Ukishaona mtu anaimba mapambio namna hii basi ni dhahiri hakusoma kabisaaa na hana elimu kichwani hivyo kuna vitu vingi vinavyo hitaji elimu kuvielewa na kuona kuwa haviendi yeye hana uwezo wa kuviona kuwa haviedi ndio maana mapambio yanatamalaki.ujinga ni hasara kubwa sana.Akiwa hajamaliza miaka mi5 ya uongozi wake tayari matukio makubwa mawili ya kustaajabisha yametokea
1.Kupatwa kwa jua.
2.Kupatwa kwa mwezi.
Wataalamu wa unajimu na mambo ya nyota wanasema jambo hili hua ni nadra sana kutokea na linapotokea kwa kufulilizana kama lilivyotokea Tanzania basi tujue uongozi uliopo unakubalika na MUNGU.
Hizi ni dalili njema njema za Ushindi kwa Serikali ya awamu ya 5 na ndiyo itakayotuvusha katika matatizo ya nchi yetu.
Kupatwa kwa jua na mwezi ni ishara ya mafanikio kwa Serikali ya Magufuli.
Shirika la ndege ATCL limefufuliwa haraka haraka
Elimu, bure
Madawati,
Maji na umeme ,reli ya Sgr,flyover
Miundombinu na mambo mengine meengi ambayo JPM kayafanya pasi na watu kutegemea.
Hata enzi za kale mitume walionyeshewa maajabu kama haya.
Sent using Jamii Forums mobile app
we ni mmoja kati ya wapumbavu waliotajwa na mkapa...Akiwa hajamaliza miaka mi5 ya uongozi wake tayari matukio makubwa mawili ya kustaajabisha yametokea
1.Kupatwa kwa jua.
2.Kupatwa kwa mwezi.
Wataalamu wa unajimu na mambo ya nyota wanasema jambo hili hua ni nadra sana kutokea na linapotokea kwa kufulilizana kama lilivyotokea Tanzania basi tujue uongozi uliopo unakubalika na MUNGU.
Hizi ni dalili njema njema za Ushindi kwa Serikali ya awamu ya 5 na ndiyo itakayotuvusha katika matatizo ya nchi yetu.
Kupatwa kwa jua na mwezi ni ishara ya mafanikio kwa Serikali ya Magufuli.
Shirika la ndege ATCL limefufuliwa haraka haraka
Elimu, bure
Madawati,
Maji na umeme ,reli ya Sgr,flyover
Miundombinu na mambo mengine meengi ambayo JPM kayafanya pasi na watu kutegemea.
Hata enzi za kale mitume walionyeshewa maajabu kama haya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani hii ni kwa mujibu wa washirikina, waumini wao ni wote walio kwenye kamati za ufundi including Bash.teMkuu, hii ni kwa mujibu wa dini ipi?
Akiwa hajamaliza miaka mi5 ya uongozi wake tayari matukio makubwa mawili ya kustaajabisha yametokea
1.Kupatwa kwa jua.
2.Kupatwa kwa mwezi.
Wataalamu wa unajimu na mambo ya nyota wanasema jambo hili hua ni nadra sana kutokea na linapotokea kwa kufulilizana kama lilivyotokea Tanzania basi tujue uongozi uliopo unakubalika na MUNGU.
Hizi ni dalili njema njema za Ushindi kwa Serikali ya awamu ya 5 na ndiyo itakayotuvusha katika matatizo ya nchi yetu.
Kupatwa kwa jua na mwezi ni ishara ya mafanikio kwa Serikali ya Magufuli.
Shirika la ndege ATCL limefufuliwa haraka haraka
Elimu, bure
Madawati,
Maji na umeme ,reli ya Sgr,flyover
Miundombinu na mambo mengine meengi ambayo JPM kayafanya pasi na watu kutegemea.
Hata enzi za kale mitume walionyeshewa maajabu kama haya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Au tetemeko la Bukoba, mbona alilikana akasema yeye hakulisababisha! Kwa hiyo naona wanachagua mazuri tu.Wewe uliyeleta hii mada umesoma japo kiasi kidogo Sayansi? Kwa uelewa wako kupatwa kwa jua au mwezi kunatokea kama ajali? Kama huelewi, hayo mambo hayafuati nani ni mtawala au nani amekufa au kuzaliwa, ni matukio ya Kisayansi na kihesabu, ndiyo maana hujulikana yatatokea lini na mahali gani yataweza kuonekana vizuri.
Na huu ukame uliotokea Tanzania na kufanya Kanda ya Kati na kanda ya Ziwa kukosa kabisa chakula, nayo ni neema inayoendana na mtawala aliyepo?
ndio nyie mnaosema tunamshukuru mtukufu kwa kutuletea jua lipatwe mbeya,Akiwa hajamaliza miaka mi5 ya uongozi wake tayari matukio makubwa mawili ya kustaajabisha yametokea
1.Kupatwa kwa jua.
2.Kupatwa kwa mwezi.
Wataalamu wa unajimu na mambo ya nyota wanasema jambo hili hua ni nadra sana kutokea na linapotokea kwa kufulilizana kama lilivyotokea Tanzania basi tujue uongozi uliopo unakubalika na MUNGU.
Hizi ni dalili njema njema za Ushindi kwa Serikali ya awamu ya 5 na ndiyo itakayotuvusha katika matatizo ya nchi yetu.
Kupatwa kwa jua na mwezi ni ishara ya mafanikio kwa Serikali ya Magufuli.
Shirika la ndege ATCL limefufuliwa haraka haraka
Elimu, bure
Madawati,
Maji na umeme ,reli ya Sgr,flyover
Miundombinu na mambo mengine meengi ambayo JPM kayafanya pasi na watu kutegemea.
Hata enzi za kale mitume walionyeshewa maajabu kama haya.
Sent using Jamii Forums mobile app
kuongoza watu wenye phd holder anawekwa mtu anayejua kusoma na kuandika tu, tangu aseme hivyo sitaki kabisa kukanyaga huo mkoa nisiwe mojawapo wa kuongozwa na kilazaNapenda CONFIDENCE yake ktk mambo ya nchi...tunahitaji raisi wa namna hii.
Sent using Jamii Forums mobile app