Mafanikio hayapo kwa kila mmoja, ni wachache tu waliopitiwa na bahati

Mafanikio hayapo kwa kila mmoja, ni wachache tu waliopitiwa na bahati

Nikaona paradooo! imeshusha vioo!!!

Jamani hako nako ni kajigari ka kuongelea watu na akili zetu?? unatujazia nzi za uzi humu?? kweli?? hivi wabongo mkoje????? kabisaaa paradoo! ,,,hii ngari si ya mawazo hii??!!.....

Mie huko Bongo ndo maana sitakagi kuja huko!!.....wanakijiji mna shida sana mkienda mjini!!...yaani huko Bongo ukishuka kutoka south tu! hapo wanakuzunguka utadhani nini!.......mpaka mna udhi!

Mmekaa kidhiki!! dhiki Mnoo!! sasa hapo ni Dar!! Mikoani je?...huko si ndo watakumeza kabisa? kuazimwa sasa heeee? Mkuu wa Mkoa naye anataka kuliazima jamani?? akafanyie ziara zake huko!

make ukifika kule Mkoani na Hammer wakuu woote Mkoani watakujua tu! tena nyie hamjui tu! watu wa Mikoani wanawaita wana Bongo DSM eti ni Mamtoni,...... na wa Dsm wanawaona wa Nje (Mamtoni!

DSM hapo mitaa ya kipawa ya zamani! nilidondoka na Hammer!! basi unaambiwa pale walikuja watu karibu Mia kunishangaa nimetokea wapi!! wkt Barabarani kwenda Air port yanapita kila siku!

Hii imenifanya uswahilini koote nikate Mguu kabisaaa, nikija hapo Bongo!...sasa azimisha mmoja uone watakuja rundoo la wakubwa wanataka kukuazima gari lako!...yaani ni kero sana!
Yaani unavyo jipandisha mpaka unavuka mizani! Kua balance basi japo kidogo!!
 
Yaani unavyo jipandisha mpaka unavuka mizani! Kua balance basi japo kidogo!!
Unaona sasa??, wana JF! Maneno yangu ni kweli na Uzima, nasema Bongo sitiii Mguu,...... sasa km endapo kijana (Mbagala) hujawahi kuniona,....

lkn tayari una imani na ''nimepanda Mizani!'! ni kweli hilo, uko sahihi kabisa, na ujue hiyo ni roho yako imekuaminisha ivo. bila ya weye kujijua usipinge!.......

Yaani Binafsi najijua mpaka nasikiaga maumivu, na mtu kujitambua siyo dhambi ni ukombozi wa fikra za juche! then sasa unakuja kuitizama jamii inayo kuzunguka inakuonaje,

Sasa nakuuliza hapo ulipo uko nyuma ya screen na ukiniona je? si utazimia dogo? sema usemavyo lkn mie ni un touchable updated classic girl! kufwaaaa!

Usidhani kamwe eti wadada wazuri km kina Jokate, Madam Rita hawajijui! wanajijua hasa ukikataa kunywa naniliu!!...shauri yako...yaani ukiona uko ivi basi umenikubali!

Mie nakwambia Bongo na Mambo zangu, nakuwaga km Mtu wa Maonyesho vile, siko free! ivo sinaga Raha kiviile!....hata weye hapo kwa maneno yako hayo ndo wale!wale tu! sema usemavyo huo ndo ukweli
 
Definition ya mafanikio ni kuubwa sana, inategemea na mtu anaonaje mafanikio lakini uhalisia unabaki kua mafanikio ni pesa/umiliki wa mali...

Nimekaa sehemu nikaona vijana wanatembeza muha wanakata vipande 100/200 nikaingia kwenye tafakuri nzito kidogo.

Muhubiri 9:11
Nikarudi nikaona chini ya jua ya kwamba si kila wenye mbio washindao katika michezo,wala si walio hodari washindao vitani, wala si wenye hekima wapatao chakula, wala si watu wa ufahamu wapatao mali, wala wenye ustadi wapatao upendeleo, lakini wakati na bahati huwapata wote.

Nikiwa kwenye tafakuri akapita mtu akiwa ndani ya prado gari jipya plate number EAA, alikua ameshusha vioo vijana wakaanza kumjadili kwa sana huku wakinung'unika wengine wakisema anafanya kazi usalama, wengine wakasema dah hata hela ya kula sina.b

Kwenye tafakari pia nikawa najiuliza maisha ni juhudi au bahati? Nikasema ni juhudi lakini moyo unakataa maana wanaobeba zege, kuponda mawe, machinga wanaotembea barabarani n.k wanajuhudi sana lakini maisha ni ya kawaida sana.

Watu wanaishi kwenye ndoto kubwa saana ambayo kiuhalisia au kiukweli ni ngumu sana kukamilisha kutokana na mazingira yanayowakabili..

Africa bado tupo kwenye cycle ya poverty ukifanikiwa kutoka kidogo kuona mwanga unakuta unao ndugu weengi wanaosubiria uwashike mkono.

Maisha ni bahati tu tupiganie ndoto zetu lakini tusiwe disappointed kuona hatujayafanikisha tunayoyawaza, tuepuke kua na stress za mafanikio saaana,

Mwisho tusipende kutumia msemo kwamba Mungu amempa huyu na huyo hajampa binafsi naamini Mungu hana upendeleo ikiwezekana labda hausiki kabisa na mafanikio yetu ya kidunia, ila dunia inaendeshwa kwa nature tu na bahati.

Unaweza kupambana na kuteseka kutafuta hela na usizipate hela zenyewe.

Mwisho
Tupigane kuzifanikisha ndoto zetu lakini tupigane kutafuta amani ya moyo, tuwe na furaha katika haya maisha lakini jua ya kwamba sio kila ndoto uliyonayo utaitimiza.
Ongeza juhudi, bahati utakutana nayo
 
Yaani unavyo jipandisha mpaka unavuka mizani! Kua balance basi japo kidogo!!
Huyo ndio wale masikini akipata na matako hulia mbwata, njoo na Polo vivo VW uone km kuna mtu atakua na time naww, sa'bu hio Hummer niya gharama na location ya huko ni kipawa, njoo Mwenge au K/nyama uone km kuna mtu atakua na time naww au Bweni uone watu wanaburuza mpaka RR GHOST....eti oooh bongo sirudi tena, kuna watu wapo vzr sana hapa Bongo ..."fotsek wena"
 
Nikaona paradooo! imeshusha vioo!!!

Jamani hako nako ni kajigari ka kuongelea watu na akili zetu?? unatujazia nzi za uzi humu?? kweli?? hivi wabongo mkoje????? kabisaaa paradoo! ,,,hii ngari si ya mawazo hii??!!.....

Mie huko Bongo ndo maana sitakagi kuja huko!!.....wanakijiji mna shida sana mkienda mjini!!...yaani huko Bongo ukishuka kutoka south tu! hapo wanakuzunguka utadhani nini!.......mpaka mna udhi!

Mmekaa kidhiki!! dhiki Mnoo!! sasa hapo ni Dar!! Mikoani je?...huko si ndo watakumeza kabisa? kuazimwa sasa heeee? Mkuu wa Mkoa naye anataka kuliazima jamani?? akafanyie ziara zake huko!

make ukifika kule Mkoani na Hammer wakuu woote Mkoani watakujua tu! tena nyie hamjui tu! watu wa Mikoani wanawaita wana Bongo DSM eti ni Mamtoni,...... na wa Dsm wanawaona wa Nje (Mamtoni!

DSM hapo mitaa ya kipawa ya zamani! nilidondoka na Hammer!! basi unaambiwa pale walikuja watu karibu Mia kunishangaa nimetokea wapi!! wkt Barabarani kwenda Air port yanapita kila siku!

Hii imenifanya uswahilini koote nikate Mguu kabisaaa, nikija hapo Bongo!...sasa azimisha mmoja uone watakuja rundoo la wakubwa wanataka kukuazima gari lako!...yaani ni kero sana!
Wewe ndio wale masikini akipata na matako hulia mbwata, njoo na Polo vivo VW uone km kuna mtu atakua na time naww, sa'bu hio Hummer niya gharama na location ya huko ni kipawa, njoo Mwenge au K/nyama uone km kuna mtu atakua na time naww au Bweni uone watu wanaburuza mpaka RR GHOST....eti oooh bongo sirudi tena, kuna watu wapo vzr sana hapa Bongo ..."fotsek wena"
 
Unaona sasa??, wana JF! Maneno yangu ni kweli na Uzima, nasema Bongo sitiii Mguu,...... sasa km endapo kijana (Mbagala) hujawahi kuniona,....

lkn tayari una imani na ''nimepanda Mizani!'! ni kweli hilo, uko sahihi kabisa, na ujue hiyo ni roho yako imekuaminisha ivo. bila ya weye kujijua usipinge!.......

Yaani Binafsi najijua mpaka nasikiaga maumivu, na mtu kujitambua siyo dhambi ni ukombozi wa fikra za juche! then sasa unakuja kuitizama jamii inayo kuzunguka inakuonaje,

Sasa nakuuliza hapo ulipo uko nyuma ya screen na ukiniona je? si utazimia dogo? sema usemavyo lkn mie ni un touchable updated classic girl! kufwaaaa!

Usidhani kamwe eti wadada wazuri km kina Jokate, Madam Rita hawajijui! wanajijua hasa ukikataa kunywa naniliu!!...shauri yako...yaani ukiona uko ivi basi umenikubali!

Mie nakwambia Bongo na Mambo zangu, nakuwaga km Mtu wa Maonyesho vile, siko free! ivo sinaga Raha kiviile!....hata weye hapo kwa maneno yako hayo ndo wale!wale tu! sema usemavyo huo ndo ukweli
Vizuri sana, Barikiwa .
 
Wewe ndio wale masikini akipata na matako hulia mbwata, njoo na Polo vivo VW uone km kuna mtu atakua na time naww, sa'bu hio Hummer niya gharama na location ya huko ni kipawa, njoo Mwenge au K/nyama uone km kuna mtu atakua na time naww au Bweni uone watu wanaburuza mpaka RR GHOST....eti oooh bongo sirudi tena, kuna watu wapo vzr sana hapa Bongo ..."fotsek wena"
Maskini akiliza Matako si ndo uzuri yanapumua? (ule ndo uhai au) hilo nalo linakuumiza Mkuu??...... haendi Mbinguni kwani?? uki mind we ya Busu! u-update status yako!... uwaridike Mkuu!

Nachelea sema weye ni wakuja Dsm!!! ....Mwenge pale! kwa Barabara zipi nzuri zitaje? kwanza zipo mbili chafu!chafu ivi? Sam Nujoma/ Morocco-Mwenge tuuu!

hii uwe makini na timing! ukifika reagent tu,... ,ni nyembamba pale! na hii ya kutokea Ambiance ni ndogo mbaya! Mwenge mbanano, joto la Dsm utadhani Mahindi ya kuchoma!

K/nyama/sinza ni Midimbwi ya vinyesi, vinavyo zibuliwa uswahilini (zamani majaruba ya Mipunga) Bibi zetu walilima huko! hakuna lolote na badoo ni Mibanano pia!! Mwenge/kijitonyama ukipita chocho wkt wa mvua!!

ni umekaa! utapita wapi? Sabato?...... au!! kidooogo Mwenge kijijini pale unaweza sema nisogee tu! lkn utafika wapi? Bado nakuona na wewe ni wale wale mnao sifia kajigari Prado!

Bora unge sema Kulee kilima Hewa!...Bongo ni Bongo tu. ni nzuri kwako weye wa Mkoani ndo umepatia! unaendesha gari zuri kwenye vifusi vya vinyesi vya kuzibuliwa Manzesse/Mabibo unajiona Mjanjaa!...

nyie ndo mnajipaga moyo eti ''Uraya ni hapahapa!''...sababu tu unakula vibudu vya Pugu Mnadani basi unajiona mjanjaaa hkn tena! umemaliza si kweli!

Hata ukiwa na Gari zurije Bongo, huna pa kuliendeshea kwa uhuru na utamu kama huku niliko! tena DSM unaendesha kwa mashaka mnoo, vibaka,wezi wa magari,njaa kali labda uwe na hirizi!

jamani eti njaa za bongo mtu anajigongesha kwenye gari langu ili umlipe pesa tu! ni wazi wewe una maongezi ya mtu asiye kuwa na hata pikipiki achia gari, kuendesha hujui Bongo huna gari weye !

Gari kidoogo siku hizi Labda wende Mikoani na Mikoa mitamu kwa uendeshaji mtamu na salama ni Dar..Moshi/Arusha/ to Mwanza via Nairobi to Tarime- Musoma! hizi barabara ni km uko nyumbani kwako uani tu!
 
Back
Top Bottom