Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Habari!
Mada kuu mahali popote walipo wawili, watatu au hata mtu mmoja ni pesa (mafanikio).
Ukikaa maingilio ya Kariakoo asubuhi utajionea maelfu ya watu wakitembea kwa haraka sana kufukuzana na pesa au mafanikio. Mchezo wa kusaka pesa (money game) ni wa milele. Mtu huacha kuwaza pesa pale anapopoteza fahamu au kufa.
Point yangu ni ipi?
Point yangu ni kwamba mafanikio ni methali mpya iliyokosa jibu kila siku. Hayana formula. Fanya kilicho mbele yako ili tu upate kula na kusurvive ila kuhusu mafanikio ni bahati.
Unaweza kufanya kazi Ikulu ukapitwa pesa na mama nitilie wa Tandika, unaweza kuwa manager wa ofisi lakini Crane operator akakupita mafanikio.
Unaweza kuwa na PhD lakini account yako ikawa na pesa kidogo zaidi ya mvuvi wa Sangara wa Mwanza ambaye ni STD 7 tu.
Mtaa ninaoishi watu wenye pesa nyingi wako kama 7 hivi ambao wote ni lasaba tu. Wanamiliki magari ya kubebea mchanga, tofali na uani kwao magari ya kutembelea yamejaa.
Wasomi sisi ndio tunabangaiza na kumiliki vi Suzuki, mwingine Escudo, ist na spacio. Hapa simaanishi kuwa ukiwa na elimu hufanikiwi. No unaweza kumiliki hata billion nakuendelea.
Mafanikio hayaletwi na formula. Tunatafuta ili tu kutimiza amri kuwa tusipofanya kazi tisile ila kuhusu kufanikiwa sio kazi ya mwanadamu.
Mada kuu mahali popote walipo wawili, watatu au hata mtu mmoja ni pesa (mafanikio).
Ukikaa maingilio ya Kariakoo asubuhi utajionea maelfu ya watu wakitembea kwa haraka sana kufukuzana na pesa au mafanikio. Mchezo wa kusaka pesa (money game) ni wa milele. Mtu huacha kuwaza pesa pale anapopoteza fahamu au kufa.
Point yangu ni ipi?
Point yangu ni kwamba mafanikio ni methali mpya iliyokosa jibu kila siku. Hayana formula. Fanya kilicho mbele yako ili tu upate kula na kusurvive ila kuhusu mafanikio ni bahati.
Unaweza kufanya kazi Ikulu ukapitwa pesa na mama nitilie wa Tandika, unaweza kuwa manager wa ofisi lakini Crane operator akakupita mafanikio.
Unaweza kuwa na PhD lakini account yako ikawa na pesa kidogo zaidi ya mvuvi wa Sangara wa Mwanza ambaye ni STD 7 tu.
Mtaa ninaoishi watu wenye pesa nyingi wako kama 7 hivi ambao wote ni lasaba tu. Wanamiliki magari ya kubebea mchanga, tofali na uani kwao magari ya kutembelea yamejaa.
Wasomi sisi ndio tunabangaiza na kumiliki vi Suzuki, mwingine Escudo, ist na spacio. Hapa simaanishi kuwa ukiwa na elimu hufanikiwi. No unaweza kumiliki hata billion nakuendelea.
Mafanikio hayaletwi na formula. Tunatafuta ili tu kutimiza amri kuwa tusipofanya kazi tisile ila kuhusu kufanikiwa sio kazi ya mwanadamu.