Mafanikio hayapo kwa kila mmoja, ni wachache tu waliopitiwa na bahati

Mafanikio hayapo kwa kila mmoja, ni wachache tu waliopitiwa na bahati

Prakatatumba abaabaabaa

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2022
Posts
1,842
Reaction score
6,087
Definition ya mafanikio ni kubwa sana, inategemea na mtu anaonaje mafanikio lakini uhalisia unabaki kuwa mafanikio ni pesa/umiliki wa mali.

Nimekaa sehemu nikaona vijana wanatembeza muha wanakata vipande 100/200 nikaingia kwenye tafakuri nzito kidogo.

Muhubiri 9:11
Nikarudi nikaona chini ya jua ya kwamba si kila wenye mbio washindao katika michezo,wala si walio hodari washindao vitani, wala si wenye hekima wapatao chakula, wala si watu wa ufahamu wapatao mali, wala wenye ustadi wapatao upendeleo, lakini wakati na bahati huwapata wote.

Nikiwa kwenye tafakuri akapita mtu akiwa ndani ya prado gari jipya plate number EAA, alikua ameshusha vioo vijana wakaanza kumjadili kwa sana huku wakinung'unika wengine wakisema anafanya kazi usalama, wengine wakasema dah, hata hela ya kula sina.

Kwenye tafakari pia nikawa najiuliza maisha ni juhudi au bahati? Nikasema ni juhudi lakini moyo unakataa maana wanaobeba zege, kuponda mawe, machinga wanaotembea barabarani n.k wanajuhudi sana lakini maisha ni ya kawaida sana.

Watu wanaishi kwenye ndoto kubwa saana ambayo kiuhalisia au kiukweli ni ngumu sana kukamilisha kutokana na mazingira yanayowakabili.

Africa bado tupo kwenye cycle ya poverty ukifanikiwa kutoka kidogo kuona mwanga unakuta unao ndugu weengi wanaosubiria uwashike mkono.

Maisha ni bahati tu tupiganie ndoto zetu lakini tusiwe disappointed kuona hatujayafanikisha tunayoyawaza, tuepuke kua na stress za mafanikio sana.

Mwisho tusipende kutumia msemo kwamba Mungu amempa huyu na huyo hajampa binafsi naamini Mungu hana upendeleo ikiwezekana labda hausiki kabisa na mafanikio yetu ya kidunia, ila dunia inaendeshwa kwa nature tu na bahati.

Unaweza kupambana na kuteseka kutafuta hela na usizipate hela zenyewe.

Mwisho
Tupigane kuzifanikisha ndoto zetu lakini tupigane kutafuta amani ya moyo, tuwe na furaha katika haya maisha lakini jua ya kwamba sio kila ndoto uliyonayo utaitimiza.
 
Kuna watu watateseka hapa Duniani na huko mbinguni wanakoenda bado watateseka vile vile.
Kuhangaika sana sio kufanikiwa,
Kuna watu wamezaliwa maisha Yao yananyooka tu na hayupo sirous na maisha,kila anacho gusa imo,
Na kuna hili kundi lingine ambalo hata uwe serious vipi na maisha bado msoto upo pale pale.
 
Kuna watu watateseka hapa Duniani na huko mbinguni wanakoenda bado watateseka vile vile.
Kuhangaika sana sio kufanikiwa,
Kuna watu wamezaliwa maisha Yao yananyooka tu na hayupo sirous na maisha,kila anacho gusa imo,
Na kuna hili kundi lingine ambalo hata uwe serious vipi na maisha bado msoto upo pale pale.
Sure wapo watu wa hivyo
 
Definition ya mafanikio ni kuubwa sana, inategemea na mtu anaonaje mafanikio lakini uhalisia unabaki kua mafanikio ni pesa/umiliki wa mali...

Nimekaa sehemu nikaona vijana wanatembeza muha wanakata vipande 100/200 nikaingia kwenye tafakuri nzito kidogo.

Muhubiri 9:11
Nikarudi nikaona chini ya jua ya kwamba si kila wenye mbio washindao katika michezo,wala si walio hodari washindao vitani, wala si wenye hekima wapatao chakula, wala si watu wa ufahamu wapatao mali, wala wenye ustadi wapatao upendeleo, lakini wakati na bahati huwapata wote.

Nikiwa kwenye tafakuri akapita mtu akiwa ndani ya prado gari jipya plate number EAA, alikua ameshusha vioo vijana wakaanza kumjadili kwa sana huku wakinung'unika wengine wakisema anafanya kazi usalama, wengine wakasema dah hata hela ya kula sina.b

Kwenye tafakari pia nikawa najiuliza maisha ni juhudi au bahati? Nikasema ni juhudi lakini moyo unakataa maana wanaobeba zege, kuponda mawe, machinga wanaotembea barabarani n.k wanajuhudi sana lakini maisha ni ya kawaida sana.

Watu wanaishi kwenye ndoto kubwa saana ambayo kiuhalisia au kiukweli ni ngumu sana kukamilisha kutokana na mazingira yanayowakabili..

Africa bado tupo kwenye cycle ya poverty ukifanikiwa kutoka kidogo kuona mwanga unakuta unao ndugu weengi wanaosubiria uwashike mkono.

Maisha ni bahati tu tupiganie ndoto zetu lakini tusiwe disappointed kuona hatujayafanikisha tunayoyawaza, tuepuke kua na stress za mafanikio saaana,

Mwisho tusipende kutumia msemo kwamba Mungu amempa huyu na huyo hajampa binafsi naamini Mungu hana upendeleo ikiwezekana labda hausiki kabisa na mafanikio yetu ya kidunia, ila dunia inaendeshwa kwa nature tu na bahati.

Unaweza kupambana na kuteseka kutafuta hela na usizipate hela zenyewe.

Mwisho
Tupigane kuzifanikisha ndoto zetu lakini tupigane kutafuta amani ya moyo, tuwe na furaha katika haya maisha lakini jua ya kwamba sio kila ndoto uliyonayo utaitimiza.
Muhubiri 9:11
Nikarudi nikaona chini ya jua ya kwamba si kila wenye mbio washindao katika michezo,wala si walio hodari washindao vitani, wala si wenye hekima wapatao chakula, wala si watu wa ufahamu wapatao mali, wala wenye ustadi wapatao upendeleo, lakini wakati na bahati huwapata wote.

Bahati iliyoongelewa hapa ni Ile Hali ya kufanya jambo Mara nyingi bila kukata tamaa yaan consistency. Uwe na akili au kipaji bila juhudi huwez fanikiwa ndo kitu muhubiri anajaribu kukiongelea mfano YESU alikua anasali na Mara nyingi alikua anakesha kwenye maombi usiku mchana anaponya watu alikua anafanya kwa kuingia gharama kubwa ya kukesha na kuomba sana usiku

Na kunakitu kinaitwa fluke hiki ndo utakuta vijana wengi wa vijiweni wanasubiri
 
Mafanikio ni kuweza kuweka opportunity, time, people and demand kwenye equilibrium
Ukiweza kuweka hivi vitu kwenye equilibrium lazima ufanikiwe, kazi ipo kuweka hivyo vitu vinne kwenye equilibrium ni kutokana na hardworking ambayo ndo luck na guessing ambayo ndo fluke

Ni watu wachache wanaoweza kuweka kwenye equilibrium hivyo vitu vinne ambayo ni opportunity, time, people na demand
 
Mafanikio ni kuweza kuweka opportunity, time, people and demand kwenye equilibrium
Ukiweza kuweka hivi vitu kwenye equilibrium lazima ufanikiwe, kazi ipo kuweka hivyo vitu vinne kwenye equilibrium ni kutokana na hardworking ambayo ndo luck na guessing ambayo ndo fluke
Sasa mfano ndoto zangu ni kufungua maduka ya Nguo n.k na upo kijijini ambapo hakuna mzunguko wa pesa fursa unaziona mtaji Una but pesa hakuna kabisa unafanyaje?
 
Definition ya mafanikio ni kuubwa sana, inategemea na mtu anaonaje mafanikio lakini uhalisia unabaki kua mafanikio ni pesa/umiliki wa mali...

Nimekaa sehemu nikaona vijana wanatembeza muha wanakata vipande 100/200 nikaingia kwenye tafakuri nzito kidogo.

Muhubiri 9:11
Nikarudi nikaona chini ya jua ya kwamba si kila wenye mbio washindao katika michezo,wala si walio hodari washindao vitani, wala si wenye hekima wapatao chakula, wala si watu wa ufahamu wapatao mali, wala wenye ustadi wapatao upendeleo, lakini wakati na bahati huwapata wote.

Nikiwa kwenye tafakuri akapita mtu akiwa ndani ya prado gari jipya plate number EAA, alikua ameshusha vioo vijana wakaanza kumjadili kwa sana huku wakinung'unika wengine wakisema anafanya kazi usalama, wengine wakasema dah hata hela ya kula sina.b

Kwenye tafakari pia nikawa najiuliza maisha ni juhudi au bahati? Nikasema ni juhudi lakini moyo unakataa maana wanaobeba zege, kuponda mawe, machinga wanaotembea barabarani n.k wanajuhudi sana lakini maisha ni ya kawaida sana.

Watu wanaishi kwenye ndoto kubwa saana ambayo kiuhalisia au kiukweli ni ngumu sana kukamilisha kutokana na mazingira yanayowakabili..

Africa bado tupo kwenye cycle ya poverty ukifanikiwa kutoka kidogo kuona mwanga unakuta unao ndugu weengi wanaosubiria uwashike mkono.

Maisha ni bahati tu tupiganie ndoto zetu lakini tusiwe disappointed kuona hatujayafanikisha tunayoyawaza, tuepuke kua na stress za mafanikio saaana,

Mwisho tusipende kutumia msemo kwamba Mungu amempa huyu na huyo hajampa binafsi naamini Mungu hana upendeleo ikiwezekana labda hausiki kabisa na mafanikio yetu ya kidunia, ila dunia inaendeshwa kwa nature tu na bahati.

Unaweza kupambana na kuteseka kutafuta hela na usizipate hela zenyewe.

Mwisho
Tupigane kuzifanikisha ndoto zetu lakini tupigane kutafuta amani ya moyo, tuwe na furaha katika haya maisha lakini jua ya kwamba sio kila ndoto uliyonayo utaitimiza.
Mungu hana upendeleo ikiwezekana labda hausiki kabisa na mafanikio yetu ya kidunia

Hausiki anasingiziwa tuu!
 
Nikaona paradooo! imeshusha vioo!!!
mtu akiwa ndani ya prado gari jipya plate number EAA, alikua ameshusha vioo vijana wakaanza kumjadili kwa sana huku wakinung'unika wengine wakisema anafanya kazi usalama, wengine wakasema dah hata hela ya kula sina.b
Jamani hako nako ni kajigari ka kuongelea watu na akili zetu?? unatujazia nzi za uzi humu?? kweli?? hivi wabongo mkoje????? kabisaaa paradoo! ,,,hii ngari si ya mawazo hii??!!.....

Mie huko Bongo ndo maana sitakagi kuja huko!!.....wanakijiji mna shida sana mkienda mjini!!...yaani huko Bongo ukishuka kutoka south tu! hapo wanakuzunguka utadhani nini!.......mpaka mna udhi!

Mmekaa kidhiki!! dhiki Mnoo!! sasa hapo ni Dar!! Mikoani je?...huko si ndo watakumeza kabisa? kuazimwa sasa heeee? Mkuu wa Mkoa naye anataka kuliazima jamani?? akafanyie ziara zake huko!

make ukifika kule Mkoani na Hammer wakuu woote Mkoani watakujua tu! tena nyie hamjui tu! watu wa Mikoani wanawaita wana Bongo DSM eti ni Mamtoni,...... na wa Dsm wanawaona wa Nje (Mamtoni!

DSM hapo mitaa ya kipawa ya zamani! nilidondoka na Hammer!! basi unaambiwa pale walikuja watu karibu Mia kunishangaa nimetokea wapi!! wkt Barabarani kwenda Air port yanapita kila siku!

Hii imenifanya uswahilini koote nikate Mguu kabisaaa, nikija hapo Bongo!...sasa azimisha mmoja uone watakuja rundoo la wakubwa wanataka kukuazima gari lako!...yaani ni kero sana!
 
Definition ya mafanikio ni kuubwa sana, inategemea na mtu anaonaje mafanikio lakini uhalisia unabaki kua mafanikio ni pesa/umiliki wa mali...

Nimekaa sehemu nikaona vijana wanatembeza muha wanakata vipande 100/200 nikaingia kwenye tafakuri nzito kidogo.

Muhubiri 9:11
Nikarudi nikaona chini ya jua ya kwamba si kila wenye mbio washindao katika michezo,wala si walio hodari washindao vitani, wala si wenye hekima wapatao chakula, wala si watu wa ufahamu wapatao mali, wala wenye ustadi wapatao upendeleo, lakini wakati na bahati huwapata wote.

Nikiwa kwenye tafakuri akapita mtu akiwa ndani ya prado gari jipya plate number EAA, alikua ameshusha vioo vijana wakaanza kumjadili kwa sana huku wakinung'unika wengine wakisema anafanya kazi usalama, wengine wakasema dah hata hela ya kula sina.b

Kwenye tafakari pia nikawa najiuliza maisha ni juhudi au bahati? Nikasema ni juhudi lakini moyo unakataa maana wanaobeba zege, kuponda mawe, machinga wanaotembea barabarani n.k wanajuhudi sana lakini maisha ni ya kawaida sana.

Watu wanaishi kwenye ndoto kubwa saana ambayo kiuhalisia au kiukweli ni ngumu sana kukamilisha kutokana na mazingira yanayowakabili..

Africa bado tupo kwenye cycle ya poverty ukifanikiwa kutoka kidogo kuona mwanga unakuta unao ndugu weengi wanaosubiria uwashike mkono.

Maisha ni bahati tu tupiganie ndoto zetu lakini tusiwe disappointed kuona hatujayafanikisha tunayoyawaza, tuepuke kua na stress za mafanikio saaana,

Mwisho tusipende kutumia msemo kwamba Mungu amempa huyu na huyo hajampa binafsi naamini Mungu hana upendeleo ikiwezekana labda hausiki kabisa na mafanikio yetu ya kidunia, ila dunia inaendeshwa kwa nature tu na bahati.

Unaweza kupambana na kuteseka kutafuta hela na usizipate hela zenyewe.

Mwisho
Tupigane kuzifanikisha ndoto zetu lakini tupigane kutafuta amani ya moyo, tuwe na furaha katika haya maisha lakini jua ya kwamba sio kila ndoto uliyonayo utaitimiza.
Facts..

You nailed it

Simple & Clear bila mbwembwe

Nimekuelewa

Umemaliza

Sina cha kuongezea
 
Nikaona paradooo! imeshusha vioo!!!

Jamani hako nako ni kajigari ka kuongelea watu na akili zetu?? unatujazia nzi za uzi humu?? kweli?? hivi wabongo mkoje????? kabisaaa paradoo! ,,,hii ngari si ya mawazo hii??!!.....

Mie huko Bongo ndo maana sitakagi kuja huko!!.....wanakijiji mna shida sana mkienda mjini!!...yaani huko Bongo ukishuka kutoka south tu! hapo wanakuzunguka utadhani nini!.......mpaka mna udhi!

Mmekaa kidhiki!! dhiki Mnoo!! sasa hapo ni Dar!! Mikoani je?...huko si ndo watakumeza kabisa? kuazimwa sasa heeee? Mkuu wa Mkoa naye anataka kuliazima jamani?? akafanyie ziara zake huko!

make ukifika kule Mkoani na Hammer wakuu woote Mkoani watakujua tu! tena nyie hamjui tu! watu wa Mikoani wanawaita wana Bongo DSM eti ni Mamtoni,...... na wa Dsm wanawaona wa Nje (Mamtoni!

DSM hapo mitaa ya kipawa ya zamani! nilidondoka na Hammer!! basi unaambiwa pale walikuja watu karibu Mia kunishangaa nimetokea wapi!! wkt Barabarani kwenda Air port yanapita kila siku!

Hii imenifanya uswahilini koote nikate Mguu kabisaaa, nikija hapo Bongo!...sasa azimisha mmoja uone watakuja rundoo la wakubwa wanataka kukuazima gari lako!...yaani ni kero sana!
Kwani we unaishi wapi bimdashi?
 
Back
Top Bottom