mkuu mnona unaonekana una kasi sana?? una tupa wasiwasi wenzio maana tangu kuripotiwa tukio la lissu upo bize sana huku una tutuisha wenzio?Imegundulika kuwa wapo watu sas ambao ni wasaliti wa taifa lao kwa dhati wamedhamiria kusaliti taifa lao kwa masilai ya matumbo yao.
Nivema tukajuwa nakuelewa yakuwa usaliti kwa taifa lako ni sawa na uhaini na adhabu ya uhaini ni kifo ama kifungo cha maisha.
Mh Rais amedhamiria kufanyakweli nakuleta usawa kwa taifa lake sasa wale wanasaliti taifa lao niwakati muwafaka kujuwa they must end it now.
Mkono wa sheria utawakamata nakuwaweka ndani
Tumechoka na wahaini wa taifa letu
Shime Magufuli.
Km ninyi mlivyosherehekea vifo vya wanaCuf toka majuzi
Wewe m.bw*& naona unajitahidi kweli, dawa yenu inachemka
Imegundulika kuwa wapo watu sas ambao ni wasaliti wa taifa lao kwa dhati wamedhamiria kusaliti taifa lao kwa masilai ya matumbo yao.
Nivema tukajuwa nakuelewa yakuwa usaliti kwa taifa lako ni sawa na uhaini na adhabu ya uhaini ni kifo ama kifungo cha maisha.
Mh Rais amedhamiria kufanyakweli nakuleta usawa kwa taifa lake sasa wale wanasaliti taifa lao niwakati muwafaka kujuwa they must end it now.
Mkono wa sheria utawakamata nakuwaweka ndani
Tumechoka na wahaini wa taifa letu
Shime Magufuli.