toughlendon_1
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 6,283
- 11,253
Nenda warmup mzee kidogo watu wastaarabu, Miam me huwa sipaamini kivile labda mida mibovu ndio utaenda miamiWapi unaipa 100%
Nyama mbuzi,pombe ,ng'ombe nyama ,wanawake wakutoshaWana huduma gani hapo?
Ukishindwa nijuze nimtumie,aje anitembeze mimi πHakuna shida, si itakuwa pamoja na VAT?
CCM au?
Anakuzingua hakunaga kitu hukoPisi kali zipo hapo?
Kumbe uko iringa na husemi??[emoji1787]Kiukweli Iringa sehemu nzuri za kuridhisha hakuna mzee, ila wee njoo utaenda hizo hizo zilizopo.
[emoji41] ndio ushajua thathaKumbe uko iringa na husemi??[emoji1787]
Wapi maeneo?[emoji847][emoji41] ndio ushajua thatha
Nipo GangilongaWapi maeneo?[emoji847]
Mh wa kishua[emoji1666]nice to meet yah..karbu kwetu wilolesi.Nipo Gangilonga
Ahsanteee. Karibu na wewe kwetu.Mh wa kishua[emoji1666]nice to meet yah..karbu kwetu wilolesi.
Shukrani mkuu[emoji120]Ahsanteee. Karibu na wewe kwetu.
Uwe mwenyeji wangu ili nisipoteeKiukweli Iringa sehemu nzuri za kuridhisha hakuna mzee, ila wee njoo utaenda hizo hizo zilizopo.
hakuna hta moja kwa sasa zote ulizotaja zishajifia mda mrefu255 (two five five, ipo karibu na chuo cha RUCU), Holiday (uende ukiwa umeshavaa Ndom), VIP (ipo pembeni ya 255), Shooters (kama unapenda kuona wazungu), Dragon, 3 in 1 (three in one), la parte n.k wengine watajazia
Hahaa sawa.Uwe mwenyeji wangu ili nisipotee
Muislam angeuliza viwanja kweli ππSasa Kama yeye muislam itakuwaje π€?
Hee!kwani waislamu hawaendagi Viwanja?Muislam angeuliza viwanja kweli ππ
Utanicheki basiHahaa sawa.