Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Kwa katiba ipi na Sera zipi kwa sera mlizoandikiwa
 
Mjinga wewe, rais wetu huyu mwema anavyosimamia na kuzilinda sheria zetu,anavyotusikiliza na kutuheshimu watanzania wote pamoja na kutuunganisha pamoja unataka aishie 2050 tu?? Me napendekeza afike hadi 2075..

Hoyeeee! Demokrasia hoyee!
 
Mimi sina tofauti saana na jpm.
Lakini hata kama ningekua nampenda sana. Sio sahihi kumuongezea hata muhula mmoja.
Utaratibu wa miaka mitano mitano unafaa tu.
Mtihani ni kwa wananchi kuchagua anayefaa baada ya miaka mitano au kumi . . . kuna wa tz zaidi ya mil 50
 
mnyang'anyi
mzee wa chuki
mzee wa mabifu
mlopokaji
 
Kama ndiyo hivyo , Tukamfufue Nyerere tumpe mpaka 2100
 
Akamtawale mama yako
 
Umepigwa katerero ya tigo na JONGO PAPAI MKAA sasa kiuno kinakuuma unakuja na ujinga kama huo.
 
Vip kuhusu mbowe ni kiobgoz bora? Maana hataki kuachia uenyekit
 
Tubadili Katiba?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…