda kule Dabaga wilaya ya Kilolo kuna sehemu panaitwa Idete ni pazuri sana.
Wana huduma gani hapo?Uliza sterio ,maeneo ya mshindo
Nakutumia sasa hivi kwa jfpesaNtumie nauli nije tuvibe wote, tuma kwa namba hii....
Akhaa😀 😀 nashukuru kwa kunikumbusha, unaonaje tukaenda wote?
Hutaki kushangaa milima ya huko na vitumbili 😀Akhaa
Penye afadhali ni maeneo yapi?Iringa kwa vybez pa kishamba sana pamejaa bar na gest zenye madanguro tu hamna kitu iringa
85 tu mkuuKilomita ngapi kutoka mjini?
Itakuwa mbali sana; ingawa mara nyingi nje ya mji ndio huwa kuna utulivu85 tu mkuu
Kuna baridi sana hukoHutaki kushangaa milima ya huko na vitumbili 😀
85 zote hzo jama85 tu mkuu
Kwa vijana wapumbavu kma wewe bora bandarini ichukuliweWakuu mambo vipi?
Kutokana na joto kuzidi huku niliko, imenibidi nipange safari ya kuelekea mikoa ya kusini angalau niweze kushangaa shangaa na kuota baridi; nitaanza na mkoa wa Iringa na baadaye Ruvuma.
Sasa nataka nijue kwa wale waliotembelea maeneo hayo, hasa Iringa, ni sehemu gani nzuri unaweza kupata 'vibe' ya kutosha pamoja na kuondoa 'stress' za hapa na pale?
Nikipata pisi kali ya kuniongoza itakuwa vizuri pia.
Makoti blanketi zitakuwepoKuna baridi sana huko
Mduduz aiseeeUsisahau vibanda vya ccm...
Mateso yote ya nn wakat dar tunalala na mtandio mwepesiMakoti blanketi zitakuwepo