VentureCapitalist
JF-Expert Member
- Mar 12, 2018
- 403
- 545
Ndom muhimu mkuu255 (two five five, ipo karibu na chuo cha RUCU), Holiday (uende ukiwa umeshavaa Ndom), VIP (ipo pembeni ya 255), Shooters (kama unapenda kuona wazungu), Dragon, 3 in 1 (three in one), la parte n.k wengine watajazia
Hivi dabaga lami ishafika?85 tu mkuu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]dj nas alikupora manzi mkuu???ulimla tena huyo manzi baada ya kutoka na nas??kama ulimla basi kapime cos jamaa mapeeeeema,kawaka...eddo buana ni mkurugenzi wa ebony fm iringa so ni mmoja wa maboss hapa townBack in days tulikuwa tunaanzia mabanda ya CCM, then Miami halafu tunarudi kumalizia Ile club nimeisahau Iko ukitoka geti la Ruco upande wa pili wa barabara unashuka halafu unakata upande wako wa kushoto
Kuna yule alikuwa anajiita DJ Nas Kama sijakosea , aliwahi kunipora Dem baada ya kulewa na akaanza kuishi Kama digidigi na baadae kumtumia G kuja kuniomba msamaha wakati Dem mwenyewe alikuwa ni side chick tu wa Tumaini Univ..
Wapi my friend Eddo wa Ebony Fm
Kitambo sana Iringa.
Mkuu pm yako iwe wazi kdg basi[emoji1787]nikupm kidogoAhsanteee. Karibu na wewe kwetu.
Dah..kuna haja ya kurudi Iringa niji-"orient"..It used to be my home back then. Enzi za Makosa Cats,Bottoms up...hazipogi tena mkuu?Nenda Miami night Club, au kule Miyomboni. Kuna ka bar fulani hivi kako ghorofani. Kuna siku nilienda kuchungulia, halafu nikaondoka.
Pia jirani na chuo cha Rucu kuna Bar moja nayo iko na vibe sana! All in all, ukiwauliza Bodaboda, watakufikisha kwenye machimbo yote.
Yani aende Essence?Nenda Miami night Club, au kule Miyomboni. Kuna ka bar fulani hivi kako ghorofani. Kuna siku nilienda kuchungulia, halafu nikaondoka.
Pia jirani na chuo cha Rucu kuna Bar moja nayo iko na vibe sana! All in all, ukiwauliza Bodaboda, watakufikisha kwenye machimbo yote.
Daaah! Kabisaa 😂😂😂 takataka zoteTwiga bar
Secret bar
California bar
La place
Savanna bar
Babloon bar
Royal club,
Na Kuna Moja uhindini
Chain hiyo hatari 🙌[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]dj nas alikupora manzi mkuu???ulimla tena huyo manzi baada ya kutoka na nas??kama ulimla basi kapime cos jamaa mapeeeeema,kawaka...eddo buana ni mkurugenzi wa ebony fm iringa so ni mmoja wa maboss hapa town
ingawa naye aliwahi kumpora demu q chillah(tutaonana wabayaaaaaa)unakumbuka ule wombo eeeh??sasa kama q chillah naye alimla huyo demu baada ya kumalizana na eddo basi naye atakuwa kawaka cos eddo naye tayari mapeemaa.
Kinachonishinda Iringa ni baridi lake tu.Dah..kuna haja ya kurudi Iringa niji-"orient"..It used to be my home back then. Enzi za Makosa Cats,Bottoms up...hazipogi tena mkuu?
Poa sana. Ntaenda Ir/viwanja hivyo kabla ya mwaka kuisha inshaaalah. Huo ubaridi ndio huwa tunaufuata mkuuKinachonishinda Iringa ni baridi lake tu.
Juzi nilipita hapo Royal club baada ya Miami kuwa imefungwa.
Vibe kama lote maana madent ilikuwa weekend ya Ijumaa
Poa sana. Ntaenda Ir/viwanja hivyo kabla ya mwaka kuisha inshaaalah. Huo ubaridi ndio huwa tunaufuata mkuuKinachonishinda Iringa ni baridi lake tu.
Juzi nilipita hapo Royal club baada ya Miami kuwa imefungwa.
Vibe kama lote maana madent ilikuwa weekend ya Ijumaa
Naomba kuuliza wakuu hivi Dar to Iringa ni masaa mangapi?
Na je ni bus gani linatembea fresh (lenye Safari) yaani chap kwa haraka na sio kufika giza,
Natarajia kusafiri soon?
Naomba kuuliza wakuu hivi Dar to Iringa ni masaa mangapi?
Na je ni bus gani linatembea fresh (lenye Safari) yaani chap kwa haraka na sio kufika giza,
Natarajia kusafiri soon?
Kinachonishinda Iringa ni baridi lake tu.
Juzi nilipita hapo Royal club baada ya Miami kuwa imefungwa.
Vibe kama lote maana madent kama wote maana ilikuwa weekend ya Ijumaa
Kumbe dear uko Iringa??Kiukweli Iringa sehemu nzuri za kuridhisha hakuna mzee, ila wee njoo utaenda hizo hizo zilizopo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwenye sehemu za kugema ulanzi utakuta pisi nyingi sana kule.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani Iringa kuna mademu huko kuna wanawake wanaoweza kuzaa tu basi
Inamaana gari ya kwanza ya Dar --Iringa inaanza kuondoka saa moja?Ally said ndo pendwa kidogo japo zinatembea mda mrefu Dar ikitoka saa moja iringa hufika saa kumi jioni pia newforce ameanza safari nae ya Dar to Iringa unawez lijaribu pia