Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Wakuu kutokana na utendaji mzuri wa Rais JPM Magufuli na kuwa kiongozi wa kupigiwa mfano Africa na Duniani na ili Taifa letu lifike pale ambapo Nchi nyingi za Kiafrika kimaendeleo zimefikia.! Tukijielekeza katika Mfano wa Rwanda na Uganda.Na sudan kaskazini.
Napendekeza Rais wa Nchi Yetu Ndugu John Joseph Pombe Magufuli aongoze Nchi yetu mpaka 2050.
[HASHTAG]#Magufuli[/HASHTAG] mpaka 2050# mimi kura yangu nimeshapiga sijui wewe.
Kwa katiba ipi na Sera zipi kwa sera mlizoandikiwa
 
Mjinga wewe, rais wetu huyu mwema anavyosimamia na kuzilinda sheria zetu,anavyotusikiliza na kutuheshimu watanzania wote pamoja na kutuunganisha pamoja unataka aishie 2050 tu?? Me napendekeza afike hadi 2075..

Hoyeeee! Demokrasia hoyee!
 
Mimi sina tofauti saana na jpm.
Lakini hata kama ningekua nampenda sana. Sio sahihi kumuongezea hata muhula mmoja.
Utaratibu wa miaka mitano mitano unafaa tu.
Mtihani ni kwa wananchi kuchagua anayefaa baada ya miaka mitano au kumi . . . kuna wa tz zaidi ya mil 50
 
Wakuu kutokana na utendaji mzuri wa Rais JPM Magufuli na kuwa kiongozi wa kupigiwa mfano Africa na Duniani na ili Taifa letu lifike pale ambapo Nchi nyingi za Kiafrika kimaendeleo zimefikia.! Tukijielekeza katika Mfano wa Rwanda na Uganda.Na sudan kaskazini.
Napendekeza Rais wa Nchi Yetu Ndugu John Joseph Pombe Magufuli aongoze Nchi yetu mpaka 2050.
[HASHTAG]#Magufuli[/HASHTAG] mpaka 2050# mimi kura yangu nimeshapiga sijui wewe.
Kama ndiyo hivyo , Tukamfufue Nyerere tumpe mpaka 2100
 
Wakuu kutokana na utendaji mzuri wa Rais JPM Magufuli na kuwa kiongozi wa kupigiwa mfano Africa na Duniani na ili Taifa letu lifike pale ambapo Nchi nyingi za Kiafrika kimaendeleo zimefikia.! Tukijielekeza katika Mfano wa Rwanda na Uganda.Na sudan kaskazini.
Napendekeza Rais wa Nchi Yetu Ndugu John Joseph Pombe Magufuli aongoze Nchi yetu mpaka 2050.
[HASHTAG]#Magufuli[/HASHTAG] mpaka 2050# mimi kura yangu nimeshapiga sijui wewe.
Akamtawale mama yako
 
Wakuu kutokana na utendaji mzuri wa Rais JPM Magufuli na kuwa kiongozi wa kupigiwa mfano Africa na Duniani na ili Taifa letu lifike pale ambapo Nchi nyingi za Kiafrika kimaendeleo zimefikia.! Tukijielekeza katika Mfano wa Rwanda na Uganda.Na sudan kaskazini.
Napendekeza Rais wa Nchi Yetu Ndugu John Joseph Pombe Magufuli aongoze Nchi yetu mpaka 2050.
[HASHTAG]#Magufuli[/HASHTAG] mpaka 2050# mimi kura yangu nimeshapiga sijui wewe.
Umepigwa katerero ya tigo na JONGO PAPAI MKAA sasa kiuno kinakuuma unakuja na ujinga kama huo.
 
Kwanza hakuna kiongozi bora anaweza kuvunja katiba,, kama katiba yetu inaonyesha miaka kumi ukomo kwa vipndi viwili vya miaka.mitano lazima ifuatwe.

Labda tufanye kama Russia wao ukishamaaliza muda wako, vipindi viwili vikishapita unaweza kurudi kugombea. Ila pia si vyema kungangania madaraka waachie na wengine waje na mawazo mbadala.
Vip kuhusu mbowe ni kiobgoz bora? Maana hataki kuachia uenyekit
 
Wakuu kutokana na utendaji mzuri wa Rais JPM Magufuli na kuwa kiongozi wa kupigiwa mfano Africa na Duniani na ili Taifa letu lifike pale ambapo Nchi nyingi za Kiafrika kimaendeleo zimefikia.! Tukijielekeza katika Mfano wa Rwanda na Uganda.Na sudan kaskazini.
Napendekeza Rais wa Nchi Yetu Ndugu John Joseph Pombe Magufuli aongoze Nchi yetu mpaka 2050.
[HASHTAG]#Magufuli[/HASHTAG] mpaka 2050# mimi kura yangu nimeshapiga sijui wewe.
Tubadili Katiba?
 
Back
Top Bottom