Biashara ya madini haina ushirikina wowote bali uchimbaji ndio una ushirikina.Je ni kweli biashara hii ya madini inahusika na mambo ya kiushirikina? Tafadhali uwe mkweli hahaah
Masoko yote bei huwa zafanana, Kwa Dar watu wengi wanaenda Uza kwa Masonara, pia lile Soko lao pae NHC house Samora limewekwa ili kama mtu anataka Safirisha mzigo basi akakaguliwe pale na kupewa Final docsSoko la dhahabu kwa ajili ya kuja kuuza Dar huwa lipo wapi sasa!? Yani ambapo utanunua kwa jumla uje kuuza kwa faida!?
Vipi kuhusu mambo ya utapeli?
Mkuu nilisikia ya dom waserbia wameweka 15m usd. Wabongo wanazo hizi.Ndio ila refinery ni gharama kubwa sana hakuna Mtz mmoja mmoja anaweza wekeza ndio maana hata hizi zilizoko Dodoma na Mwanza zimewekezwa kwa ubia wa makampuni ya nje na ya ndani pamoja na serikali
Dhahabu pure yatakiwa iwe 999.9 hapo maana yake madini yoooote yametolewa imebakia Dhahabu tu.
Refinery Tz ziko 2 tu moja Mwanza na nyingine DodomaMkuu nilisikia ya dom waserbia wameweka 15m usd. Wabongo wanazo hizi.
Aisee ki hualisia huwezi toa dhahabu msumbiji ukaja uza dar juzi mechi ya simba na yanga aliku hapo alikuja uza mzigoIla kiuhalisia huwezi toa dhahabu Msumbiji ukaiuzia Dar ndo maana masoko yamekuwa mengi, umehesabu tu bei ya kuuza hujaweka asilimia ya hiyo dhahabu na 7% ya Serikali na Service Levy. Hivyo haiwezi kuuzwa kwa 125K
Pia kama kainunua kwa 100000 faida yake haitazidi 9000 kwa gram labda asilimia yake iwe 98
Nashukuru mkuu mungu akubariki sana umeongeza kitu hapa
Mkuu nimekutumia ujumbe PM...Poleni na mfungo ndugu zangu waislam kaka zangu, dada zangu, na wengine wenye umri kama wangu yaani below 25 niulizeni ndugu yenu hapa kijana mwenzenu.
Niulize chochote kuhusu hii biashara nitakujibu.
Chochote kinachokutatiza nitakujibu.
Karibuni kwenye uwanja wa madini msiogope niulize chochote nitakujibu kwa kina. Kama pia una neno unataka kuongezea ni mjuzi pia karibu sana utupe na wewe chochote.
Ardhi ni mali ya Rais.Nikiokota dhahabu upenuni wa nyumba yangu. Je Itakuwa yangu au ya serikali??
Au uwanja wangu ukigundulika una hayo. Madini chini je ni yangu au ya serikali!?? AU ntapata nini Mwenye ardhi
Mkuu muombe aje huku atupe mbinu za kwenda hapo msumbijiAisee ki hualisia huwezi toa dhahabu msumbiji ukaja uza dar juzi mechi ya simba na yanga aliku hapo alikuja uza mzigo
Leo asubhi yupo njian anakuja dar tena katoka Jana msumbiji mi ndio nimemkatia tiket alntumia pesa.
Ok sijajua sana akirudi kesho kutwa ntamuuliza izo 7% na service levy ipoje
Mkuu bei ya dhahabu inashuka nakupanda kila siku nimetok Dodoma leo naomba nifike sokoni na porin maeneo ya chunya nitakupatia bei harisi kuanzia kesho naomba unisamehe sana ndugu
Chunya, japo mimi sio mleta mada, ila kwa uzoefu mdogo wa kupita maeneo hayoNakupongeza kwa moyo wako wa kutuhamasisha wengi tutafute utajiri kupitia dhahabu!
Hongera saana,
Naomba kufahamu kwa Sasa kati ya geita na chunya wapi ni sehemu nzuri ya kwenda kwa mtu anayetaka kuanza hii biashara??
Namaanisha kununua dhahabu kwa wachimbaji wadogo na kuiuza mwa wanunuzi wa kubwa na kati?
Shukran MKUU 🙏Chunya, japo mimi sio mleta mada, ila kwa uzoefu mdogo wa kupita maeneo hayo
Mkuu endapo tukikutajia bei utasema tumeleta mada ili tuuze fanya research wew mwenyewe ukiona unaweza kufanya jaribu mkuuHizo crusher ni bei gani na biashara yake inafanyikaje ukishalisimika huko porini?
Chunya iko vizuri Sana geita imechimbwa Kwa kiasi kikubwa na pia chunya ni nzuri kwa mtaji mdogoNakupongeza kwa moyo wako wa kutuhamasisha wengi tutafute utajiri kupitia dhahabu!
Hongera saana,
Naomba kufahamu kwa Sasa kati ya geita na chunya wapi ni sehemu nzuri ya kwenda kwa mtu anayetaka kuanza hii biashara??
Namaanisha kununua dhahabu kwa wachimbaji wadogo na kuiuza mwa wanunuzi wa kubwa na kati?
[emoji3][emoji3][emoji3]hilo swali nenda kafate taratibu serikalini watakupa muongozo mzimaMkuu nashukuru kwa elimu unayotupa. Naomba utuelekeze namna bora ya kuweza kununua dhahabu nchini kwa wachimbaji wadogo na kwenda kuuza nje ya nchi.
Shukrani mkuuChunya iko vizuri Sana geita imechimbwa Kwa kiasi kikubwa na pia chunya ni nzuri kwa mtaji mdogo