shungurui
JF-Expert Member
- Sep 1, 2008
- 3,765
- 5,160
Umesahau rambirambi za bukoba na arusha mnafanya chanzo cha mapato ya serikali, toka dunia iumbwe haijawi tokea popote ni tz tu.
Au mzazi wa Ben Saanane utamwambiaje akuelewe kwamba mwanae kuhoji PhD ya mtu inamcost uhai wake?
Sent using Jamii Forums mobile app
Au mzazi wa Ben Saanane utamwambiaje akuelewe kwamba mwanae kuhoji PhD ya mtu inamcost uhai wake?
Sent using Jamii Forums mobile app