Wilinasi Petroleum
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 207
- 199
Maguri ndo rais wa nchi gani? Unajua Nyosso alichomfanyia Maguri?? Mchochezi utapimwa mkojo
Sent from my Nokia-tochi using JamiiForums mobile app
ANAYETUPELEKA MOTONI NI TUNDU LISSU NA WAHUNI WENZAKEndio anatuvusha kuelekea motoni
Akamvushe mama yako anayetahabika kijijini kwenu chatoUtendaji wake ni wa kupigiwa mfano, ni kisiki cha mpingo. Tangu ameikamata dola amefanya mambo makubwa ambayo sisi wanyonge, walala hoi na walala hee hatukuyatarajia maana tumezoea wanasiasa wanapopata madaraka wanatugeuka, lakini imekuwa tofauti kabisa kwa Jembe MAGU ambapo yeye anaenenda na kutembea kwenye maneno yake.
NAMUOMBA AENDELEE KUYATUMBUA MAJIPU YALIYOSALIASALIA ILI YAISHE KABISA HATIMAYE TUIONE TANZANIA YENYE NEEMA.
TANZANIA KUIFADHILI MAREKANI INAWEZEKANA. KILA MTU AWAJIBIKE IPASAVYO KWA NAFASI YAKE ALIYOPO.
lissu ndio alikula hela za rambi rambi kagera au sio ?ANAYETUPELEKA MOTONI NI TUNDU LISSU NA WAHUNI WENZAKE
WEWE UNAONEKANA NI MFUASI WA SHETANI MKUU.
ndio mkuu. halafu ana faili la kudumu pale mirembe hospital iliyopo mjini dodomalissu ndio alikula hela za rambi rambi kagera au sio ?
Naunga hoja yako mkono ila tusiwataje Wazazi, Wazazi ni kitu cha thamani saaaaana. Hizi ghasia zetu na haya Ma-CCM yasitufanye tutaje wazazi wetu
Roho ya kimasikini.Kweli huyu ndiye rais niliyemsubiri kwa miaka mingi sana. Sikuhizi yule jamaa yangu aliyekuwa anafanya kazi pale halmashauri ya manispaa ya kinondoni simuoni tena. Yaani yeye alikuwa anatembepea maeneo mawili tu. Kwenye ATM na BAR. Anajifanya eti yuko serikalini ndo maana hafanyi kazi. Na kama wiki hivi sijamwona alafu nikimpigia simu anasema yuko busy. ***** ngoja aje amkute hayuko apigwe chini ntacheka alafu hata hana nyumba.
Magufuli hebu mtembelee na huyu umfinye kidogo ajifunze kuishi kwa kuchubuka kama sisi