IBRA wa PILI
JF-Expert Member
- Oct 12, 2017
- 1,503
- 2,426
Songea njia ya muhukulu mitomoni akunaga usumbufu kule Mara zote na kule sio mbali na kuna usalama kule mpakaniNataman kujua anapita wapi hasa eneo lenye magaidi lile
Kama hutojali mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Songea njia ya muhukulu mitomoni akunaga usumbufu kule Mara zote na kule sio mbali na kuna usalama kule mpakaniNataman kujua anapita wapi hasa eneo lenye magaidi lile
Kama hutojali mkuu
Nashukuru mkuu mungu akubariki sana umeongeza kitu hapaKuna rafik angu kaanza na mtaji wa 10milioni japo ata milioni 2 nasikia watu wanaanza kutokana na eneo lilipo
Anachukua msumbiji anauzia Dar
Mara ya kwanza alienda na gram 100 akapiga faida ya milion 1.8 akitoa usafir n.k akabaki na milion 1.5
Akaenda tena second time faida ni million 1.875000
Saiz anaenda sokoni kwa mwez Mara 3
Uhakika wa milion 4+ anao ndani ya mwezi mmoja tu gramu kule saiz ni laki moja mgodini
sokoni dar ilikua laki na 25 japo aitabirik muda wowote ina change kama dola
Alafu ni kijana wa 20+ saiz yupo msumbiji wiki hii anazama dar tena kuuza mzigo
We ulianza na mtaji wa shingapi uko chunya?
Maana kama Mimi nikiwa na milioni 2 ni gram 20 sasa from msumbiji to dar mhmm Mara kuchomwa gram zishuke kidogo faida itaishia nauli tu
Je huko kujisajili kama mnunuzi shingapi vibali ?
Wewe unauzia wapi dhahabu ?
Watanzania bana! Kilimo wanasema ni betting,kufuga betting,Kusoma betting,madini betting sa sijui wanaweza nini? Kila kitu kisingizio ni kwao ni betting au uchawi.Biashara ya dhahabu haina tofauti na beting!!! Wengi tunaliwa anapata mmoja! Invest what you van loose
Mbona nina PML na naendelea na kazi na sikuambiwa kuwa lazima nionane na NEMC?Mkuu cha kwanza inabidi uwe timamu wa akili cha pili kuna kutafuta leseni ya uchimbaji cha pili ukiipata leseni jeh!? Hio leseni yako inaenda kuathiriy vipi mazingira unakutana na watu wa mazingira ili wakadirie uharibifu utakao ufanya katika mazingira ufanye malipo ya uharibifu ndo uanze kazi
Bei kwenye Masoko ya Dhahabu Tz huendana na Bei ya Soko la dunia,Bei ya dhahabu inaendana na bei ya soko la dunia?
Ila kiuhalisia huwezi toa dhahabu Msumbiji ukaiuzia Dar ndo maana masoko yamekuwa mengi, umehesabu tu bei ya kuuza hujaweka asilimia ya hiyo dhahabu na 7% ya Serikali na Service Levy. Hivyo haiwezi kuuzwa kwa 125KKuna rafik angu kaanza na mtaji wa 10milioni japo ata milioni 2 nasikia watu wanaanza kutokana na eneo lilipo
Anachukua msumbiji anauzia Dar
Mara ya kwanza alienda na gram 100 akapiga faida ya milion 1.8 akitoa usafir n.k akabaki na milion 1.5
Akaenda tena second time faida ni million 1.875000
Saiz anaenda sokoni kwa mwez Mara 3
Uhakika wa milion 4+ anao ndani ya mwezi mmoja tu gramu kule saiz ni laki moja mgodini
sokoni dar ilikua laki na 25 japo aitabirik muda wowote ina change kama dola
Alafu ni kijana wa 20+ saiz yupo msumbiji wiki hii anazama dar tena kuuza mzigo
We ulianza na mtaji wa shingapi uko chunya?
Maana kama Mimi nikiwa na milioni 2 ni gram 20 sasa from msumbiji to dar mhmm Mara kuchomwa gram zishuke kidogo faida itaishia nauli tu
Je huko kujisajili kama mnunuzi shingapi vibali ?
Wewe unauzia wapi dhahabu ?
Kuna kipindi jamaa yangu alianza biashara ya kuwavusha mto Ruvuma pale alipiga Sana hela enzi flani hivi.Songea njia ya muhukulu mitomoni akunaga usumbufu kule Mara zote na kule sio mbali na kuna usalama kule mpakani
Mapambo na nyingine hutumika katika chips na zingine hutumika kama hifadhi mbadala wa fedhaJe, dhahabu hutengenezwa nini mkuu maana mzigo mdogo wa dhahabu unakipunga hatari.
Je, products zake zitakuwaje sasa
Uchimbaji mdogo unahusisha watu wa imani tofauti tofauti, watu hupita kwa waganga ili wasomewe ramani na kutiwa moyo, maana hawana vipimo vinavyoonesha urefu wa mwamba ni kiasi gani kushuka chini.Hi Nyekundu, ahsante kwa kushare nasi ujuzi wako .
Je huu ni ujuzi wako wa darasani(theory) ama ni practical ? Wewe uliipataje hiyo fursa ya kuingia kwenye madini at that under 25yrs na una muda gani huko, kuna mafanikio unayaona ama bado bado?
Naskia bila uchawi na ndumba huwezi kumake hii biashara, je ni kweli huo uchawi unawasaidia hao? Vipi wewe unaamini na kutumia pia?
Kuna hizo risks tunaziskia wachimbaji wanaangukiwa na vifusi muda mwingine, vipi mnachukua tahadhari gani ama ni tahadhari gani za kuzingatia?
Wanasema pesa zinazopatikana kwenye hii biashara wengi wao hawafanyii vitu vya maendeleo mfano other investments(pesa hazikai yaani) vipi ni kweli? Wewe unajionaje ktk hilo?
Thank you in advance!
Kumesaidia maana huhitaji broker licence kuuza dhahabu, pia imesaidia maana unaenda sokoni unakuta wanunuzi wengi na bei elekezi imewekwa na serikali hivyo si rahisi kupigwa (JAPO UTAPIGWA TU)Kuanzishwa kwa masoko ya kanda kumesaidia au kumeharibu biashara ya dhahabu?
Kwani huna namba za watu makota wenzako uwaulize bei?Mkuu bei ya dhahabu inashuka nakupanda kila siku nimetok Dodoma leo naomba nifike sokoni na porin maeneo ya chunya nitakupatia bei harisi kuanzia kesho naomba unisamehe sana ndugu yangu sitaki kudanganya
Biashara ya dhahabu si kamari ila uchimbaji bila kupima ndio kamari maana unawekeza hela hujui zitarudi lini.Biashara ya dhahabu haina tofauti na beting!!! Wengi tunaliwa anapata mmoja! Invest what you van loose
Popote pale unapoona makampuni makubwa yanawekeza jua washapima vya kutosha na wanajua kabisa dhahabu wanaipata umbali gani, wingi ganiJe ni kweli kuwa milima yote anayomiliki Geita Gold mine huko mkoa wa Geita Ina dhahabu nyingi na dhahabu yake inapatikana sio kwenye kina kilefu?
Gold detector sana sana zitadetect vikore. Hazina uwezo wa kudetect mwamba wa dhahabu ila vipande vya dhahabu pekee.Nataka gold detector (underground), kwa hapa Tanzania napata wapi?? Bei yake inakwenda ngapi??
Ndio ila refinery ni gharama kubwa sana hakuna Mtz mmoja mmoja anaweza wekeza ndio maana hata hizi zilizoko Dodoma na Mwanza zimewekezwa kwa ubia wa makampuni ya nje na ya ndani pamoja na serikaliNimesikia kuna vibali vimeanza kutolewa kwaajili ya kuwekeza kwenye refinery za dhahabu, hapo awali dhahabu ilikua haisafishwi.?
Jikoni unapoenda choma dhahabu wale wanachoma kwa maximum yao wanaondoa impurities zote ila hawana uwezo wa kutenganisha Cu, Fe, Au etc hiyo ni kazi ya refinery ambazo hutenganisha kila kitu kivyake.Hapana dhahabu inasafishwa ila kwa wanunuzi wale wa chini kabisa dhahabu hua inachomwa tu moto bila yakusafishwa na kuuzwa
Hupewi Kitalu cha kuchimbaIli upewe kitalu cha kuchimba dhahabu INATAKIWA uwe na vigezo gani?