Hi Nyekundu, ahsante kwa kushare nasi ujuzi wako .
Je huu ni ujuzi wako wa darasani(theory) ama ni practical ? Wewe uliipataje hiyo fursa ya kuingia kwenye madini at that under 25yrs na una muda gani huko, kuna mafanikio unayaona ama bado bado?
Naskia bila uchawi na ndumba huwezi kumake hii biashara, je ni kweli huo uchawi unawasaidia hao? Vipi wewe unaamini na kutumia pia?
Kuna hizo risks tunaziskia wachimbaji wanaangukiwa na vifusi muda mwingine, vipi mnachukua tahadhari gani ama ni tahadhari gani za kuzingatia?
Wanasema pesa zinazopatikana kwenye hii biashara wengi wao hawafanyii vitu vya maendeleo mfano other investments(pesa hazikai yaani) vipi ni kweli? Wewe unajionaje ktk hilo?
Thank you in advance!