Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Kama si juhudi binafsi za Mh Dr Magufuli, miradi mingi ya maendeleo ingekuwa ndoto za mchana au Tanzania kuingizwa mkenge kiaina.

Flyover ya TAZARA si wengi wanaofahamu kuwa imesuasua kwa karibu miaka sita!
Interchange ya Ubungo imekuja ghafla bin vuu!

Ujenzi wa reli SGR umeanza, tena kwa gharama nafuu kuliko wenzetu majirani, Kenya.

Sijui watanzania mgetaka vipi tena!
Kelele za mlango wekea oili bawaba, zitaisha tu.

Magufuli, piga kazi mwanawane!
 
Kama si juhudi binafsi za Mh Dr Magufuli, miradi mingi ya maendeleo ingekuwa ndoto za mchana au Tanzania kuingizwa mkenge kiaina.

Flyover ya TAZARA si wengi wanaofahamu kuwa imesuasua kwa karibu miaka sita!
Interchange ya Ubungo imekuja ghafla bin vuu!

Ujenzi wa reli SGR umeanza, tena kwa gharama nafuu kuliko wenzetu majirani, Kenya.

Sijui watanzania mgetaka vipi tena!
Kelele za mlango wekea oili bawaba, zitaisha tu.

Magufuli, piga kazi mwanawane!
Naomba uweke sawa kwa kutofananisha ujenzibwa SGR Kenya na SGR Tz. Kenya wameangalia mahitaji yao na nini wanachokitaka. Na SGR ya kenya siyo electrified kama yetu ni locomotive yaani diesel injini ambayo wanataka kuimodefie pia iwe elecrifiec SGR. Na kingine kenya walikitathimini ni uwezo kwa maana ya SGR kenya ina uwezo wa kubeba kuanzia tani 25-30milioni kwa mwaka wakati yetu ina uwezo wa kubeba tani 10-17milioni kwa mwaka.

Kuchagua ni kupanga na kenya wameamua kuchagua project ya namna hiyo.
 
Naomba uweke sawa kwa kutofananisha ujenzibwa SGR Kenya na SGR Tz. Kenya wameangalia mahitaji yao na nini wanachokitaka. Na SGR ya kenya siyo electrified kama yetu ni locomotive yaani diesel injini ambayo wanataka kuimodefie pia iwe elecrifiec SGR. Na kingine kenya walikitathimini ni uwezo kwa maana ya SGR kenya ina uwezo wa kubeba kuanzia tani 25-30milioni kwa mwaka wakati yetu ina uwezo wa kubeba tani 10-17milioni kwa mwaka.

Kuchagua ni kupanga na kenya wameamua kuchagua project ya namna hiyo.
You pay what you get.
Kwetu Tanzaania tuna better deal, umeme ni cheaper kuliko imported fuel.
 
Mafisadi na watetezi wa mafisadi hawapendi kuona thread kama hizi!
 
tungeshakufa kwa presha mi naomba mungu miaka yake iishe haraka sana apotee na hii picha hapa ofisini iteremshwe..............


halafu nawaza tu hapa anazindua mambo ya jk atakayemfwatia yeye atazindua kitu gani?
Mcheki huyu nae alivyo punguani
Eti anazindua mambo ya JK
Bure kabisa mitanzania mengine
Ko JK alikuwa wapi kuzindua alikuwa wapi kupitisha2 hella
Haya ndo maneno ya walioshindwa

Yaan watanzania wengine wapumbavu tu
 
Mcheki huyu nae alivyo punguani
Eti anazindua mambo ya JK
Bure kabisa mitanzania mengine
Ko JK alikuwa wapi kuzindua alikuwa wapi kupitisha2 hella
Haya ndo maneno ya walioshindwa

Yaan watanzania wengine wapumbavu tu
punguani ni mamako aliyekuzalia makalioni **** wewe farasi wahed
 
Magufuli katisha. Ndani ya Mwaka moja kafanya mambo mengi sana
Na apo aliingia hazina haina hella
 
Yapi hayo mapinduzi tueleweshe
1. Umeme vijijini kote ( 2021 kila kijiji kuwa na umeme)
2. ikulu kuhamia Dodoma ili kutoa fursa ya wananchi wote kuweza kufikiwa na huduma kirahisi.
3. Reli
4. Meli kila ziwa
5. Viwanda.
6. Uwekezaji wa sector binafsi unaimalishwa
7. Ufisadi na rushwa vimepungua
8. Ukilitimba vimepungua
9. Amani imeongezeka..mfano Zanzibar, Dar na Tarime
10. Flyover Ubungo na Tazara.
11. Hotel
12. Madawati nchi nzima
13. Kuongezaka kwa wanafunzi mara dufu walio ingia shule za awali.
14 . Kesi mahakamani hazicheleweshwi
N.K

Hakika Uongozi wa Magufuli unaacha alama.
 
Sishangai we kunitukania mama ang ambae hausiki
Najua huna akili ndo maana maisha yako yenyewe yanasuasua

Siku ukiacha upunguani utanambia
Wewe jamaa unapenda matusi sasa ndio maana unatukaniwa mama yako, tusio na matusi tunakuacha utukane tu hadi uchoke mwenyewe...
 
Sishangai we kunitukania mama ang ambae hausiki
Najua huna akili ndo maana maisha yako yenyewe yanasuasua

Siku ukiacha upunguani utanambia
anahusika angekufunza adabu unanitukanaje kwani unajuaje kama mimi si mama wa mtu mwingine ukiwa unaandika hapa ushike adabu yako sio unatukana watu hovyo naweza kukutukania hata makaburi ya kwenu hayo maneno yote hapo umetukana unadhani nakunyamazia narudia tena umezaliwa kwa makalio kisimi mkubwa wewe ukome kunitukana kila mtz ana uhuru wa kuongea anachoweza bila kunmtukana mwenzie wewe unanitukana nikuache kwasababu nakuogopa nini labda koma kama ulivokoma ziiwa la mamako musenge wacha nipewe ban lakini siwezi kukubali unitukane mbwa wa sokoni kabisa wewe shenzy mwili mzima
 
Wenywenye akili wanajua Magufuli anafanyanini wapigaji ndio wanalia kila siku wazalendo wa nchi hii tunatamani Magufuli aendelee miaka 20 ijayo tubadili katiba
 
anahusika angekufunza adabu unanitukanaje kwani unajuaje kama mimi si mama wa mtu mwingine ukiwa unaandika hapa ushike adabu yako sio unatukana watu hovyo naweza kukutukania hata makaburi ya kwenu hayo maneno yote hapo umetukana unadhani nakunyamazia narudia tena umezaliwa kwa makalio kisimi mkubwa wewe ukome kunitukana kila mtz ana uhuru wa kuongea anachoweza bila kunmtukana mwenzie wewe unanitukana nikuache kwasababu nakuogopa nini labda koma kama ulivokoma ziiwa la mamako musenge wacha nipewe ban lakini siwezi kukubali unitukane mbwa wa sokoni kabisa wewe shenzy mwili mzima
Sikushangai. Maana wapumbavu hawanaakili. Ata Yesu mwenyewe alikuwa anawaambia wengine hyo maana hawana akili. Tena kutukana kwako kunaonesha akili yako ilivyo mbovu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mtu mzima maendeleo ziro. Yaan mtu akiandika2 apa najua akili yake kabisa. Na tena wewe ni shoga. Maana inaonesha. Unatafta bwana humu. Maana unapenda sana kusema umezaliwa kwenye matako. Hii inaonesha jinsi gani ulivyo shoga. Na mashoga hayafikirii. Tena u ajiita mwanamke[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Dah! Akili za mpumbavu mwachie mpumbavu
Sibishanagi na mashoga. Nina kazi za kufanya

Ushauri wa bure: usipende kudharau wengine ukazani ni USELESS kama wewe
Magufuli ni mtu wa kazi mtabaki mnaongeaongea ujinga maana akili zenu wengi sio productive. Ni kama wewe ulivyo shoga. Huwez ukafikiria maana kila mda unawaza kukunwa2 na mtu akikufata unamuattack mama ang
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom