Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Umeandika uharo mtupu!! Huo muda wa kuandika ni bora ungeutumia kujamba ili upunguze gesi kwenye tumbo lako!!!!

Kajifunze kuandika kwanza na pia mfanye mtawala daima wa nyumba yako, wewe na mkeo!!
 
Itakua unaliwa kiboga ewe kjana wa lumumba, acha njaa
 
hata hiyo mitano ni kama karne hana raha wala amani. Ana hofu sana sasa hawezi kuwa na afya. Matukio anayoyafanya na kufanyiwa sidhani kama ana hamu na uraisi. Hakupangwa kajipanga sasa kakosea mstari kajipanga mstari wa wanawake. Subiri utaona wanaoijua ikulu wanakudharau kwa post yako.
 
Sina shaka na hoja yako hakika, walikupa dawa na wakakuruhusu uondoke?. Hao madaktari wafuatiliwe kwa karibu, maana unaweza kuua huko mtaani kwa huo ukichaa wako.
Na ndugu zako wakuwekee uangalizi wa karibu ikibidi wakufunge kamba.
 
Sema kama uki end hospitality itakua noma sana..[HASHTAG]#TafitiZaTwaweza[/HASHTAG]
 
Hawa ndo wanalipwa kuuliza maswali na kumsimamisha mkuu.
 
Mtoa post utakua ni mwanakijiji wa kolomije ndani ndani kabisa boya weee[emoji41] [emoji41] [emoji41]
 
Sema kama uki end hospitality itakua noma sana..[HASHTAG]#TafitiZaTwaweza[/HASHTAG]
Ila lengo limefika hapa hatupo shule.
Ila asante mwalimu naona Upo making sana so Hata watoto wetu naona unawakagua notisi zao.
Lazima ujikite utafute makosa ya kisarufi umrekebishe.

Kumbe walimu wapo makini chini ya jpm.
Hapa hatupo darasani tena somo wenyewe Lowe kiswahili mana ingekuwa maths ,physics or chemistry hakuna lugha hapo ni logic tu.
Nyie ndio mlikuwa mnatuogopesha kuwa tutafeli kisa Mwandiko.

By the way thank you sir.ntamleta mwanangu apitie mikononi mwako
 
[HASHTAG]#TwawezaTafiti[/HASHTAG]
 
Habari za wazalendo wote walio ndani na nje ya Tanzania,

Lengo la uzi huu ni kumpongeza magufuli tu kwa mazuri anayofanya,

Mchangiaji kama umeguswa na Jambo lolote ambalo kafanya liandike na utoe pongezi,

Tunajua Ana mabaya yake, lakin we waweza ona ni baya mwingine akaona ni zuri,

Kwanza kama umependa uzi huu "like" then comment,

Tujikumbushe kidogo kulaumiwa kwa viongozi ni Jambo la kawaida hasa kwa watanzania wanafiki hasa wa kwenye mitandao,

Naanza kwa kuwasihi magufuli na serikali yake pia na ndugai na bunge lake ,hata waliopita walisemwa sana , lakin cha kushangaza mda huu wanashangiliwa,

Hizi comments chini ni za mwaka 2008
Pitia uone walivyomnanga kikwete na Samweli sitta, Leo hii wanajifanya kuwakumbuka


Weka comment yako juu ya magufuli unampongeza kwa lipi na u like thread,

Kwa upande wangu nampongeza kwa haya,

1. Kurudisha heshima kwa umma hasa watumishi
2. Ununuzi wa ndege mpya
3. Ujenzi wa miundombinu mbali mbali nchini (DSM based)
4. Kupunguza rushwa ,si kama nyuma
5. Elimu bila malipo kwa secondary hadi kidato cha sita,.
6. Uhuru wa vyombo vya habari mpaka sasa tupo tunamchambua
7. Kuzuia rasili Mali zetu zisiibiwe,

Kwakweli kafanya mengi,

Mods naomba uzi huu msiuondoe wala kuunganisha maana maudhuhi yake ni kusifu tu, si kama nyuzi Nyingine
 
Tnunampngeza kwa jinsi alivyowanyamazisha Ben Saanane na Tindu Lissu ili kuimarisha utawala wake
 
Yoyote yule anayebeza juhudi za Dr Magufuli toka ameingia madarakani 2015 basi ni lazima mtu huyo atakuwa na tatizo la akili.

Dr Magufuli amekuwa mstari wa mbele kuhakikisha watanzania wanafanyakazi kwa juhudi zote, wala rushwa wanashughulikiwa, mafisadi wanasumbuliwa, pesa ya umma unatumika kama ilivyopangwa, miradi yote inamalizima kwa wakati.

Kwasababu hatupendi kufanya kazi na tumezoea mteremko basi tunamuona Dr Magufuli ni mwiba mkali.

Dr Magufuli ana malengo makubwa na Tanzania wengi haoni kwa sasa.
 
Umeshapewa buku saba Lumumba!sasa umekuja kudanganya uma?acha kupotosha watanzania.mjinga we!tafuta shughuli ya kufanya!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…